SEX got me in Trouble.. Please HELP!

SEX got me in Trouble.. Please HELP!

Asante kwa kunichum. Hujatulia, lakini nimekupenda. Na ningependa kukuona jinsi utakavyokuwa na hicho ki-bendi, haswa ufikapo mwezi wa sita! Maana utapendeza kichizi!

MwanaHaki mbona unanishawishi nikuchumu tena? mie staki papito. enwez mwaaaaaaaah. :A S-rose:
 
Last edited by a moderator:
Mfanyie interview kila mmoja then usiseme kama una mimba..kila mmoja akukumbushe kama mlitumia rough rider ama lah! Ambaye atasema hamkutumia then ndo atakua baba wa twins..:coffee:
 
inawezakuwa ikawa mimi , embu ngoja niangalie makabrasha.
 
ndio maana nataka nimjue baba watoto mapemaaa. tusaidiane kwa shida na raha.
Erotica, nakumbuka kama mimi nawe tulishawahi kucheza peku, isije ikawa hivyo viumbe tumboni ni vya Power G! Kama ni hivyo nakusikitikia maana sikujiandaa kwa majukumu kwa muda huu.
 
sante mamito mke mwenza. hapa nawaza my hubby dubby akija tukae tutatue hili lizali. mwaaaaaah.

Afu sina hakika kama hubby atakuelewa kwa hili Erotica manake ni kubwa mnoo.....ingekuwa afadhali kama ungekuwa hujachanganya na mchina:teeth:
 
Last edited by a moderator:
bucho na Power G nyie tulifanya miez miwili iliyopita.

hii mimba haijafunga hata week 6 bado. sore sio mimba yenu.
 
Last edited by a moderator:
Afu sina hakika kama hubby atakuelewa kwa hili Erotica manake ni kubwa mnoo.....ingekuwa afadhali kama ungekuwa hujachanganya na mchina:teeth:


sasa mwenzato sbb hubby dubby klorokwini anakupenda wewe na kukusikiliza ww

zaidi hebu ujaribu kumuelewesha kuwa hio ni mterezo wa hali ya juu. sikukusudia.
 
Last edited by a moderator:
Bishanga siku hio nilikutana nae hakumaliza, aliishia kwenye sarawili.
Erickb52 tulitumia nae condom, ila walipokuwa na BADILI TABIA nahisi hawakutumia.
Baba V hula kwa macho, muoga kunikaribia.
Boflo tulifanya siku nyingi, tumebaki kuwa marafiki.
Saint Ivuga nilimtolea nje kabisa. alimtengua roho Mwali kwa kutapa yuko na CUTE.
Erotica wewe mimi hukunitolea nje au nilete risiti yaile gesti hause..umesahau Erikab52 alikuwa ananiwinda nje na sime akataka kunikata nayo mkononi. leo hii umeshasahau kila kitu
 
Last edited by a moderator:
Erotica wewe mimi hukunitolea nje au nilete risiti yaile gesti hause..umesahau Erikab52 alikuwa ananiwinda nje na sime akataka kunikata nayo mkononi. leo hii umeshasahau kila kitu


teh teh teh. Saint Ivuga hufai, umemwaga mchele hali mie nilikuwa namprotect CUTE..... :A S confused:
 
Last edited by a moderator:
Siku zimekuwa zikienda najihisi tofauti tofauti, naona mwili wangu kama haupo kawaida.
Nikishika tits zangu I feel tender, najiona nimebadilika badilika tu but nashindwa kuelezea.
Saizi nakula zaidi kuliko kawaida yangu na najikuta nataka utulivu wa mara kwa mara.
Ndio nimetambua saizi nina mimba. Hio inafanya niwe nina habari mbili mbaya na nzuri.

Mbaya ni kuwa nina mimba ya mtu ambae sijui atakuwa yupi! Najiuliza baba watoto ni nani kati
ya wa 5 niliokutana nao katika zile siku za kutikisha mimba ule mwezi wa mwisho ambao niliacha sex rasmi.
Sina raha, sina amani sabb nataka mtoto ajue baba yake wa kweli ni yupi.
sina la kufanya ila mimba sitoi! Wangekuwa wote ni waswahili ningejipanga vizuri.
Tatizo katika hao wa 5 moja mchina, mwingine mzungu watatu waswahili. Wote nilitumia condom,
kasoro mmoja, nimesahau ni yupi.

Habari nzuri I am pregnant with twins nilikuwa nawatafuta kwa nguvu zote.
Bonus ni kuwa najisikia kufanya kila mara. Naomba mnisaidie ushauri pliiiiiz!

No mwaaaaah! nahisi kuzimia! :faint2:

hao watano ni wa kabila tatu tofauti, ssasa kama ulitumia condom kwa mmoja, manake yanabaki makabila mawili, na wewe una mimba ya twins, so utawangalia twins wakitoka, kama mmoja ni mfupi, hana makalio , basi ni wa kundi la wachina. manake mwingine atakuwa ni wa mmoja wa hao waliobaki.

naamini kuwa hao twins kila mmoja aliingia muda tofauti, siyo wa baba mmoja hao.
 
hao watano ni wa kabila tatu tofauti, ssasa kama ulitumia condom kwa mmoja, manake yanabaki makabila mawili, na wewe una mimba ya twins, so utawangalia twins wakitoka, kama mmoja ni mfupi, hana makalio , basi ni wa kundi la wachina. manake mwingine atakuwa ni wa mmoja wa hao waliobaki.

naamini kuwa hao twins kila mmoja aliingia muda tofauti, siyo wa baba mmoja hao.


teh teh teh. hii ni mupya na ni kali, ngoja niifanyie job.
 
thats why me in love with u. your wish will be granted.

nothing Ero wants in sex related is inaccessible. l love them gals too.

plz give this great news to Ndahani and Paxman.


Hongera Erotica mamii, Mwenyezi akukuzie.

Asa Ndahani ndo mmojawao hao waswahili na Paxman ndo huyo mweupe eh?
 
Back
Top Bottom