Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija

Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija

Yapo mambo muhimu ya kuwauliza watu wote ambao wana mawazo kuwa nchii hii haina waandishi wa habari wente ujuzi,wa kufanya kazi za uandishi wa habari wa uchunguzi:
1.je hawa waandishi wa habari wana vyombo vya habari huru vinavyoweza kutoa hizo habari?
2.je waandishi hawa wa habari,wana msaada wowote ule,iwapo watadhurika kutokana na habari hizo watakazozitoa?
3.je hivi hawa waandishi wa habari huwa wanalipwa mishahara au malipo mengine,kwa wakati au kwa kiwango kinachofaa ili kuwapa motisha?
4.hivi nani humu kwa mazingira ya kazi kwa hawa waandishi wa habari,yeye angethubutu kufanya hiyo ij mnayoitaka?
 
Kiukweli media za Tanzania tumelala, hawa wasiojulikana wamesumbua sana serikali yetu kuwabaini tumeshindwa, media za Tanzania na umasikini wetu uliotopea, tumeshindwa!, haya sasa mtu wa mbali tunayembeza kuwa ni beberu, kawabaini, na kaanza kuleta majina.

Kama matukio haya yalikuwa yanatekelezwa as a stand alone na serikali haihusiki, kwanini serikali yetu imemzuia wachunguzi wa nje?.

Haya sasa Mmarekani amewapatia hadi jina!. Kama serikali haihusiki, then tunaitegemea serikali yetu makini, itawashukuru Wamarekani kwa info tip hiyo, wataomba ushirikiano wa disclosure and sharing sensitive security info, then serikali yetu will do the needful or the necessity.

Lakini kama hata baada ya msaada huu wa watu wa Marekani kuhusu hawa wasiojulikana, kutolewa bure, na bado serikali yetu ikiendelea na dilly dallying, then waelewa tutaelewa aliyenyuma ya wasiojulikana ni nani, na anayewatuma pia, hivyo...

P
 
Yapo mambo muhimu ya kuwauliza watu wote ambao wana mawazo kuwa nchii hii haina waandishi wa habari wente ujuzi,wa kufanya kazi za uandishi wa habari wa uchunguzi:
1.je hawa waandishi wa habari wana vyombo vya habari huru vinavyoweza kutoa hizo habari?
2.je waandishi hawa wa habari,wana msaada wowote ule,iwapo watadhurika kutokana na habari hizo watakazozitoa?
3.je hivi hawa waandishi wa habari huwa wanalipwa mishahara au malipo mengine,kwa wakati au kwa kiwango kinachofaa ili kuwapa motisha?
4.hivi nani humu kwa mazingira ya kazi kwa hawa waandishi wa habari,yeye angethubutu kufanya hiyo ij mnayoitaka?
Mkuu Fimbo ya Asali, umeuliza maswali ya msingi sana. Waandishi wa IJ wa media za wenzetu wana bima, sijui kama kuna mwandishi yoyote wa habari wa Tanzania mwenye bima!.
P
 
Kiukweli media za Tanzania tumelala, hawa wasiojulikana wamesumbua sana serikali yetu kuwabaini tumeshindwa, media za Tanzania na umasikini wetu uliotopea, tumeshindwa!, haya sasa mtu wa mbali tunayembeza kuwa ni beberu, kawabaini, na kaanza kuleta majina.

Kama matukio haya yalikuwa yanatekelezwa as a stand alone na serikali haihusiki, kwanini serikali yetu imemzuia wachunguzi wa nje?.

Haya sasa Mmarekani amewapatia hadi jina!. Kama serikali haihusiki, then tunaitegemea serikali yetu makini, itawashukuru Wamarekani kwa info tip hiyo, wataomba ushirikiano wa disclosure and sharing sensitive security info, then serikali yetu will do the needful or the necessity.

Lakini kama hata baada ya msaada huu wa watu wa Marekani kuhusu hawa wasiojulikana, kutolewa bure, na bado serikali yetu ikiendelea na dilly dallying, then waelewa tutaelewa aliyenyuma ya wasiojulikana ni nani, na anayewatuma pia, hivyo...

P
Hapo umeongea point sio ule unafiki ambao huwa unaufanya kuuma na kupuliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli media za Tanzania tumelala, hawa wasiojulikana wamesumbua sana serikali yetu kuwabaini tumeshindwa, media za Tanzania na umasikini wetu uliotopea, tumeshindwa!, haya sasa mtu wa mbali tunayembeza kuwa ni beberu, kawabaini, na kaanza kuleta majina.

Kama matukio haya yalikuwa yanatekelezwa as a stand alone na serikali haihusiki, kwanini serikali yetu imemzuia wachunguzi wa nje?.

Haya sasa Mmarekani amewapatia hadi jina!. Kama serikali haihusiki, then tunaitegemea serikali yetu makini, itawashukuru Wamarekani kwa info tip hiyo, wataomba ushirikiano wa disclosure and sharing sensitive security info, then serikali yetu will do the needful or the necessity.

Lakini kama hata baada ya msaada huu wa watu wa Marekani kuhusu hawa wasiojulikana, kutolewa bure, na bado serikali yetu ikiendelea na dilly dallying, then waelewa tutaelewa aliyenyuma ya wasiojulikana ni nani, na anayewatuma pia, hivyo...

P
Azory Gwanda aliyekuwa anafuatilia mauaji ya MKIRU yupo wapi?

Kuna media gani Tanzania ya sasa inaweza kuchapisha habari ya kiuchunguzi?

Acha unafiki mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Narration yako makes a big sense! BUT look: Mr, Pascal, usizidi kunipa mashaka! Mauaji, upoteaji, uteswaji, kesi za 'kipuuzi" wanazokutana nazo watu... Rais fulani hajawahi kuzikemea. Yoooooooooooooooooooooooooooooooooote yaliyotokea kwa Lisu sanasana alichojibu ni kuwa yule jamaa amelitelekeza jimbo! Wadau woooooooooooooooooooooote walisema ruhusu uchunguzi huru toka nje watampata aliyempiga risasi Lisu.. he never commented anything! Watu wamekutuhumu, kujibu tuhuma unafanyaje? Unasema Njoo mchunguze then ukweli utapatikana.
Pascal nambie yaliyotokea kwa Lisu kama angalikuwa hana mkono wake asingeruhusu kuona watu wanapoteza CCTV, wanaondoa walinzi, angelisema nataka kujua leo leo nani aliwaondoa walinzi! He never did that..... Maswali ni mengi yanayomwelemea.. irresisitible inference kuwa anahusika...
Ngoja niachie hapa......
Hili ni vizuri kuachia hapa kwasababu whoever who was behind shooting ya Tundu Lissu ni shetani kabisa, the devil in human flesh, mimi siamini tunaye shetani wa aina hii, ila kwa vile sio kila kinachofanywa na serikali lazima kiripotiwe kwenye media hivyo mimi ninaamini 100% chini ya 100% serikali imechunguza, zile CCTV ni nyumba ya Kalemani ila sio CCTV za serikali, naamini hadi Mzee atakuwa ameulizia, na uchunguzi umekwama kutokana na kukosekana mashahidi wawili wakuu ambao ni muhimu sana. Endapo kugetokea fatality kazi ingekuwa well done, by now file lingeisha fungwa, lakini kwasababu mashahidi wapo, wanasubiriwa wahojiwe ndipo uchunguzi uendelee.
P
 
Azory Gwanda aliyekuwa anafuatilia mauaji ya MKIRU yupo wapi?

Kuna media gani Tanzania ya sasa inaweza kuchapisha habari ya kiuchunguzi?

Acha unafiki mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado kuna umaskini ktk maelezo yako.

Media zinazkjitosheleza hazisumbuliwi na mwanahabar mwenye rasilimali hafanyi Uchunguz kiziman km azory

Undercover reporters wengi si waajiriwa na wanauza habari kimya

Tazama media zinazotumia dolla, paund na euro zinavyospeculate
 
Wanabodi,
Leo ni siku ya kimataifa ya uhuru wa habari, kila mwaka sisi waandishi huwa tunakutana mahali kwa siku 2 na kujadili mambo mbalimbali kuhusu uhuru wa habari, na katika mkusanyiko huo, serikali, vyama vya habari na Taasisi za habari hutoa matamko kede kede kuhusu uhuru wa habari, lakini kwa mwaka huu, kufuatia janga la Corona, hakuna maadhimisho yoyote rasmi ya kukutana, ila nilitegemea wizara ya habari, vyama vya habari na mashirika na Taasisi za habari zitoe matamko mbalimbali.

Bado sijabahatika kuona tamko lolote!, ila usikute zile speech huwa zinaandaliwa kwa ajili ya presentations kwenye kongamano hotelini, safari na per diem!, leo hakuna safari, no trip, no per diem, no hotel gathering, hivyo this time hata speech tuu hakuna?!.

Nawatakia waandishi wenzangu, maadhimisho haya ya kimya kimya, nawashauri wale wafadhili mbalimbali wa tukio hili, kwa vile hatukusafiri, wala kula na kulala hotelini, then naomba hao wafadhili watutumie tuu hizo per diem, tutahama majumbani mwetu na kuhamia hotelini 3 days kisha tutatoa matamko.

Paskali
 
Wanabodi,
Kwanini media haikwenda Dodoma Hospital kupata taarifa ya kidakitari Lissu alivyojeruhiwa?

Kwanini media haikumhoji shahidi mkuu dereva wa Lissu pale Dodoma ili kupata kilichotokea na tukio zima lilivyokuwa?

Kwanini mpaka sasa hakuna media iliyotuma mtu Nairobi kupata maendeleo ya Lissu na kumhoji dereva wa Lissu?

Kama kuliwahi kutokea mashambulizi na mauaji ya aina, media imeshindwaje to connect the dots.

Hitimisho:
Kwenye hili tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, Tanzania tumeonyesha hatuna kabisa serious media kufanya IJ, hivyo media haijatimiza wajibu wake.

Paskali
Nadhani Bado Media personalities wetu Ni Tatzo Sana. Na nilichogundua Shule inaweza kuwa Sio tatizo kabisa maana wengi saivi wamepata requisite qualifications,Sijui ni exposure.
Naunga mkono hoja!.
P
 
Pascal

Unasema kwamba anatoa tuhuma kwa vyombo nyeti vya usalama,

Je kwako ni mara ya kwanza kusikia tuhuma kama hizi achilia mbali kutoka kwa Lissu?

Au unataka kujifanya haukusikia malalamiko tena makali kutoka ndani ya mhimili mkubwa wa dola (bunge) juu ya utesaji na mauaji yanayo fanywa na hao tiss ? Rejea kauli za wabunge Bashe, Nape, nk ndani ya bunge, Je uliwahi kuwaonya hao wabunge?

Kama wao (vyombo nyeti vya usalama) wamekuwa wakisikia tuhuma hizi kutoka kwa Wananchi mbona hawajawahi kuzitolea ufafanuzi wa maana ili jamii iachane na lawama dhidi yao?
Mkuu Mbogi, kila siku humu if, wanaingia madogo wapya, hivyo hawawezi kujua nani aliwahi kusema nini kuhusu wasiojulikana TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
Na ufafanuzi pekee wa kuondoa lawama hizi ni fanya uchunguzi wa kile kinacholalamikiwa ikiwa ni pamoja na mauaji/ majaribio ya mauaji ya watu yaliyotokea.

Wewe Pascal, lisaidie taifa letu kwa kusema ukweli.
Kwenye hili la wasiojulikana, nimejitolea hata kufanya uchunguzi





Mabandiko hayo ni uthibitisho wangu kulisaidia taifa kwenye hii issue ya wasiojulikana.

P
 
Mkuu Mbogi, kila siku humu if, wanaingia madogo wapya, hivyo hawawezi kujua nani aliwahi kusema nini kuhusu wasiojulikana TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!

Kwenye hili la wasiojulikana, nimejitolea hata kufanya uchunguzi





Mabandiko hayo ni uthibitisho wangu kulisaidia taifa kwenye hii issue ya wasiojulikana.

P
Ok kama ulifanya hivi na Bado Hadi sasa serikali hawakuchukua hatua kwa nini unamtaka Lissu anyamaze kimya badala ya wewe kuendelea kumsaidia ili mwisho wa siku serikali ifanye huo uchunguzi?

Au kipindi unaipigia kelele serikali kwa wakati huo haikuwa na maslahi na wewe?

Hapa ndipo watu wengi wanapokuona ama mnafiki au Mtu wa fursa tu kwa sababu kama kweli kipindi hicho uliweza kupaza sauti juu ya uovu na Hadi sasa hawajachukua hatua zozote, Sasa ulipaswa uungane na Lissu kuipigia kelele zaidi serikali ili ichukue hatua za ufuatiliaji na wewe usaidie kuibua habari za uchunguzi wa suala hili.

Na hapa ulipaswa pia kuona kuwa Lissu amekusaidia sehemu ya kuanzia hata kuwataja watuhumiwa jambo ambalo lingekuwia rahisi kufanya mwendelezo wa kazi yako ya rejea na egemeo salama dhidi ya madai ya uchochezi yanayowakumba ninyi wanahabari.

Nasisitiza P. Uwe unaangalia utetezi wako wa mambo fulani unatia shaka.
 
media inaweza kuwabaini hawa watu wasiojulikana kwa media kuwatumia waandishi mahiri wa IJ, (Investigative Journalism), hatua ya kwanza ni kwa media ku invest kwenye kutafuta ukweli kwanza kwa kujenga uwezo wa IJ skills kwa waandishi wake(capacity building), kisha hiyo media kuwawezesha waandishi wake kufanya IJ.

Kwenye tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kwanini media haikwenda kwenye eneo la tukio kupata independent witnesses report ya mashuhuda?.

Kwanini media haikwenda Dodoma Hospital kupata taarifa ya kidakitari Lissu alivyojeruhiwa?

Kwanini media haikumhoji shahidi mkuu dereva wa Lissu pale Dodoma ili kupata kilichotokea na tukio zima lilivyokuwa?

Kwanini mpaka sasa hakuna media iliyotuma mtu Nairobi kupata maendeleo ya Lissu na kumhoji dereva wa Lissu?

Kama kuliwahi kutokea mashambulizi na mauaji ya aina, media imeshindwaje to connect the dots.

Hitimisho:
Kwenye hili tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, Tanzania tumeonyesha hatuna kabisa serious media kufanya IJ, hivyo media haijatimiza wajibu wake.

Paskali
Baada ya sisi media, kushindwa kutimiza wajibu wetu wa kuwabaini wasiojulikana, hatimaye, baadhi ya wasiojulikana, wameanza kutajana.
P
 
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari Kwa media za Tanzania yetu.

Nawatakia uhuru wa habari mwema.
Paskali.
 
Wanabodi,

Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa na Star TV, ambapo mwandishi Mkongwe, Deo Masakilija, amealikwa.

Dotto Bulendu ameanza kwa hoja 'Je media imetimiza wajibu wake ipasavyo katika kuwabaini hawa watu wasiojulikana wanaohusika na matukio ya utekaji, utesaji, uvamizi, mashambulizi ya silaha na mauaji ya Kibiti ambapo vitendo vyote hivyo, vimefanywa na watu wasiojulikana, media imeshindwa nini kuisaidia jamii kuwabaini hawa wasiojulikana?'.

Deo Masakilija anasema media inaweza kuwabaini hawa watu wasiojulikana kwa media kuwatumia waandishi mahiri wa IJ, (Investigative Journalism), hatua ya kwanza ni kwa media ku invest kwenye kutafuta ukweli kwanza kwa kujenga uwezo wa IJ skills kwa waandishi wake(capacity building), kisha hiyo media kuwawezesha waandishi wake kufanya IJ.

Masakilija anasema kama mauaji ya Kibiti, serious media ingetuma IJ Kibiti na kupiga kambi Kibiti na kufanya urafiki na watu in friendly manner, lazima wananchi wangejitolea kutoa ushirikiano.

Bulendu akauliza kwenye tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kwanini media haikwenda kwenye eneo la tukio kupata independent witnesses report ya mashuhuda?.

Kwanini media haikwenda Dodoma Hospital kupata taarifa ya kidakitari Lissu alivyojeruhiwa?

Kwanini media haikumhoji shahidi mkuu dereva wa Lissu pale Dodoma ili kupata kilichotokea na tukio zima lilivyokuwa?

Kwanini mpaka sasa hakuna media iliyotuma mtu Nairobi kupata maendeleo ya Lissu na kumhoji dereva wa Lissu?

Kama kuliwahi kutokea mashambulizi na mauaji ya aina, media imeshindwaje to connect the dots.

Hitimisho:
Kwenye hili tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, Tanzania tumeonyesha hatuna kabisa serious media kufanya IJ, hivyo media haijatimiza wajibu wake.

Paskali
Rejea
Waandishi wa habari wa Tanzania, wamekuwa waoga kupitiliza kisa kuambiwa UCHOCHEZI

Werema: Hatuna waandishi wa habari za uchunguzi Tanzania bali wahemea kodi za pango

Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
MEI 3 ya kila mwaka ni Siku ya Kimataifa ya Uhuru wa vyombo vya habari, Mimi Pascal Mayalla, kwa niaba yangu kama mwanahabari ambaye ni mwandishi wa habari huru na wa kujitegemea kwa kujitolea na kwa niaba ya kampuni yangu ya PPR as chombo huru cha habari, niwatakie wanahabari wenzangu wote, maadhimisho mema ya siku hii, huku nikidurusu, niliwahi kusema nini kuhusu uhuru wa habari kwa media zetu za Tanzania yetu.

Nawatakia maadhimisho mema ya siku yetu hii ya leo na uhuru wa habari mwema.
Paskali.
 
Wanabodi,

Bulendu akauliza kwenye tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kwanini media haikwenda kwenye eneo la tukio kupata independent witnesses report ya mashuhuda?.

Kwanini media haikwenda Dodoma Hospital kupata taarifa ya kidakitari Lissu alivyojeruhiwa?

Kwanini media haikumhoji shahidi mkuu dereva wa Lissu pale Dodoma ili kupata kilichotokea na tukio zima lilivyokuwa?

Kwanini mpaka sasa hakuna media iliyotuma mtu Nairobi kupata maendeleo ya Lissu na kumhoji dereva wa Lissu?

Kama kuliwahi kutokea mashambulizi na mauaji ya aina, media imeshindwaje to connect the dots.

Hitimisho:
Kwenye hili tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, Tanzania tumeonyesha hatuna kabisa serious media kufanya IJ, hivyo media haijatimiza wajibu wake.

Paskali
Nasikitika media hatutimizi wajibu wetu kikamilifu kwenye matukio kama haya ya hawa wasiojulikana.
The simple chronolog of the events suggest wahusika sio wasiojulikana bali ni 'wasiojulikana'
Ijumaa saa 4:00 JJ. Mnyika atangaza kukamatwa kwa Mzee Kibao.
Jumamosi asubuhi mwili wa mtu wakutwa Kunduchi Ununio palisi wauchukua na kuu dump mortuary ya Mwananyamala hospital.
Jumamosi jioni Jeshi la Polisi latoa taarifa kumtafuta Mzee Kibao
Jumamosi saa moja usiku Chadema na ndugu wautambua mwili

Kwanini Jeshi la Polisi halikutoa taarifa ya kuokotwa kwa mwili wowote hiyo Jumamosi asubuhi?.

Wakati Jeshi la Polisi wanatoa taarifa yao kumtafuta Mzee Kibao, ile Jumamosi jioni, kumbe toka asubuhi mwili wanajua ulipo!.

Kwa vile na mimi ni mwandishi wa IJ, ningekuwa bado niko newsroom ningefanya hii IJ lakini kwa sasa mimi ni mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, yaani freelancer, nikiandikia makala weekly gazeti la Nipashe na Mwananchi hakuna media yoyote inaweza kupokea IJ ya freelancer!.

Hili tukio la kifo cha huyu mzee, kwa mujibu wa taarifa za tukio lenyewe, mimi nimejiridhisha wahusika sio watu wasiojulikana, ni 'wasiojulikana'

Nashauri kwa negligence iliyofanywa na Jeshi letu la polisi kuhusu kadhia hii ya kifo cha Mzee Ali Mohamed Kibao, Mjumbe wa Sekretarieti ya CHADEMA Taifa na Msaidizi wa Katibu Mkuu , kukutwa ameuwawa na watu 'wasiojulikana' na mwili wake kutupwa eneo la Kunduchi Ununio, kwa kuanzia nashauri watu wwanne hawa wawajibike!.
1. Waziri - kwa ajali kazini
2. IGP - kwa negligence ya RPC wake
3. RPC -DSM - negligence
4. OCD Kinondoni - negligence, na hawa wawili wa mwisho RPC na OCD wanaweza kufikishwa kwa Pilato!.

Ni wakati sasa Rais Samia kukasirika kama enzi za Nyerere!.
P
 
Maswali jadidi juu ya utekaji.

1.Je ni kweli kwamba matukio haya yanamfaidisha mkuu wa dola?

2.Je Inawezekana vipi mkuu huyo wa dola aruhusu matukio ya utekaji na mauaji yanayoharibu taswira yake kisiasa?

3.Tuanze awamu ya tano,je matukio haya yalianza baada ya nani kuondolewa madarakani?

4.Awamu ya sita,matukio haya yalianza baada ya nani kuondolewa madarakani? baada ya nani kukosa trust ya mkuu nchi?

4.Ninahofia uwepo wa genge la watu lenye nguvu kifedha na kisiasa,wanaotumia assets za Serikali kufanya utekaji na mauaji,mfano unaweza kugombana na ndugu yako ukamwambia wewe utaona wewe,adui yako akajua,akaenda kummaliza,Dunia itakunyooshea wewe kidole uliyegimbana na ndugu yako

#@RipMagufuliRipMzeeKibao.
 
Wanabodi,

Naangalia kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari kinachorushwa na Star TV, ambapo mwandishi Mkongwe, Deo Masakilija, amealikwa.

Dotto Bulendu ameanza kwa hoja 'Je media imetimiza wajibu wake ipasavyo katika kuwabaini hawa watu wasiojulikana wanaohusika na matukio ya utekaji, utesaji, uvamizi, mashambulizi ya silaha na mauaji ya Kibiti ambapo vitendo vyote hivyo, vimefanywa na watu wasiojulikana, media imeshindwa nini kuisaidia jamii kuwabaini hawa wasiojulikana?'.

Deo Masakilija anasema media inaweza kuwabaini hawa watu wasiojulikana kwa media kuwatumia waandishi mahiri wa IJ, (Investigative Journalism), hatua ya kwanza ni kwa media ku invest kwenye kutafuta ukweli kwanza kwa kujenga uwezo wa IJ skills kwa waandishi wake(capacity building), kisha hiyo media kuwawezesha waandishi wake kufanya IJ.

Masakilija anasema kama mauaji ya Kibiti, serious media ingetuma IJ Kibiti na kupiga kambi Kibiti na kufanya urafiki na watu in friendly manner, lazima wananchi wangejitolea kutoa ushirikiano.

Bulendu akauliza kwenye tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, kwanini media haikwenda kwenye eneo la tukio kupata independent witnesses report ya mashuhuda?.

Kwanini media haikwenda Dodoma Hospital kupata taarifa ya kidakitari Lissu alivyojeruhiwa?

Kwanini media haikumhoji shahidi mkuu dereva wa Lissu pale Dodoma ili kupata kilichotokea na tukio zima lilivyokuwa?

Kwanini mpaka sasa hakuna media iliyotuma mtu Nairobi kupata maendeleo ya Lissu na kumhoji dereva wa Lissu?

Kama kuliwahi kutokea mashambulizi na mauaji ya aina, media imeshindwaje to connect the dots.

Hitimisho:
Kwenye hili tukio la kushambuliwa kwa Tundu Lissu, Tanzania tumeonyesha hatuna kabisa serious media kufanya IJ, hivyo media haijatimiza wajibu wake.

Paskali
Rejea
Waandishi wa habari wa Tanzania, wamekuwa waoga kupitiliza kisa kuambiwa UCHOCHEZI

Werema: Hatuna waandishi wa habari za uchunguzi Tanzania bali wahemea kodi za pango

Stan Katabalo: Tunauhitaji mzimu wako wa habari za Uchunguzi!
Nasikitika kutangaza kifo cha Deo Masakilija kilichotokea jana jijini Mwanza. Masakilija alikuwa mmiliki wa gazeti la Watu. Mazishi yatafanyika baada ya mkewe na watoto wake kuwasili nchini.

Nimefanya kazi RTD na binti yake Anna Misuku Masakilija。
RIP Mkongwe Deo Masakilija。
P
 
Back
Top Bottom