Seti Mbili za Treni ya Umeme na vichwa 8 vya Umeme "Samia Express" vyawasili Nchini

Daaaa awalipe uapi ili walipe watoa huduma banaa....miaka 2 wanashindwa kulipacwadauuu acheni siasa za uchawa
 
Ndio vile tulivyoahidiwa vyenye vichwa mchongoko kama nyoka au tuendelee kusubiri kwanza...
 

Hayo marangi ya treni ni ya hovyo, hayawakilishi chochote kwa nchi, wangepala rangi inayo-reflect rangi zinazowakilisha nchi yetu.

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…