Sevilla ipo nafasi ya 11 la Liga ila bingwa wa Europa mnahoji nini?

Chelsea 2012 alichukua champions league ila huku epl alikuwa nafasi ya 9
 
Hujui mpira Chelsea alimfunga buyern munich akatwaa ndoo huku akimaliza nje ya big 4
 
Sevila wa 11 sawa lakini walicheza fainali na wa nane kwenye ligi Yao hivyo wapo sawa maana hakuna anaeshiriki UEFA msimu ujao isipokua akichukua ubingwa wa UEROPA league, tofauti na bingwa wa nchi kushindwa kuchukua kombe dhidi ya timu inayopigania kushuka daraja.
 
Arsepimbi Fan Chelsea FC 2012 ilibeba UEFA CL ikiwa top 6 of EPL table, endelea tu kukaza fuvu lako sababu huu mwaka umepigwa Bongo na Makolokolo pia UK Arse8 kakupiga [emoji1787]


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Unakumbuka Chelsea kikombe chake Cha kwanza anachukua uefa alikuwa nafas ya ngapi?

Liverpool vs ac Milan unakumbuka Liverpool alikuwa nafas ya ngapi ?

Nadhan mpira umeanza kufuatilia juzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi kanuni ilibidi zibadilishwe ili kufanya Timu zisizidi 4. Ndipo spurs akapigwa na kitu kizito kushika nafasi ya nne wakati Chelsea akichukua Champion League
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…