Serious man needed baadae awe mume

Serious man needed baadae awe mume

Sana tu best. Kunaa baadhi wanataka kuonekana wameoa, kumbe hawana function yoyote ktk maisha ya ndoa. Mifano mnayo na Gwajima kawatajia kabisa. Ndio anachokitaka huyu mleta mada.
Hicho kigezo atakiweza aliyeserious peke yake players nahis sio mahara pake
 
Asilimia 98 ya wanawake hawapendi wanaume weupe, wanaume wafupi, wanaume walevi. Akina andunje tutaenda wapi jamani [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Uko sahihi, ndio sababu nikasema unaweza olewa na shoga, kama msipo bip kabla ya ndoa.
Mkuu utabip pale utapoona mwanga sio bado upo kwenye kiza unang'ang'ania kubip utaishia humohumo kwenye kiza hutoona mwanga
 
samahani mtafuta mchumba....fikiria kidogo kama ungekuwa ujaajiriwa ungeandika vigezo vyote hivyo? ukibaaini ni kiburi kwakuwa umeajiriwa juwa hata kwenye ndoa yako utakuwa na kiburi....inawezekana hata huyo uliokuwanae mwanzo alichoka na kiburi chako akaamua akukomoe atembee na rafiki yako.
 
sina kigezo hata kimoja kibaya zaidi unasema nisinywe pombe hivi kweli upo serious kupata mume
 
samahani mtafuta mchumba....fikiria kidogo kama ungekuwa ujaajiriwa ungeandika vigezo vyote hivyo? ukibaaini ni kiburi kwakuwa umeajiriwa juwa hata kwenye ndoa yako utakuwa na kiburi....inawezekana hata huyo uliokuwanae mwanzo alichoka na kiburi chako akaamua akukomoe atembee na rafiki yako.
Mkuu relax hupaswi kuniletea mm hasira za kukosa ajira ilaumu serikali yako , and anyway sio lazma ucomment waeza pita kimya kimya . okay??!!
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe
Zote ninazo ila ya kutokukujua kabla ya ndoa nitalishindwa vp je kama unaniuzia gunia tupu bila mbuzi ntamlilia Nani si ndo mambo ya kutoka nje kwenda kutafuta wenye mauwezo elimu yako wala sio lazima muhimu ni je mambo yako poa
 
Hapana sishauri na sio hekima. JF ni tofauti na mitandao mingine, si kila anayetangaza hapa kashindikana la hasha! Hawa ni wanawake wanaojitambua
Kaka mshana.Naomba anzisha Uzi kuwaelimisha Wanaume wenzioo.Mfano.Mimi Hapo nyuma niliwai leta tangazo la.mchumba humu Nikampata mpaka Leo tu nakula mema ya nchi.Sasa wapo wanaoona wanawake wanaotoa tangazo wamefulia hii Sio Sawa Na Si Kweli mfano..Mimi natongozwaaaa mpaka kerooo.Ni uamuzi wa MTU..huwezi mpangia MTU achague wapi.Na kuhusu tabia Mi naamini hakuna MTU perfect. Uvumilivu kwa vinavyovumilika unahitajika.Mi nimeongeaaaa sana hukusu hili.Na MTU kama hili jukwaa linamkeraa why toka Asubuhi anashinda humu? Lengo kukatishana tamaa.Kuna Uzi mmoja niliupenda sana.Unasema kutokana Na Mambo ya science Na technology inapelekea Watu kushinda mitandaoni.Hata marafiki wengi wanakutana mitandaoni.Kama Watu wamedevelop urafiki toka JF mpaka kusaidiana kijamii why Uchumba MTU ashangae.Pia humu love connect hakuna sheria ya Wanaume pekee Ndo wawe wanatoa Uzi wa kusaka wachumba.Tena Nyuzi za Wadada zinakimbiliwa sana Na Nawajua wengiiiiii wenye waume Na wake toka humu.Huwa tunashangaaa sana why Watu wanakereka Na wasipite kufanya yao.Naomba chukulia uzito jili.Wasiharibu jukwaa no.2 pendwa toka lile la Siasa.
 
Back
Top Bottom