SEX: A taboo for wana Jamii Forums? Just thinking out loud!!

SEX: A taboo for wana Jamii Forums? Just thinking out loud!!

Erotica kamwe sijawahi kudhani kuwa wewe ni zumbukuku.
Pia sikuoni kuwa wewe ni wa ajabu kwa kuongelea haya mambo,sababu yapo yalikuwepo na yatakuwepo.
Yanafanyika kila siku,hata wasiofanya leo iko siku watayafanya.
Mim niliona kama watu walikufurahia sana hasa wababa sababu umekua muwazi zaidi.
Na hakuna mwenye haki ya kujiona mtukufu zaidi yako sababu heri wewe unaandika vinavyoandikika kuna wasiyoongelea haya lakini wayafanyayo hata kuyaandika hayafai kuandikika.


Sante mamito nimekupata.
 
@rr whaaaaaaat?


Smile acha kunipeperushia ndege. wewe si bikira? au kakako huyo?

Hio whaaaaaaat inaruhusiwa kutoa tu pale dada husika sio bikira. RR come this way papie.
 
Erotica nimekuachia@RR HUYO ......MIMI NA SEX TOFAUTI

kushika%252Bmasikio.bmp.jpg


Kama uliwahi pata adhabu kama hii Smile basi hesabu huna bikra iwe ya mbele au ya nyuma
 
Last edited by a moderator:
Halafu uzoefu unaonyesha debe tupu haliachi kupiga kelele kama upepo wa nguvu utapita.
 
Hii mada sijaielewa...labda ungesema Smirnoff leo vip kingeeleweka


Au akiongea mwengine ndio utaelewa? as in lolote niongealo mimi hulielewi?

najaribu kuacha ujumbe kule ila naona umefuta access. mambo gani hayo sasa Ndhahani my kirusha roho?
 
Halafu uzoefu unaonyesha debe tupu haliachi kupiga kelele kama upepo wa nguvu utapita.


Kirusha roho cha Erotica mbona wamrusha roho Ero hivo? kwa hiyo yeye ni debe tupu?
 
lemonade una vituko wewe! teh teh teh. Hivi mtu unapojiangalia

tupu kwenye kioo ili iweje? teh teh the. toa jibu mamito ili wasiojiangalia watambue kuna umuhimu.

teh teh teh kuchunguza vitendea kazi, unaweza ukajiadmire mwenye nakujua wapi unamiss.....
 
Last edited by a moderator:
hapa wengi huwa ni watakatifu, ila tunapokutana nao mtaani ni vuluvuluuuuuuuuuuuuuuu
 
Back
Top Bottom