Serious man needed baadae awe mume

Serious man needed baadae awe mume

Sipendi kukatisha tamaa watu lakini kwa wewe acha nikueleze ukweli tu hautapata mtu humu ndani na ukiendelea hivyo hadi huko nje mitaani. Sababu unachagua sanaaa mashariti kibao kama mganga wa kienyeji. Wewe unasifa nne(4) lakini unataka mwanaume mwenye sifa nane(8)!!!! Huyo utamtoa mbinguni tu sio humu JF au kazini kwenu au kitaa.
 
Vigezo wewe ulijiumba? What if leo hii ukavunjika miguu ukawa kilema je tukunyanyapae? Acheni kumkosoa Mungu nyie wanadamu.
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi

N:B Asiyekunywa pombe
Tutafutane kama bado jujapata
 
Hivi mtu anapotoa masharti ya kutofanya mapenzi na yeye sio bikira, hao waliomvumbua si wangemuoa??
 
Jamani wengine mbona mapovu kma unaona vigezo sio vyako unakausha unaenda kwenye Uzi wa cfa zako
 
Kuna haka kamsemo ka kwa akina thumuni (50 cent). "The perfect wife is the one who marries an imperfect man and changes him to be perfect husband".

Sasa ukishaona mavigezo mengi ujue hapo......
 
Kuna haka kamsemo ka kwa akina thumuni (50 cent). "The perfect wife is the one who marries an imperfect man and changes him to be perfect husband".

Sasa ukishaona mavigezo mengi ujue hapo......
Malizia ili ueleweke vizur, kwani kuna sehem nimeandika nahitaji perfect man, soma vizuri uelewe kabla ya kucomment
 
inasemekana mkiambiwa kazi zao huko pm mnachikichia moja kwa moja tehe tehe tehe
Nikweli wanawake wote wanaokuja kutafua wanaume humu hulenga kupata wanaume wenye elimu kubwa wakiamini ndio wenyemaisha mazuri. Kuna mmoja alionekana kweli anania ya kuolewa lakini nilipokuwa muazi kumwambia ukweli kiwango cha elimu yangu hakupokea simu yangu tena
 
Back
Top Bottom