hibiscus interior
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,168
- 595
Lol.... weusi tumekukosea nin??? Ukizungumza suala la urefu bora uwe specific. 5", 6" au 7"Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
Umeanza kutumika ukiwa na miaka mingapi? Na umeishi na huyo x wako miaka mingapi? Hapo bado utakuwa na elasticity kweli?
Hayo maswali unaniuliza mimi unamuuliza dadako?? Sio lazima utoe comment afu maswali ya utumbo utumbo tu, mxiuuuUmeanza kutumika ukiwa na miaka mingapi? Na umeishi na huyo x wako miaka mingapi? Hapo bado utakuwa na elasticity kweli?
Pole pita hivi[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117]8 ndio kigezo kilicho nishinda
Nishajibu 26Wewe una umri gani?
Hiyo avatar yako tu, nishaona hatuwezaniDini tuna pishana nahio no 8 kma cio mkwara njoo tuyajenge
Umeelewa kweli point yangu? Au umekurupuka kucommentNdoa inaisha afu una jinsia mbili
Sijakataa weusi lkn sio kama Baraka de princeLol.... weusi tumekukosea nin??? Ukizungumza suala la urefu bora uwe specific. 5", 6" au 7"
Najua wote ndo mnachokitafuta, hapa bila bilaKweli umeamua mechi za kirafiki hakuna ?😵
Mbona watu mmeshadadia sana no 8 au ndo wengi intentions zenu ziko hivo
Its non of ur business, pita HV wala hutopungukiwa chochote na mm sitafute mume kwa lazima natafuta taratibu na kwa kurelax so kama hii thread haikuhusu pita vile[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117]wewe unataka watu uwaingize mkenge bidada nini? kwani huyu ex wako hakupewa mzigo nini ndio maana akaamua kumgegeda besty wako
Kama kweli unahitaji mume sema.hana elimu lkn ana kazi yake ya kumuingizia sent .yupo na anataka mke kweli.Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
Its non of ur business, pita HV wala hutopungukiwa chochote na mm sitafute mume kwa lazima natafuta taratibu na kwa kurelax so kama hii thread haikuhusu pita vile[emoji117] [emoji117] [emoji117] [emoji117]
bila shaka utakuwa muislamu jina usiyejua taratibu za dini yako ziko vp...Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi