Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

Serious..serious..!natafuta mke mtarajiwa!

jana usiku nilikaa na kufikiria nikagundua kwamba wanaume waaminifu hapa maeneo ya morogoro tupo wachache sana. tugombanieni jamani.

Hahahahahahhaha.....kizuri chajiuza kibaya chajitembeza!!!We unajitembeza!!!:roll:
 
Bado nipo........uchovu ni raha.....naomba niwe mc kwenye hii mambo.
 
Ha ha ha haaaaaaaaaaaaaaa,kazi ipo,tugombanie wenye hela na waaminifu pia???umesikiwa,endelea kufikiria,utagundua mengi mwaka huu...........:laugh::laugh:
michelle! bahati neva come twice. think! michelle
 
honeymooners-package-and-a-romantic-night-jeddah-saudi-arabia+1152_12908542678-tpfil02aw-31203.jpg


idea za honey moon
 
Hahahahahahhaha.....kizuri chajiuza kibaya chajitembeza!!!We unajitembeza!!!:roll:
hii ni abyuzi nyengine. ukiona wamekuban ujue nimereport mimi. apolojaiz kwa kiingereza kabla sjakasirika zaidi
 
Mimi natangulia jamani,ndo naitwa hivyoooooo............wenye wivu wajinyonge.........

Michelle mambo yameshakaa sawa kilichobaki kumfunda huyoooooo bwana harusi mtarajiwa!!!Embu mhamishie kule kwenye thread yangu ya nyumba ndogo akajifunze kwamba akifuata maelezo ambayo sio rasmi utakua zaidi ya nyumba ndogo 10 kwa mpigo!!!
 
hii ni abyuzi nyengine. ukiona wamekuban ujue nimereport mimi. apolojaiz kwa kiingereza kabla sjakasirika zaidi

mhhhh,hadi naumia jamani......hakumaanisha.....tafuta hela acha kujitangazia umaarufu wa uaminifu.....
 
Michelle mambo yameshakaa sawa kilichobaki kumfunda huyoooooo bwana harusi mtarajiwa!!!Embu mhamishie kule kwenye thread yangu ya nyumba ndogo akajifunze kwamba akifuata maelezo ambayo sio rasmi utakua zaidi ya nyumba ndogo 10 kwa mpigo!!!


Hashy njoo basi nikufunde.....
 
hii ni abyuzi nyengine. ukiona wamekuban ujue nimereport mimi. apolojaiz kwa kiingereza kabla sjakasirika zaidi

Abyuzi wapi wewe????
Oait naapolojaiz kwasababu tayari kiroho kinauma kuwaona Michelle na Hashy pamoja!!
Am sori Kloro....wewe ni adimu kama pesa!!!!
 
Back
Top Bottom