virginity
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 898
- 970
- Thread starter
- #41
Haka ndio kausoni tu, hiyo serum unaichanganya yote kwenye losheni yake ambayo utaipaka mwilini pekeeVinatoa chunusi sababu ya Yale mafuta ndani yake imagine "butter"
SI hako kavhuoa karefu au? Ndo ka serum au Mimi nachanganga madesa ngoja wataalamu waje