Haka ndio kausoni tu, hiyo serum unaichanganya yote kwenye losheni yake ambayo utaipaka mwilini pekeeVinatoa chunusi sababu ya Yale mafuta ndani yake imagine "butter"
SI hako kavhuoa karefu au? Ndo ka serum au Mimi nachanganga madesa ngoja wataalamu waje
Una rangi gani....Mimi maji ya kunde...ki ukweli wix naogopa nikisema nipake mfululizo nitachubuka kabisa.Hii fact nikiwaambiaga wadada wanaona nawaonea gere
Binafsi natumia Garnier products na Pond’s zimenibariki nipo na natural color yangu.
Una rangi gani....Mimi maji ya kunde...ki ukweli wix naogopa nikisema nipake mfululizo nitachubuka kabisa.
Uso wangu una mafuta .....nitumie product Gani nzuri ambazo hazichubui
20000
Picha jamani..Watumie Toner Ya Ordinary OG
Lakini siyo copy
Waachane na Nivea Deodorant pia
Naomba picha....au ngoja niscrinshot....Maji ya kunde pia.. tafuta Garnier vitamin C
Ponds oily control Basi tulia
Hiyo uibie ibie ilaaa usisahau sunscreen please
NakupigiaUnataka namba zao?
Mimi siuzi wix honestly kwa sababu ya negative feedbacks.
Naomba picha....au ngoja niscrinshot....
Naendaga Lile dukan la zamani la vipodzi Wana branch mbili k.ko na posta sijui s.h hermon .....ndo kidogo ila Sasa pia Wana vichache sana
Picha jamani..
.au tupeni maduka..Mimi nazungukaga kama mwehu....kuhusu mafuta....kutoa 500k Kwa kitu uhakika ni chap Kwa kwwli
Check na Jamaa wanaitwa Planets nadhani wana stock badoView attachment 2673200
Mimi mwenyewe nauza pia ila Garnier Sina nasubiri mpaka next month View attachment 2673202
View attachment 2673204
View attachment 2673205
View attachment 2673206
View attachment 2673207
View attachment 2673208
Inauzwaje kwani?
Ni muhmu kujua ngoziyako na ainagani ya ingredients ni sahihi muhimu ingredients ni Somo Pana kias otherwise utatumia Kila kipodozi dearNaomba picha....au ngoja niscrinshot....
Naendaga Lile dukan la zamani la vipodzi Wana branch mbili k.ko na posta sijui s.h hermon .....ndo kidogo ila Sasa pia Wana vichache sana
Mimi ndiyo bei nilikua nauza kipindi nafanya hiyo biasharaUnapigwa
Hakikisha product unazotumia ZinaUna rangi gani....Mimi maji ya kunde...ki ukweli wix naogopa nikisema nipake mfululizo nitachubuka kabisa.
Uso wangu una mafuta .....nitumie product Gani nzuri ambazo hazichubui
Labda nikuelekeze nilipokua nauzia....search insta nicehouseofbeutySema Kimbembe kipo kwenye kuijua kama ni og[emoji2300]