Msema kweli mpenzi wa Mungu!Bila wizi hii mishahara tusingeweza kufanya jambo lolote
Ndo maana walimu wanalia Sana ni kwa sababu hawana sehemu ya kuokota .
Hakuna MTU ambaye haibi wala kupiga dili .
Acha nichelewe kuliko kuwa mwizi , nyie toboeni tu πUtachelewa Sana
π€£π€£Hii ni hujumaa,uongo...sitaki sitakiπ€Mimi sita kuwa mwizi bora nisitoboe huko mnapotaka kutoboa.
Mungu hayupo , angekuwepo watu wake wasingekuwa wezi.Msema kweli mpenzi wa Mungu!
Itabidi uibe chaki ππ€£π€£Hii ni hujumaa,uongo...sitaki sitakiπ€
Dawa zenyewe Sasa unafikili serikali inaleta dawa zenye hela sana basi ?Ma dr mnaiba sana dawaππ
πππItabidi uibe chaki π
Wajifunze kutoka kwa Niffer. Kaanza na 40k tu tena madafu.Acha wizi bwashe , namna ya kuongeza kipato sio ya wizi , pata hicho kidogo fanya miradi ya kukuza kipato .
π tunaanza hata na manyoya mkuu, mwisho wa siku tuna kuku 1000 kuliko kuibaWajifunze kutoka kwa Niffer. Kaanza na 40k tu tena madafu.
Unaingia kazin saa1 unatoka job saa 9+ uwo mda wa kufanya kaz zingne na kuongeza kipato anautoa wap, wacha tu waibe akuna asoibaAcha wizi bwashe , namna ya kuongeza kipato sio ya wizi , pata hicho kidogo fanya miradi ya kukuza kipato .
Atakayekubishia kwa huu Ukweli wako mtupu nina uhakika huyo atakuwa kasahau Dozi yake Milembe Mental Hospital.Bila wizi hii mishahara tusingeweza kufanya jambo lolote
Ndo maana walimu wanalia Sana ni kwa sababu hawana sehemu ya kuokota .
Hakuna MTU ambaye haibi wala kupiga dili .
Zina hela mkuu , miso ya alfu tatu kwani ukiuza 60 kuna ubaya gani ππππDawa zenyewe Sasa unafikili serikali inaleta dawa zenye hela sana basi ?
Anhaa nipe soko π€¦ huko ,huku vijijini hawanunui hawakawii kunywa majani ya chaiZina hela mkuu , miso ya alfu tatu kwani ukiuza 60 kuna ubaya gani ππππ
Wezi wote huwa mnasema hakuna asie ibaππ ona mwenzako.Unaingia kazin saa1 unatoka job saa 9+ uwo mda wa kufanya kaz zingne na kuongeza kipato anautoa wap, wacha tu waibe akuna asoiba
Nani huyo Aliyekudanganya Mkuu? Tena hao baadhi yao kwa sasa ndiyo wanachukua Rushwa kuliko hata Mama yao.Ni kweli kabisa wengi wao ni wezi.lakini Huwa nasikia watumishi wa Tiss ni wazalendo sana ambao hawajawahi kula rushwa Wala kuenda kinyume na taratibu za Nchi.je kunaukweli?
Kumbe miso ni elfu 3?πZina hela mkuu , miso ya alfu tatu kwani ukiuza 60 kuna ubaya gani ππππ