Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija

amepigwa risasi rais wa Marekani John F. Kenedy na kuuwawa ije kuwa Tundu Lisu
 
Sekta ya uandishi wa habari Tanzania bado ni changa sana. Kuna vijana wengi tu ktk hizi FM radios-hasa za mikoani ambao malipo yao ni kusikika redioni! Hakuna cha mshahara wala posho, kazi ni kwako kutumia kujulikana kwako kujipatia kipato. Jirani tu hapo Kenya, Janeth Mbugua alikuwa anakamata milioni 20 kwa mwezi wakati yupo The Citizen TV na kazi yake kuu ilikuwa kusoma habari tu!

Kuna wakati tulikuwa na Jerry Muro, ila rushwa ikampenda zaidi. Toka hapo hakuna anayetamani kuvaa viatu vya Stan Katabalo.
 
Ukijiuliza haya maswali:

1. Dereva wa Lissu ni mtu wa miraba 4, hivyo kwa kumuangalia alikuwa dereva cam mlinzi, lakini hakuguswa hata risasi 1 kati ya hizo nyingi zilizofyatuliwa, alikuwa kajificha wapi ambapo hapakulengwa na kwa nini kusilengwe na washambuliaji?

2. Lakini kitendo tu cha kwenda naye Nairobi kwa kisingizio chechote kile, khalafu gharama za matibabu zinaongelewa za Lissu hakuna anayetaka kutaja neno shoferi basi jua media iko na nguvu kubwa za kiuchunguzi na hilo linajulikana. Pole hizi zimfikie Mh Lissu hapo hospitalini Narobi.

Mchina wa hF.
Na washawasha!
 
Hili la lissu halihitaji uchunguzi kwani tiyari wanajulikana kuwa ni wasukama kadhaa ila hakuna mwenye ubavu, guts, kuwaaanika hadharani
 
Waandishi wapo na wanaweza kufanya kazi nzuri, ishu moja ambayo ndio ishakuwa kubwa waandishi wameeacha kutetea tasnia yao katika uandishi wa habari. Wanasiasa wamewaingilia, serikali imewaingilia hawana pa kupumulia
 
Kituo cha Television cha KTN kupitia kipindi chake cha Jicho Pevu limefanya kazi nzuri sana kwasababu waandishi walilipwa vizuri na kupewa vitendea kazi angalia clip kuhusu Kifo cha Saitoti.
 
Kama waandishi wenyewe ndio wale walipewa fursa ya kumwuliza maswali mtukufu rais halafu eti anauliza " ni kitu gani kigeni umekiona ikulu" mwingine eti " mh. unapendelea kitu gani"
Hapo unategemea nini?
 
Yes ''Investigative Journalism'' Do they have power to interrogate and summon, Suppose the Authority turn on a deaf ear What can investigate journalism do
 
Paskali
Ukifanya serious IJ nchi hii yafuatayo yatakufika
1) Dr Abbas atafungia chombo chako
2) Utapimwa mkojo
3)Utaburutwa mahakamani kwa uchochezi
4) Watu wasiojulikana' watakufanyia kama Kibanda na Kubenea


Utawalaumu waandishi kwa woga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…