Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Habari yalo binafsi na ya wifi, shem??? ulikosekana jana....naomba uheshimu maamuzi ya Hashy,hakulazimishwa...aliamua kwa akili yake.....

Ni hayo tu,siku njema.....
Kheee Kheee Kheeee Guardian Angle :laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
Mtoto unajua kuumwaga moyo wako hadharani weye.........Aisee kwa style hii itabidi niachane na profession yangu rasmi kuanzia dk hii. Mtoto una mashamsham halafu watu kama kina Hashy wanakuliza namna hii. Wallah Hashy nakunyang'anya tonge kutoka kwa mdomo right now. Hebu twende PM waridi wangu, barafu ujuaye mume ataka kitu gani aaaah nilham weeeeee unausukasuka mtima wangu kwa maneno yako.
Khee Kheee Kheee mzee unataka kutumia disadvantage kuwa advantage kwako
 
Kheee Kheee Kheeee Guardian Angle :laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:

Nakuomba sana usiniudhi tena.....simama imara na mheshimu kaka yako.....hujaniambia unaendeleaje??? siku hizi hatukuoni,isije ikawa umeanza........:twitch::twitch:
 
Nakuomba sana usiniudhi tena.....simama imara na mheshimu kaka yako.....hujaniambia unaendeleaje??? siku hizi hatukuoni,isije ikawa umeanza........:twitch::twitch:
Haya nasimama imara my sis, naendelea vizuri thou you can understand niliongea nae jana salamu zenu nyingi kutoka kwake especially you and hashy
 
Haya nasimama imara my sis, naendelea vizuri thou you can understand niliongea nae jana salamu zenu nyingi kutoka kwake especially you and hashy

mmmhhhh haya guardian angel wa Hashy huyo,am missing her jamani......msalimu sana.....tunampenda......
 
Back
Top Bottom