Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Sikubaligi atoke home mwenyewe,hawashindwi msingizia kibaka......kila sehemu mimi naye......hapo ka-improve kwa mema nayompa....
dah! unaweza ukatuwekea picha yake ya utotoni? tunataka kuitumia katika kampenzi za kupinga uchafuzi wa mazingira
 
kweli umeoza lakini tahazari na chawa mama, kuna species moja ya chawa inaharibu mpaka uzazi. na jamaa anaonekana anaexport chawa kabisa yaani.

Namuogesha mwenyewe....msambaa mimi wewe,najua kumsafisha haswaa....shida ni huo uso hau-improve......:embarrassed:
 
Namuogesha mwenyewe....msambaa mimi wewe,najua kumsafisha haswaa....shida ni huo uso hau-improve......:embarrassed:
hebu chungulia chungulia, yeye na preta hawajalog out bado?
 
Bi mkubwa umetumwa na nani? wengine tumekimbia majibu, mpeni kijana moyo hata pm aridhike
 
on bended knees....ready to pop out that big question,ready?

Hehehhhehehe.....walisema hayawi hayawi leo yamekua!!
Wapi champagne???
Kloro utakufa kwa wivu...mwenzio huyo anafanya kweli!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…