Serious: Natafuta mwenza(mume)

Serious: Natafuta mwenza(mume)

Rusi

Member
Joined
Jul 30, 2013
Posts
11
Reaction score
4
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 na miezi kadhaa kabila langu ni mmasai japokuwa hata umasaini sikujui wala lugha ya kimasai lakini ni mmasai. rangi yangu ni maji ya kunde umbile wastani urefu wastani pia kwa maana ya sio mrefu wala mfupi. Nina elimu ya college na nimuajiriwa kwenye private company moja hivi. Natafuta Mume awe mwembamba au wakati maji ya kunde au mweusi kabisa, awe na alimu kidato cha nne na kuendelea awe mwenyekujishughulisha awe na umri wakuanzia miaka 29 - 35 alie serious anipm email yangu ni. rusizebloni12@gmail.com
 
Kaka yangu mwenye umri wa miaka 50 anatafuta mke, kama vipi nikuunganishe nae?
 
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 na miezi kadhaa kabila langu ni mmasai japokuwa hata umasaini sikujui wala lugha ya kimasai lakini ni mmasai. rangi yangu ni maji ya kunde umbile wastani urefu wastani pia kwa maana ya sio mrefu wala mfupi. Nina elimu ya college na nimuajiriwa kwenye private company moja hivi. Natafuta Mume awe mwembamba au wakati maji ya kunde au mweusi kabisa, awe na alimu kidato cha nne na kuendelea awe mwenyekujishughulisha awe na umri wakuanzia miaka 29 - 35 alie serious anipm email yangu ni. rusizebloni12@gmail.com

Du mote nimo ila nimeishia form two huko Zanzibar.
Na cheti cha kuhudhuria ninacho.
 
Kigezo cha umri kila siku majanga kwangu, Ungeshusha kidogo would marry you
 
Uke wenza vipi??

Funguka basi,unatafuta bwana kama unalazimishwa binti??

NA IMANI YAKO VP,Maana sisi wengine Bomani hatuna time nako...
 
weka picha tuone, VAS(value added services) zimo haha utani tu dada angu, kila la kheri!
 
Back
Top Bottom