Setfree Apangua Hoja za Atheists

Hii vita haitakuja kuisha kamwe...
Either ukubaliane na dini or blind faith... au uwe mwanasayansi unayepingana na spiritual matters. Both mko sawa based on your own perspectives. Setfree Atleast from what I think I know uwepo wa nguvu kubwa inayo control life, destiny, na existence as a whole ipo. Iwe ni mungu, Source, universe etc.. so kusema kuwa haipo ni uongo, lakini pia isikufanye uwe blind folded kutokutaka kuwa na empirical proof ya jinsi mambo yalivyo. Our senses are limited and that's for a reason, japokuwa tunazidi kufunua ila ndo tunavyozidi kujua hatujui. All in all ndo maana kuna dini nyingi, theory nazo ni nyingi so kila mtu ashinde mechi zakeπŸ˜‚
 
Ni sawa, ila aliye baridi na aliye moto wote ni kama njia zao zinaendana hivi kuliko yule ambae hayupo kwenye pande hizo mbili.
 
Ukweli wa jambo haupimwi kwa idadi ya kurasa, bali kwa uthabiti wa hoja na ushahidi wake.

Indoctrination ni kuwafanya watu waamini bila kufikiri. Lakini imani ya Kikristo haikatazi mtu kuuliza maswaliβ€”ukisoma Biblia, utaona kuwa hata wanafunzi wa Yesu waliuliza maswali magumu. Mtume Paulo mwenyewe alihimiza watu β€˜kuyachunguza Maandiko’ (Matendo 17:11).

Badala ya kusema kuwa Biblia inafunga akili za watu, kwa nini usione kuwa ni chanzo cha maarifa ambayo watu wanaweza kuyachunguza kwa uhuru?

Kusema kuwa majibu yote yako kwenye Biblia si kusema kuwa hatuwezi kujifunza kutoka maeneo mengine. Biblia haitoi kanuni za fizikia au tiba, lakini inatoa mwongozo wa maadili, maisha, na imani.
 
Hahaha, naona umeandika ukiwa umeshika dictionary mkono wa kushoto ukitafuta synonym ya kila neno. Or was it chatGPT?

Anyway, complexity na convolution aren't related.
 
string theory as it is depicted sio kwamba ipo kwamba kuna strings ila ili uweze kufanya hesabu fulani lazima ufanye hivyo.., ni kama tunavyoassume kwenye Physics kwamba a gas is ideal (but a gas does not behaev ideal)
String theory it is based on a vibrating strings


Ndio maana nikasema I would rather have a debate about nothingness (and does nothingness really exists
And By nothingness you mean the bing bang or
 
Was the universe created by some powerful being? Maybe.

Would this "powerful being" be so petty and sadistic that he creates miniature versions of himself to torture eternally? So lonely that he wants to be constantly reminded he exists? So bigotted that he unreasonably oppresses a group of people, just to prove his might? Would he be genuinely concerned about what people put in their holes?

Would he let so much pain and suffering, so much unmitigated chaos, exist in the world? Would he be so primitive to believe that an eternal life would be fulfilling?

I think not. Because that would be infinitely absurd.
 
String theory it is based on a vibrating strings
They are not there its just an assumption to make mathematics / explanation easier
And By nothingness you mean the bing bang or
By nothingness I literally mean nothing in as much as you have space can you have nothing ? Yaani leo hii ukichukua chupa na ukatoa kila kitu unachokiona kwa macho yako ukirudi baada ya siku if there are favorable conditions unakuta life (iwe ni mold au fungus) kwahio narudia hata kutokuwepo kwa kitu unachodhani hakipo does not mean hakipo to put it bluntly.....

Nothing, no-thing, or no thing, is the complete absence of anything as the opposite of something and an antithesis of everything. The concept of nothing has been a matter of philosophical debate since at least the 5th century BC. Early Greek philosophers argued that it was impossible for nothing to exist. The atomists allowed nothing but only in the spaces between the invisibly small atoms. For them, all space was filled with atoms. Aristotle took the view that there exists matter and there exists space, a receptacle into which matter objects can be placed. This became the paradigm for classical scientists of the modern age like Newton. Nevertheless, some philosophers, like Descartes, continued to argue against the existence of empty space until the scientific discovery of a physical vacuum.

Now the above is the debate I can wrap my head and time around (it is stimulating) na sio kuja na majibu ya maswali na kutumia muda wangu kujaribu ku confirm majibu yangu yaendane na majibu yangu ya mwanzo (that will be folly)
 
They are not there its just an assumption to make mathematics / explanation easier
So scientist can just assume there is a vibrating strings in the universe and be accepted but they completely reject the assumption that there is a higher power that created the universe.
 
So scientist can just assume there is a vibrating strings in the universe and be accepted but they completely reject the assumption that there is a higher power that created the universe.
Ngoja nikwambia kwanini tuna assume mfano wakati tunafanya hesabu ambazo zina involve gas; tuna assume kwamba gas ni ideal An ideal gas is a theoretical gas composed of many randomly moving point particles that are not subject to interparticle interactions. The ideal gas concept is useful because it obeys the ideal gas law, a simplified equation of state, and is amenable to analysis under statistical mechanics.

Mfano nikitaka kupima muda utakaotumia kutoka Dar mpaka Dodoma nita assume kwamba safari yako itakwenda vizuri na hakutakuwa na ajali sababu nikichukua all happenstances into consideration I can never arrive at any answer any time soon...

Kumbuka hapa tunachotaka kujua sio availability ya strings bali a deeper thing.... A means to and end if you may...
 
creates miniature versions of himself to torture eternally
We are here as a test as to who among us is better and those who are better are awarded and those who are not are being punished because of bad and evil things they did
So lonely that he wants to be constantly reminded he exists
So people can know who to turn for help and not be lost
Would he be so primitive to think that an eternal life would be fulfilling
An enternal life with the most human need like Health, Wealth, eternity, freedom and love that's what people desire
 
All of this doesn't make sense.

1. Why shouldn't we just live freely, without any judgement? Why did he have to make all those rules? What purpose do they serve him? He is perfect, he needs nothing from us.

2. Why should we have to turn to him for help? Isn't he all knowing? We don't have to ask.

3. For anything to be precious, it has to be finite. An eternal life would bring eternal boredom. Not existing is much better, it's pure bliss.

I believe that theism can be debunked with this one question; "Why can't heaven be on earth? Why do we have to wait, to suffer for it?"
 
Mfano nikitaka kupima muda utakaotumia kutoka Dar mpaka Dodoma nita assume kwamba safari yako itakwenda vizuri na hakutakuwa na ajali sababu nikichukua all happenstances into consideration I can never arrive at any answer any time soon
Just like having faith utafika salama kutoka dar kwenda dodoma kama usipopata ajali au kupata dhoruba ya natural cause, because faith and assumption havina utofauti sana sababu vyote vinasuhisha ku believe something without complete proof
 
Just like having faith utafika salama kutoka dar kwenda dodoma kama usipopata ajali au kupata dhoruba ya natural cause, because faith and assumption havina utofauti sana sababu vyote vinasuhisha ku believe something without complete proof
Una assume kwamba mvua haitanyesha ili upange kwamba mahindi yatachukua muda gani kukauka sio Unaamini kwamba mvua ni bomba la maji lilipo huko juu kwahio ukipiga magoti itanyesha na usipopiga haitanyesha na sababu haijanyesha ni sababu haukuomba na sio kwamba ni kipindi cha kiangazi..

The two are quite different one is a means to get an accurate answer in calculations so as to help you in your doings and the other has no limit..., you can believe anything you want no matter how absurd...
 
1. Rules are there to guide us to live in peace and harmony, and yes he is perfect he doesn't anything from us but we are not we need so much from him
2. He wants us to evolve be wise and knowing what we need

Why can't heaven be on earth? Why do we have to wait, to suffer for it?"
It brings a sense of worth, value or satisfaction when you get it after along wait
 
So what is the purpose of living as na atheist you can be serial killer and die peacefully in your bed without worrying anything to be accountable for
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hizo ndo nlikuwa nakutegemea zaidi...sa itakuwaje!!!
una reply kwa maneno yake mwenyewe aliyoandika tena unachukua randomly😁😁😁 unaacha naye ahangaike kuelewa aone kama ni raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…