Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 204
hii kitu plus ngono unapata a deadly combination...
Erotica kamwe sijawahi kudhani kuwa wewe ni zumbukuku.
Pia sikuoni kuwa wewe ni wa ajabu kwa kuongelea haya mambo,sababu yapo yalikuwepo na yatakuwepo.
Yanafanyika kila siku,hata wasiofanya leo iko siku watayafanya.
Mim niliona kama watu walikufurahia sana hasa wababa sababu umekua muwazi zaidi.
Na hakuna mwenye haki ya kujiona mtukufu zaidi yako sababu heri wewe unaandika vinavyoandikika kuna wasiyoongelea haya lakini wayafanyayo hata kuyaandika hayafai kuandikika.
we unawaza ngono wengine wanawaza hii kitu
Hii mada sijaielewa...labda ungesema Smirnoff leo vip kingeeleweka
lemonade una vituko wewe! teh teh teh. Hivi mtu unapojiangalia
tupu kwenye kioo ili iweje? teh teh the. toa jibu mamito ili wasiojiangalia watambue kuna umuhimu.
Babe hizi ni pm tu....zinaishia kwenye kiibodi....wewe ni kila kitu....my own Smilemmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhdahhhhh