Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa na Star TV, ambapo mwandishi Mkongwe, Deo Masakilija, amealikwa.
Dotto Bulendu ameanza kwa hoja 'Je media imetimiza wajibu wake ipasavyo katika kuwabaini hawa watu wasiojulikana wanaohusika na matukio ya utekaji, utesaji, uvamizi, mashambulizi ya silaha na mauaji ya Kibiti ambapo vitendo vyote hivyo, vimefanywa na watu wasiojulikana, media imeshindwa nini kuisaidia jamii kuwabaini hawa wasiojulikana?'.
Deo Masakilija anasema media inaweza kuwabaini hawa watu wasiojulikana kwa media kuwatumia waandishi mahiri wa IJ, (Investigative Journalism), hatua ya kwanza ni kwa media ku invest kwenye kutafuta ukweli kwanza kwa kujenga uwezo wa IJ skills kwa waandishi wake(capacity building), kisha hiyo media kuwawezesha waandishi wake kufanya IJ.
Masakilija anasema kama mauaji ya Kibiti, serious media ingetuma IJ Kibiti na kupiga kambi Kibiti na kufanya urafiki na watu in friendly manner, lazima wananchi wangejitolea kutoa ushirikiano.
Bulendu akauliza kwenye tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kwanini media haikwenda kwenye eneo la tukio kupata independent witnesses report ya mashuhuda?.
Kwanini media haikwenda Dodoma Hospital kupata taarifa ya kidakitari Lissu alivyojeruhiwa?
Kwanini media haikumhoji shahidi mkuu dereva wa Lissu pale Dodoma ili kupata kilichotokea na tukio zima lilivyokuwa?
Kwanini mpaka sasa hakuna media iliyotuma mtu Nairobi kupata maendeleo ya Lissu na kumhoji dereva wa Lissu?
Kama kuliwahi kutokea mashambulizi na mauaji ya aina, media imeshindwaje to connect the dots.
Hitimisho:
Kwenye hili tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, Tanzania tumeonyesha hatuna kabisa serious media kufanya IJ, hivyo media haijatimiza wajibu wake.
Paskali
Rejea
Waandishi wa habari wa Tanzania, wamekuwa waoga kupitiliza kisa kuambiwa UCHOCHEZI
Werema: Hatuna waandishi wa habari za uchunguzi Tanzania bali wahemea kodi za pango
Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa na Star TV, ambapo mwandishi Mkongwe, Deo Masakilija, amealikwa.
Dotto Bulendu ameanza kwa hoja 'Je media imetimiza wajibu wake ipasavyo katika kuwabaini hawa watu wasiojulikana wanaohusika na matukio ya utekaji, utesaji, uvamizi, mashambulizi ya silaha na mauaji ya Kibiti ambapo vitendo vyote hivyo, vimefanywa na watu wasiojulikana, media imeshindwa nini kuisaidia jamii kuwabaini hawa wasiojulikana?'.
Deo Masakilija anasema media inaweza kuwabaini hawa watu wasiojulikana kwa media kuwatumia waandishi mahiri wa IJ, (Investigative Journalism), hatua ya kwanza ni kwa media ku invest kwenye kutafuta ukweli kwanza kwa kujenga uwezo wa IJ skills kwa waandishi wake(capacity building), kisha hiyo media kuwawezesha waandishi wake kufanya IJ.
Masakilija anasema kama mauaji ya Kibiti, serious media ingetuma IJ Kibiti na kupiga kambi Kibiti na kufanya urafiki na watu in friendly manner, lazima wananchi wangejitolea kutoa ushirikiano.
Bulendu akauliza kwenye tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kwanini media haikwenda kwenye eneo la tukio kupata independent witnesses report ya mashuhuda?.
Kwanini media haikwenda Dodoma Hospital kupata taarifa ya kidakitari Lissu alivyojeruhiwa?
Kwanini media haikumhoji shahidi mkuu dereva wa Lissu pale Dodoma ili kupata kilichotokea na tukio zima lilivyokuwa?
Kwanini mpaka sasa hakuna media iliyotuma mtu Nairobi kupata maendeleo ya Lissu na kumhoji dereva wa Lissu?
Kama kuliwahi kutokea mashambulizi na mauaji ya aina, media imeshindwaje to connect the dots.
Hitimisho:
Kwenye hili tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, Tanzania tumeonyesha hatuna kabisa serious media kufanya IJ, hivyo media haijatimiza wajibu wake.
Paskali
Rejea
Waandishi wa habari wa Tanzania, wamekuwa waoga kupitiliza kisa kuambiwa UCHOCHEZI
Werema: Hatuna waandishi wa habari za uchunguzi Tanzania bali wahemea kodi za pango
Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!