Serious man needed baadae awe mume

Serious man needed baadae awe mume

Pole yako, woawaji wa kweli hutowaona yaani utumike kwanza halafu sasa hivi ndio uweke masharti ya ku do ili uuze mbuzi kwenye gunia sidhani kama kwenye dunia ya sasa kuna mjiga wa kiasi hicho, ila watakuja unaowataka usisahau mrejesho mkuu
Wewe Nani mpaka umpangie Na Kitumbua chake
 
Kaka mshana.Naomba anzisha Uzi kuwaelimisha Wanaume wenzioo.Mfano.Mimi Hapo nyuma niliwai leta tangazo la.mchumba humu Nikampata mpaka Leo tu nakula mema ya nchi.Sasa wapo wanaoona wanawake wanaotoa tangazo wamefulia hii Sio Sawa Na Si Kweli mfano..Mimi natongozwaaaa mpaka kerooo.Ni uamuzi wa MTU..huwezi mpangia MTU achague wapi.Na kuhusu tabia Mi naamini hakuna MTU perfect. Uvumilivu kwa vinavyovumilika unahitajika.Mi nimeongeaaaa sana hukusu hili.Na MTU kama hili jukwaa linamkeraa why toka Asubuhi anashinda humu? Lengo kukatishana tamaa.Kuna Uzi mmoja niliupenda sana.Unasema kutokana Na Mambo ya science Na technology inapelekea Watu kushinda mitandaoni.Hata marafiki wengi wanakutana mitandaoni.Kama Watu wamedevelop urafiki toka JF mpaka kusaidiana kijamii why Uchumba MTU ashangae.Pia humu love connect hakuna sheria ya Wanaume pekee Ndo wawe wanatoa Uzi wa kusaka wachumba.Tena Nyuzi za Wadada zinakimbiliwa sana Na Nawajua wengiiiiii wenye waume Na wake toka humu.Huwa tunashangaaa sana why Watu wanakereka Na wasipite kufanya yao.Naomba chukulia uzito jili.Wasiharibu jukwaa no.2 pendwa toka lile la Siasa.
Well said mkuu[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe
Heshima yako mkuu.....
 
Zote ninazo ila ya kutokukujua kabla ya ndoa nitalishindwa vp je kama unaniuzia gunia tupu bila mbuzi ntamlilia Nani si ndo mambo ya kutoka nje kwenda kutafuta wenye mauwezo elimu yako wala sio lazima muhimu ni je mambo yako poa
Kwanza hata ungekuwa nazo zote huu Uzi haukuhusu , this is only for men not boys
 
Kwanza hata ungekuwa nazo zote huu Uzi haukuhusu , this is only for men not boys
So you're trying to say "all the married man are never tested until they got married?"

Tafuta mchumba ambae utaridhika nae sasa kwa mfano unapata mwanaume asiekufikisha kileleni utamllmikia Nani si ndo utaanza kutoka nje ya ndoa

Acha dharau binti do you know me?
 
So you're trying to say "all the married man are never tested until they got married?"

Tafuta mchumba ambae utaridhika nae sasa kwa mfano unapata mwanaume asiekufikisha kileleni utamllmikia Nani si ndo utaanza kutoka nje ya ndoa

Acha dharau binti do you know me?
I don't need any of your advice coz I know what am doing na wanaume wanaojielewa wanaelewa na wanakuja pm wasojielewa kama wewe ndo mnaleta complications kwenye Uzi ambao sio saizi yako yaani all u think is sex yaani wewe unahisi mahusiano au ndoa its all about sex , soma kwanza naona bado una akili za kitoto
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe
N:B... Majanga
 
I don't need any of your advice coz I know what am doing na wanaume wanaojielewa wanaelewa na wanakuja pm wasojielewa kama wewe ndo mnaleta complications kwenye Uzi ambao sio saizi yako yaani all u think is sex yaani wewe unahisi mahusiano au ndoa its all about sex , soma kwanza naona bado una akili za kitoto
Hahahahaha sasa kwani me nimetaka kujua wanakuja au hawaji?
Hv Kuna Mwanamke ambae amewahi andika uzi wa aina hii akakosa watu Pm?


Mungu akusaidie upate mume maana najua utawaamini kama 5 na utakutana nao ila Kati ya Hao lazima ulambwe japo na mmoja before marriage na hakuna ndoa
 
Mkuu relax hupaswi kuniletea mm hasira za kukosa ajira ilaumu serikali yako , and anyway sio lazma ucomment waeza pita kimya kimya . okay??!!


narudia tena samahani!soma hiyo post uliyonijibu kwa makini harafu itathmini kisha utathmin ukweli wanilichoandika awali.
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe
Shughuli unaiweza?
Sio mbwembwe nyingi alafu nijutie gharama ya harusi.
 
Back
Top Bottom