Serious: Natafuta mwenza(mume)

Huyu anataka kujua members wa humu, mi simo, STAK DEM
 
Kweli hii ehh!!!!

Take care bro; najua e-mail yangu anayo my wife, iko kwa watu wengi tunaoshirikiana kwenye mambo ya kazi na mengineyo, itokee mmoja wa hao ndo kanitega nitegeke kiulaini kweli?
 
ktk wote tuliotuma barua pepe nina hakika 100% nachukua mzigo;jst wait n see! I Love u Rusi!
 

upo kwenye sensa ya wanaJF kujua wangapi na wakoje? kazana
 
ar u sirias? mbona email hyo haipo?
 
Mnashndwa kuelewa softiwea zinavowek,wakat mnagsagl uliklik info hidden,e-mail zenu hazionekan.
Ruc ntafte kama uko criuc,karibu cfa zote nnazo,mi mkurya na nahc 2nashabhiana,tumia no. 0757966585.
Ntakupa detailz zangu ila uwe tayari kuishi tarime.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…