Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Habari yalo binafsi na ya wifi, shem??? ulikosekana jana....naomba uheshimu maamuzi ya Hashy,hakulazimishwa...aliamua kwa akili yake.....

Ni hayo tu,siku njema.....
Kheee Kheee Kheeee Guardian Angle :laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
Khee Kheee Kheee mzee unataka kutumia disadvantage kuwa advantage kwako
 
Kheee Kheee Kheeee Guardian Angle :laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:

Nakuomba sana usiniudhi tena.....simama imara na mheshimu kaka yako.....hujaniambia unaendeleaje??? siku hizi hatukuoni,isije ikawa umeanza........:twitch::twitch:
 
Nakuomba sana usiniudhi tena.....simama imara na mheshimu kaka yako.....hujaniambia unaendeleaje??? siku hizi hatukuoni,isije ikawa umeanza........:twitch::twitch:
Haya nasimama imara my sis, naendelea vizuri thou you can understand niliongea nae jana salamu zenu nyingi kutoka kwake especially you and hashy
 
Haya nasimama imara my sis, naendelea vizuri thou you can understand niliongea nae jana salamu zenu nyingi kutoka kwake especially you and hashy

mmmhhhh haya guardian angel wa Hashy huyo,am missing her jamani......msalimu sana.....tunampenda......
 
....watu kwa kuchakachua thread za wenzenu......?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…