Serious man needed baadae awe mume

Serious man needed baadae awe mume

Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi
Lol.... weusi tumekukosea nin??? Ukizungumza suala la urefu bora uwe specific. 5", 6" au 7"
 
Umeanza kutumika ukiwa na miaka mingapi? Na umeishi na huyo x wako miaka mingapi? Hapo bado utakuwa na elasticity kweli?
Hayo maswali unaniuliza mimi unamuuliza dadako?? Sio lazima utoe comment afu maswali ya utumbo utumbo tu, mxiuuu
 
Mbona watu mmeshadadia sana no 8 au ndo wengi intentions zenu ziko hivo

wewe unataka watu uwaingize mkenge bidada nini? kwani huyu ex wako hakupewa mzigo nini ndio maana akaamua kumgegeda besty wako
 
wewe unataka watu uwaingize mkenge bidada nini? kwani huyu ex wako hakupewa mzigo nini ndio maana akaamua kumgegeda besty wako
Its non of ur business, pita HV wala hutopungukiwa chochote na mm sitafute mume kwa lazima natafuta taratibu na kwa kurelax so kama hii thread haikuhusu pita vile[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117]
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi
Kama kweli unahitaji mume sema.hana elimu lkn ana kazi yake ya kumuingizia sent .yupo na anataka mke kweli.
 
Its non of ur business, pita HV wala hutopungukiwa chochote na mm sitafute mume kwa lazima natafuta taratibu na kwa kurelax so kama hii thread haikuhusu pita vile[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117]

kwa atitute hiyo i can see why jamaa aliamua kumgegeda besty wako. alifanya njema
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi
bila shaka utakuwa muislamu jina usiyejua taratibu za dini yako ziko vp...

ulikotoka umetoka kwenye haramu na ulichitoa hapa kama tangazo nacho pia haramu, tafuta watu wenye utambuzi wa dini yako unaishi nao ktk jamii inayokuzunguka wakuelekeze nini cha kufanya na siyo kuhangaikahangaika huku mtandaoni, kwani huko ni kukiuka taratibu za iman yako.
 
Back
Top Bottom