Seriously nammiss mdogo wangu @amu

Seriously nammiss mdogo wangu @amu

amu kabadili jina baada ya kuona anasumbuliwa sana na kina Filipo!
 
Last edited by a moderator:
jamani ambaye anajua mdogo wangu huyu yuko wapi anipe majibu......
mara ya mwisho kwenye uzi wake wa kummwaga lecturer sikuweza kuongea naye nikasema nitamtafuta siku nyingine.
kwenye uzi wa KakaKiiza, sijui waliishiana wapi maana hata sijaona kama @amu alitia jibu pale au la....
nimejaribu kumwuliza KakaKiiza naye inaonekana hajui aliko.....
najaribu kuwaza au yale mashambulizi ya rafiki zangu snowhite na gfsonwin yamemkimbiza jf?
jamani anayejua uwepo wake huyu mdogo wangu chonde chonde anifikishie salamu kuwa dada mkubwa anammiss mno, natamani kuongea naye kidogo jamani.....

Hata mimi nilikuwa na hamu nae sana!
 
si mlichukuana kwa mbwebwe hapa nakunisuta mie sasa sema yuko wapi mpenzio .na nina RB yako ujue

:horn::horn::horn::horn😛olisi hawajafika tu mimi ninayo yakwako hadi nimeifulia kwenye saluwali!!:smile-big:
 
:horn::horn::horn::horn😛olisi hawajafika tu mimi ninayo yakwako hadi nimeifulia kwenye saluwali!!:smile-big:
wapi @amu kipenzio cha roho si mlisema kufa kufaana labda mto uwatenganishe mmja akishindwa ruka hahahahaahahahah
 
FP nipe hela nianzishe msako...😎

mbona yupo dada mkubwa!
mtafute tu utampata!
pole kwa kummisss nikikkutana nae nitamfikishia salamu amu!

ah ah ah! Raiza mie nakutazama

Kawa mkiristo yumo humu nahumu kwenye uzi huu utamkuta ukitumia lenzi yenye lenzi mbinua lakini ukitumia lenzi mbonyeo utahangaika sana
CC: Asprin, Kaizer, sosoliso, snowhite, Paloma!!

Mimi nimem miss sana kipenzi changu Raiza

huyo kipenzi chako Raiza mfungulie uzi mwingine shem....
usichakachue huu wa kumtafuta mdogo wangu amu...... chonde

Ha ha ha!!

Umefurahishwa na nini rafiki?
Seriously nisaidieni mwenzenu

amu kabadili jina baada ya kuona anasumbuliwa sana na kina Filipo!

ahahaaaaa msalimie amu bana
nawashukuru nyie wooote kwa hints.....
uzuri Mungu hakunyimi kila kitu......
akili za kujumlisha na kutoa kanijalia kwa wingi sana....
nami nawaacha mu-hang kama mlivyoniacha mimi, lol!
topic :closed_2:
 
Mtani hata mie nimempata aisee...maana mara ya mwisho kumuona tulikua tunacheza kombolela, alivyoenda kujificha hakurudi tena

nawashukuru nyie wooote kwa hints.....
uzuri Mungu hakunyimi kila kitu......
akili za kujumlisha na kutoa kanijalia kwa wingi sana....
nami nawaacha mu-hang kama mlivyoniacha mimi, lol!
topic :closed_2:
 
ahahaaaaa mjini hapa
nawashukuru nyie wooote kwa hints.....
uzuri Mungu hakunyimi kila kitu......
akili za kujumlisha na kutoa kanijalia kwa wingi sana....
nami nawaacha mu-hang kama mlivyoniacha mimi, lol!
topic :closed_2:
 
dada mkubwa nasema huyu wa mwisho tu!
miss ya pacha wangu!
jamani aliyenioneamo SnowBall amwambie nimemmissimo!
 
Last edited by a moderator:
huyu mwingine nae,nikimaliza hapo basi!
jamani na aliyenioneamo mwali wangu gfsonwin mwambieni namkosa jamani!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom