Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Labda pakupumuliaHivi hapa mbele kwenye pua si panafunikwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda pakupumuliaHivi hapa mbele kwenye pua si panafunikwa?
Ukweli ni kwamba.SETI MBILI ZA TRENI ZA EMU (ELECTRIC MULTIPLE UNIT) ZAWASILI
Dar es Salaam, Tarehe 02 Julai, 2024
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa Seti mbili (2) za treni ya kisasa inayotumia nishati ya umeme EMU (Electric Multiple Unit) na vichwa nane (8) vya treni vya umeme vimewasili Tanzania kutoka nchini Korea ya Kusini.
Serikali kupitia TRC ilifanya manunuzi ya Seti kumi (10) za treni za EMU zinazotengenezwa na kampuni ya Hyundai Rotem ya nchini Korea Kusini, Seti moja ya EMU ina jumla ya mabehewa nane yakijumuisha kichwa kimoja mbele na kingine nyuma ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 589 na kutembea kwa kasi ya kilomita 160 kwa saa.
Seti mbili (2) za EMU zinafikisha idadi ya seti tatu zilizowasili nchini mpaka sasa, seti ya kwanza iliyowasili mwezi Aprili 2024 inaendelea na majaribio.
Shirika la Reli Tanzania limeshapokea jumla ya mabehewa 65 ya abiria, vichwa 17 vya umeme na Seti tatu za EMU. Upokeaji wa vifaa vya uendeshaji vya reli ya kiwango cha SGR unaendelea kwa awamu tofauti, vifaa vipya vilivyowasili vitaendelea kufanyiwa majaribio kwaajili ya kujiridhisha kabla ya kuanza kutoa huduma.
Shirika linaendelea na uendeshaji wa awali na utoaji huduma ya usafiri wa treni za umeme kupitia reli ya kiwango cha kimataifa kati ya Dar es Salaam na Morogoro, uendeshaji rasmi kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma unatarajiwa kuanza Julai 25, 2024.
Jamila Mbarouk Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano
Hutaki jinyongeSasa hizi screenshot nan kakuomba Bibie.
Sawa Bibie.Hutaki jinyonge
Ndio maana watu wamechoka mpaka wanachoma picha ya raisi maisha magumu mtaani hasa kwa vijana ajira hakuna na ukipata ajira mshahara hautoshi gharama za maisha....bora treni zingeitwa trc express na zipewe namba kutofautisha sijawahi kusikia nchi yoyote treni zikipewa majina ya raisi ukizingatia mradi wenyewe tunajenga kwa mkopo na tuta suffer kuzilipaSETI MBILI ZA TRENI ZA EMU (ELECTRIC MULTIPLE UNIT) ZAWASILI
Dar es Salaam, Tarehe 02 Julai, 2024
Shirika la Reli Tanzania - TRC linautaarifu umma kuwa Seti mbili (2) za treni ya kisasa inayotumia nishati ya umeme EMU (Electric Multiple Unit) na vichwa nane (8) vya treni vya umeme vimewasili Tanzania kutoka nchini Korea ya Kusini.
Serikali kupitia TRC ilifanya manunuzi ya Seti kumi (10) za treni za EMU zinazotengenezwa na kampuni ya Hyundai Rotem ya nchini Korea Kusini, Seti moja ya EMU ina jumla ya mabehewa nane yakijumuisha kichwa kimoja mbele na kingine nyuma ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 589 na kutembea kwa kasi ya kilomita 160 kwa saa.
Seti mbili (2) za EMU zinafikisha idadi ya seti tatu zilizowasili nchini mpaka sasa, seti ya kwanza iliyowasili mwezi Aprili 2024 inaendelea na majaribio.
Shirika la Reli Tanzania limeshapokea jumla ya mabehewa 65 ya abiria, vichwa 17 vya umeme na Seti tatu za EMU. Upokeaji wa vifaa vya uendeshaji vya reli ya kiwango cha SGR unaendelea kwa awamu tofauti, vifaa vipya vilivyowasili vitaendelea kufanyiwa majaribio kwaajili ya kujiridhisha kabla ya kuanza kutoa huduma.
Shirika linaendelea na uendeshaji wa awali na utoaji huduma ya usafiri wa treni za umeme kupitia reli ya kiwango cha kimataifa kati ya Dar es Salaam na Morogoro, uendeshaji rasmi kati ya Dar es Salaam hadi Dodoma unatarajiwa kuanza Julai 25, 2024.
Jamila Mbarouk Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano
Ipo moja Magu ExpMagufuli hatajwi kabisa kwenye huu mradi. Kweli CCM sio watu.
Acha kuota ww hyo sio treni kwaajili ya koroshoHii train itaanza lini safari za kwenda Mtwara, tunaisubiri
Huoni picha?Wapi wameandika Samia express?,
Kati ya makosa makubwa sana aliyofanya Magufuli ni ______.Wanajaribu kila njia lakini wapi mwamba yupo midomoni mwa watu. Si treni si bwawa la umeme! Mgao wa umeme umeisha kwasababu ya bwawa walilopinga na kumtukana aliekomaa nalo. Hixi treni nazo walisema hazina maana leo wanahangaika kuziita majina yao. Ndege nazo bado wanaendelea kununua vyote hivyo alieanzisha alipondwa sana.
Machawa mngejua hili, kuwa Raisi ni mtumishi wa wananchi. Mngecha hizi ngonjera za kusifia ujinga.
Nimekumbuka hii ndiyo ajira yenu.
nilitaka iwe Watanganyika expressulitaka iwe lisu express
Cijaona nionyesheHuoni picha?
Cijaona nionyeshe
Kwani huyo mkizimkazi kahisikaje?!Sasa hapo huyo Ngosha anahusikaje!
Kila kitu saivi jina Samia,basi tubadili na Tanganyika iwe Samia kabisaNimezoom hapo nimeona SAMIA EXPRESS 🙌
Kweli 2025 is Loading ..........