Serious man needed baadae awe mume

Term number 8 hapo.....je akiuziwa mbuzi kwenye gunia
 
Papuchi is very important vinginevyo nenda church ukatoe tangazo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mtoa Mada saluti kwako, Hii No. 8 bhanaaa umetudhihirisha na kuonyesha uhalisia ya kuwa mapenzi yetu yameegemea kwenye papuchi kuliko maana halisi ya mapenzi.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Umesema mpaka ujirizishe kuwa anafaa kwa future ndo ufanye naye mapenz.... Je ikitokea kipind ww umeshajirisha na yeye kufanya mapenz yeye akawa bado utafanyaje
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Mtoa Mada saluti kwako, Hii No. 8 bhanaaa umetudhihirisha na kuonyesha uhalisia ya kuwa mapenzi yetu yameegemea kwenye papuchi kuliko maana halisi ya mapenzi.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Yaani udhaifu wenu mmeudhihirisha na huu mtego umekamata sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…