Asante kwa kunichum. Hujatulia, lakini nimekupenda. Na ningependa kukuona jinsi utakavyokuwa na hicho ki-bendi, haswa ufikapo mwezi wa sita! Maana utapendeza kichizi!
Erotica, nakumbuka kama mimi nawe tulishawahi kucheza peku, isije ikawa hivyo viumbe tumboni ni vya Power G! Kama ni hivyo nakusikitikia maana sikujiandaa kwa majukumu kwa muda huu.ndio maana nataka nimjue baba watoto mapemaaa. tusaidiane kwa shida na raha.
sante mamito mke mwenza. hapa nawaza my hubby dubby akija tukae tutatue hili lizali. mwaaaaaah.
Afu sina hakika kama hubby atakuelewa kwa hili Erotica manake ni kubwa mnoo.....ingekuwa afadhali kama ungekuwa hujachanganya na mchina:teeth:
Erotica wewe mimi hukunitolea nje au nilete risiti yaile gesti hause..umesahau Erikab52 alikuwa ananiwinda nje na sime akataka kunikata nayo mkononi. leo hii umeshasahau kila kituBishanga siku hio nilikutana nae hakumaliza, aliishia kwenye sarawili.
Erickb52 tulitumia nae condom, ila walipokuwa na BADILI TABIA nahisi hawakutumia.
Baba V hula kwa macho, muoga kunikaribia.
Boflo tulifanya siku nyingi, tumebaki kuwa marafiki.
Saint Ivuga nilimtolea nje kabisa. alimtengua roho Mwali kwa kutapa yuko na CUTE.
Siku zimekuwa zikienda najihisi tofauti tofauti, naona mwili wangu kama haupo kawaida.
Nikishika tits zangu I feel tender, najiona nimebadilika badilika tu but nashindwa kuelezea.
Saizi nakula zaidi kuliko kawaida yangu na najikuta nataka utulivu wa mara kwa mara.
Ndio nimetambua saizi nina mimba. Hio inafanya niwe nina habari mbili mbaya na nzuri.
Mbaya ni kuwa nina mimba ya mtu ambae sijui atakuwa yupi! Najiuliza baba watoto ni nani kati
ya wa 5 niliokutana nao katika zile siku za kutikisha mimba ule mwezi wa mwisho ambao niliacha sex rasmi.
Sina raha, sina amani sabb nataka mtoto ajue baba yake wa kweli ni yupi.
sina la kufanya ila mimba sitoi! Wangekuwa wote ni waswahili ningejipanga vizuri.
Tatizo katika hao wa 5 moja mchina, mwingine mzungu watatu waswahili. Wote nilitumia condom,
kasoro mmoja, nimesahau ni yupi.
Habari nzuri I am pregnant with twins nilikuwa nawatafuta kwa nguvu zote.
Bonus ni kuwa najisikia kufanya kila mara. Naomba mnisaidie ushauri pliiiiiz!
No mwaaaaah! nahisi kuzimia! :faint2:
hao watano ni wa kabila tatu tofauti, ssasa kama ulitumia condom kwa mmoja, manake yanabaki makabila mawili, na wewe una mimba ya twins, so utawangalia twins wakitoka, kama mmoja ni mfupi, hana makalio , basi ni wa kundi la wachina. manake mwingine atakuwa ni wa mmoja wa hao waliobaki.
naamini kuwa hao twins kila mmoja aliingia muda tofauti, siyo wa baba mmoja hao.