Set nzima ya WIX

Set nzima ya WIX

Vinatoa chunusi sababu ya Yale mafuta ndani yake imagine "butter"
SI hako kavhuoa karefu au? Ndo ka serum au Mimi nachanganga madesa ngoja wataalamu waje
Haka ndio kausoni tu, hiyo serum unaichanganya yote kwenye losheni yake ambayo utaipaka mwilini pekee
Screenshot_20230625-222407.jpg
 
Hii fact nikiwaambiaga wadada wanaona nawaonea gere

Binafsi natumia Garnier products na Pond’s zimenibariki nipo na natural color yangu.
Una rangi gani....Mimi maji ya kunde...ki ukweli wix naogopa nikisema nipake mfululizo nitachubuka kabisa.


Uso wangu una mafuta .....nitumie product Gani nzuri ambazo hazichubui
 
Una rangi gani....Mimi maji ya kunde...ki ukweli wix naogopa nikisema nipake mfululizo nitachubuka kabisa.


Uso wangu una mafuta .....nitumie product Gani nzuri ambazo hazichubui

Maji ya kunde pia.. tafuta Garnier vitamin C
Ponds oily control Basi tulia

Hiyo uibie ibie ilaaa usisahau sunscreen please
 
Naomba picha....au ngoja niscrinshot....
Naendaga Lile dukan la zamani la vipodzi Wana branch mbili k.ko na posta sijui s.h hermon .....ndo kidogo ila Sasa pia Wana vichache sana
Ni muhmu kujua ngoziyako na ainagani ya ingredients ni sahihi muhimu ingredients ni Somo Pana kias otherwise utatumia Kila kipodozi dear
Mimi nimepita huko nimetupa Hela had basi ila ujue aina ya ngoz kama una chunus ni za aina gani,product zako kuanzia face cream toner na serum had sunscreen ziwe na ingredients vipi ni very simple kupata kipodozi Cha ngoziyako Kwa uhakika Zaid
 
Una rangi gani....Mimi maji ya kunde...ki ukweli wix naogopa nikisema nipake mfululizo nitachubuka kabisa.


Uso wangu una mafuta .....nitumie product Gani nzuri ambazo hazichubui
Hakikisha product unazotumia Zina
Salicylic acid
Glycolic na lactic acid ukipata product zenye vismbata hivo zinasaidia sababu zinasaidia kuyeyusha mafuta usoni mfano pixi toner
 
Back
Top Bottom