Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwapikia polepole hapo Lumumba wasomi wetu kama wewe ni hopeless kabisa unajifanya unapenda siasa wakati siasa haikutaki kaa pembeni na siasa kama Mimi hapa waachiewanaojua iyo siasa Mimi niko free na Tanzania yangu sio mavyama yenu sijui so mtu ulie mtaja kwangu hana impact yoyote'Sawa ndo maana nikaja neno sijui'
Sasa kama hujui ulikuja kuchangia nini,si ungetulia tu ukaendelea kuwapikia chai wakina polepole hapo Lumumba.
dodge
Kuwapikia polepole hapo Lumumba wasomi wetu kama wewe ni hopeless kabisa unajifanya unapenda siasa wakati siasa haikutaki kaa pembeni na siasa kama Mimi hapa waachiewanaojua iyo siasa Mimi niko free na Tanzania yangu sio mavyama yenu sijui so mtu ulie mtaja kwangu hana impact yoyote
Hili ndio tatizo la kusoma hadi darasa la saba alafu unajifanya kama umetoka Harvard vile?IPO siku naamini tutafika kwamba kila mtanzania awe na bima hasa kwa wasio na uwezo wazo zuri ila aliwezi tekelezwa kwa haraka hii nikutokana na ukubwa Wa nchi na idadi tuliyonayo na hapo ndo huwa napata shida pale viongozi wanapolinganisha mambo mengine na kijiji kama Rwanda alafu na tz linganisha na nchi angalau tunazokaribia Nazi kwa ukubwa tuone wao swala kama hili wanalitekeleza vipi mfano Kenya,Uganda ,na nchi zingine sio linganisha hicho kijiji sijui hats kama population ya watu mil nne kama inafika tuna fail sana
Kwenye elimu Serukamba yuko sahihi, hii elimu ya mitihani imepitwa na wakati.
Tunahitaji elimu inyowaandaa wanafunzi kwa maisha na sio kwa mitihani. Huu mfumo wa sasa umepitwa na wakati, hauwapi au hauwawezeshi wahitimu na ujuzi unaohitajika kwenye ulimwengu wa sasa.
Ulimwengu wa sasa hauhitaji tena mtu mwenye divison one ama two, gpa ya 4.5 ama 3.8, unahitaji mtu mwenye ujuzi wa kufanikisha shughuli kufanyika kwa wakati.
Wanaojifanya hawaelewi wataelewa hivi karibuni, ni jambo la muda tu.
Tatizo la Tanzania ni elimu. Wengi wetu hata hatujui umuhimu wa hizo bima za afya. Maana asilimia kubwa ya watanzania wanaamini kwenye ramli na waganga wa kienyeji.
Hujaelimika wewe! ramli na waganga siyo Elimu? Unapenda bima kwa sababu ni za wazungu?kwa gumbaru yako hiyo unafikiri wazungu watakupendaTatizo la Tanzania ni elimu. Wengi wetu hata hatujui umuhimu wa hizo bima za afya. Maana asilimia kubwa ya watanzania wanaamini kwenye ramli na waganga wa kienyeji.
Usahidi ni kikombe cha babu wa Loliondo. Watanzania wengi walienda. Ambao hawakwenda sababu ni gharama na visababishi vingine.Tuwekee ushahidi vinginevyo ni majungu tu na propaganda.
Mbuzi jike ni baba yakooooKwa utawala gani? Huyu mbuzi jike analolakujifunza
Mnaisemea rwanda nchi yenye ukubwa km za mraba ambazo hata dsm ni kubwa.hata mim naweza toa bima ya bure kabisa
Kwa wenzetu wajanja, population kubwa ni mtaji - mahali kama China sasa wanakaribia kuwa taifa lenye nguvu kuliko Marekani.Sawa ndo maana nikaja neno sijui sasa hata ingekua mil 14 unalinganishaje na tz ambapo pop ni mara tatu na zaidi iyo ni akili au matope ata kama hukupata elim bure kama mimi na inakusaidia nini kama unashindwa dadavua kitu kidogo kama hiki si bora wakina msukuma waendelee kuwa bungen maana udadavuzi wake ni mara kumi ya nyie ambao hamkusoma shule za bure