Serious man needed baadae awe mume

Serious man needed baadae awe mume

Jamani tendo la ndoa ni ishu ndogo sana kwenye mahusiano. Kuna mengi sana ya kufanya ktk relationship. So don't panic men kama uko serious jitume upate mke
Umeonaee yaani hiki kigezo kimefanya tuwajue kwamba wanaume wengi humu ni matapeli
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi
Umejounga tarehe 3 December ndani ya wiki 2 tu umeanza kupost application ya mume?
Cc: Mshana jr
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe
Kumbe ndio wale wale....unataka wa dini gani?
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe
Interview lini dada mana ni shida afadhal vigezo vya ajira ya ikuru kuliko hivo. kwa nyakati hizi bado unatoa vigezo subiri utampata dada yangu lkn hujasema mshahara utamlipa kiasi gani kwa mwezi mana hiyo n kazi hadi elimu kipo kigezo tena above diploma hvo n degree du kwa kuoa tu. subiri
 
Hayo maswali unaniuliza mimi unamuuliza dadako?? Sio lazima utoe comment afu maswali ya utumbo utumbo tu, mxiuuu
Kama ulivyotoa vigezo acha wenyevigezo hivyo nao watafiti kama unavyo vyao pia. Usiwe mkali tulia
 
Coment za humu ndani zimenivunja moyo kwa povu la namba 8 wengi wao ni wanzinzi
Ila sio wote kuna baadhi ya wengine wapo serious....!!!

Ila cha msingi ujue kwamba humu JF utakutana na watu wa aina tatu ambao kuna watu waliokuwa na
- mke/Mume...
- wenye wapenzi....
- Na wasio kuwa na mke wala mpenzi.
Kwa hiyo umakini unahitajika kama mtoa Mada alivyobainisha hiyo Namba 8
 
Back
Top Bottom