Na ww bikra lkn...co upumbaze wenzakoBas waachie wanaoweza
Umeonaee yaani hiki kigezo kimefanya tuwajue kwamba wanaume wengi humu ni matapeliJamani tendo la ndoa ni ishu ndogo sana kwenye mahusiano. Kuna mengi sana ya kufanya ktk relationship. So don't panic men kama uko serious jitume upate mke
Umejounga tarehe 3 December ndani ya wiki 2 tu umeanza kupost application ya mume?Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
Sibagui diniUtakosa wachumba ukiweka dini
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Umeshampata mkuu au mimi nijitose kwenye hichi kinyanganyiro rasmi?[emoji30]
[emoji15] [emoji15]Hakuna anaeweza![emoji17]
Ujue sio Lazima maana mapovu yanavowatoka baada ya kusoma hiyo no 8 we pita na zako aiseeKwa hiyo namba nane jipange upya aiseeee mwenywe n mpole ila kwenye io ya nane hapana
humu ni wazinzi tu ila hakuna mjanja dunianiUjue sio Lazima maana mapovu yanavowatoka baada ya kusoma hiyo no 8 we pita na zako aisee
Umeonaee yaani tabu tupuhumu ni wazinzi tu ila hakuna mjanja duniani
Vipi ushapata? Na uko mkoa gani/jiji ganiUmeonaee yaani tabu tupu
Wakikuuzi usiwajibu vibaya, ila uwajibu kwa staha na kwa wema.Asante mkuu maana kuna wengine wanaudhi
Haaaaa mchukuwe utabadili dini bwana[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]mm na vigezo vyote, kasoro dini tuu am Christian...
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]KAMA HAUTOI KITUMBUA NA HELA USIOMBE
Humu ndani si salama tenaBas sawa
Kumbe ndio wale wale....unataka wa dini gani?Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
N:B Asiyekunywa pombe
Interview lini dada mana ni shida afadhal vigezo vya ajira ya ikuru kuliko hivo. kwa nyakati hizi bado unatoa vigezo subiri utampata dada yangu lkn hujasema mshahara utamlipa kiasi gani kwa mwezi mana hiyo n kazi hadi elimu kipo kigezo tena above diploma hvo n degree du kwa kuoa tu. subiriHabari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
N:B Asiyekunywa pombe
Kama ulivyotoa vigezo acha wenyevigezo hivyo nao watafiti kama unavyo vyao pia. Usiwe mkali tuliaHayo maswali unaniuliza mimi unamuuliza dadako?? Sio lazima utoe comment afu maswali ya utumbo utumbo tu, mxiuuu
Ila sio wote kuna baadhi ya wengine wapo serious....!!!Coment za humu ndani zimenivunja moyo kwa povu la namba 8 wengi wao ni wanzinzi