Service Levy ya halmashauri ya jiji Temeke sasa ni kodi ya ujenzi wa madarasa na barabara

Service Levy ya halmashauri ya jiji Temeke sasa ni kodi ya ujenzi wa madarasa na barabara

Kuzoa taka za shs 20,000/

Kuzoa taka za shs20,000/= lazima duka lichakate majani ya kula ng'ombe, ukiuza unga tu sijui utazipata wapi hizo taka.
Hiyo 20,000 mbona chamtoto.

Hiyo ni ushuru wa taka Si service levy.

Tatiz ni service levy, wanachukia mashine ya efd Kwa nguvu, wakipata mauzo Yako ya mwaka,

Wanakulazimisha ulipe 2% ya annual sales.

Yaani wanataka pesa kwenye MAUZO Si Ktk FAIDA.

Service levy pekee watu wanalipa hd ml 5 Kwa mwaka,


Hiyo service levy inaenda Jiji,

Hapo Bado hujaenda TRA.
 
Hiyo 20,000 mbona chamtoto.

Hiyo ni ushuru wa taka Si service levy.

Tatiz ni service levy, wanachukia mashine ya efd Kwa nguvu, wakipata mauzo Yako ya mwaka,

Wanakulazimisha ulipe 2% ya annual sales.

Yaani wanataka pesa kwenye MAUZO Si Ktk FAIDA.

Service levy pekee watu wanalipa hd ml 5 Kwa mwaka,


Hiyo service levy inaenda Jiji,

Hapo Bado hujaenda TRA.
Tatizo wafanyabiashara tunashindwa kuungana ili tupate haki yetu kama wafanyavyo wamachinga.
 
Tatizo wafanyabiashara tunashindwa kuungana ili tupate haki yetu kama wafanyavyo wamachinga.
Tuungane na makundi mbalimbali ya WAKULIMA, Wafugaji, Watumishi Serikali, Wafanyibiadhara wakubwa Kwa wadogo, Wanasiasa vyama mbalimbali, Wachukuzi, nk kuhakikisha kuwa;

Pasifanyike uchaguzi wowote ikiwa haijapatikana KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

Aaamen.
 
Tuungane na makundi mbalimbali ya WAKULIMA, Wafugaji, Watumishi Serikali, Wafanyibiadhara wakubwa Kwa wadogo, Wanasiasa vyama mbalimbali, Wachukuzi, nk kuhakikisha kuwa;

Pasifanyike uchaguzi wowote ikiwa haijapatikana KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

Aaamen.
Tatizo wengi wanadhani katiba inawahusu wanasiasa tu! Tumejazwa ujinga.
 
Mkuu tafuta bylaws za halmashauri,Nenda uone hio tozo ya taka ilipangwa lini na nani na kikao gani kwa kumshirikisha nani.Baada ya hapo Andika Barua ya kuibua hiyo issue maana kwa 20k per month inamaana ni 240,000 per year,ukiongeza ada ya leseni,TRA,TOZO za miamala,Kodi ya majengo,kodi ya ardhi,n.k. ina maana unao wajibu wa kuhoji na kuelewa kwa sababu Usipohoji na kulalamika unakuwa hujatimiza wajibu wako kama mwananchi.
 
Back
Top Bottom