min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Utani tu ,sijui.Kumbe miso ni elfu 3?🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utani tu ,sijui.Kumbe miso ni elfu 3?🙄
Hata idara za waalimu na nyie mnaiba, sema tu hujakutana na Fursa wewe.Hebu tuambie Mimi mwalimu wa darasa form 3C naiba nini!? Punguza kugeneralise,think from simple to complex
Inawezekana kama serikali itakua inajali maslahi ya wafanya kazi Maana watu wanapigwa spana kwenye mshahara bado wakija kustafu bado wanakutana na kikokotoo cha wastafu 🤣🤣🤣acha waibeTanzania bila wizi inawezekana , nyie ndio mnafuga na kuwapa sapoti wezi kwa kuwafariji.
Ona Sasa! Yaani raia wa nchi hii wameharibika hivi! Kumbuka cha kuiba kina laanaMajizi yako humu yameuchuna tu tena mengine yatajifanya kukemea tabia ya wizi.
Ngoja niwambie ukweli .Serikali haina shukrani itakutumia kama kondomu ukuisha muda inakudampo. Tena unaweza kufanya mazuri mia moja ila kosa moja tu itakuadabisha. Kwahiyo jamani wewe ukijifanya mzalendo itafika muda wako wa kustafu utatoka na uzalendo wako.
Muhimu ni kwamba ukipata upenyo wa kupiga we piga tumia amri ya kumi na sita ya shetani inayosema "Usihurumie kiumbe ambacho haukukiumba".
Makanisani viongozi wanapiga sembuse serikalini.
Wewe jifanye mzalendo utakufa masikini na uzalendo wako.
Kuiba mda we unaona ni jambo dogo ?Bila wizi hii mishahara tusingeweza kufanya jambo lolote
Ndo maana walimu wanalia Sana ni kwa sababu hawana sehemu ya kuokota .
Hakuna MTU ambaye haibi wala kupiga dili .
Sasa wewe unadai waongeze mishahara, au wawaache muendelee kuiba?Bila wizi hii mishahara tusingeweza kufanya jambo lolote
Ndo maana walimu wanalia Sana ni kwa sababu hawana sehemu ya kuokota .
Hakuna MTU ambaye haibi wala kupiga dili .