Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,628
- 3,535
Na ajue kabisa hamna mwingine atakaempenda kama wewe!!!!!
Nisaidieni kumwambia manake nae anajiona mzuri sana.......:laugh::laugh:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ajue kabisa hamna mwingine atakaempenda kama wewe!!!!!
dah! unaweza ukatuwekea picha yake ya utotoni? tunataka kuitumia katika kampenzi za kupinga uchafuzi wa mazingiraSikubaligi atoke home mwenyewe,hawashindwi msingizia kibaka......kila sehemu mimi naye......hapo ka-improve kwa mema nayompa....
kweli umeoza lakini tahazari na chawa mama, kuna species moja ya chawa inaharibu mpaka uzazi. na jamaa anaonekana anaexport chawa kabisa yaani.
hebu chungulia chungulia, yeye na preta hawajalog out bado?Namuogesha mwenyewe....msambaa mimi wewe,najua kumsafisha haswaa....shida ni huo uso hau-improve......:embarrassed:
mkuu hii ilikuwa iwe heading ya sredi halaf tukupigie debe kwenye hiyo sredi.we ugly people needs love too
dah! unaweza ukatuwekea picha yake ya utotoni? tunataka kuitumia katika kampenzi za kupinga uchafuzi wa mazingira
we ugly people needs love too
fafanua hapo red halaf nitaomba razi.Nitake radhi Kloro.....umeniumiza.....
hebu chungulia chungulia, yeye na preta hawajalog out bado?
What do you get from me? i thought you get LOVE....:laugh::laugh:
fafanua hapo red halaf nitaomba razi.
What do you get from me? i thought you get LOVE....:laugh::laugh:
on bended knees....ready to pop out that big question,ready?
dah! tuliza boli.Wapo,mimacho juu.....:bump:
😛op2: movie limeanza
dah! kumbe ulinifeki? mbona haukuonesha?Kile kitu ulichofanya kimeniumiza:embarrassed:
on bended knees....ready to pop out that big question,ready?
yaani michelle unanivunjia heshma mbele ya mama mchungaji lizzy?Kula popcorn tu wewe....ukalale sinza kwako......