Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

Sex huweza kutumika kama njia kufikia roho yako (sex is a gate way to your soul)

Hi Naomba nijaribu kuweka baadhi ya mambo sawa kidogo...hapa kuna issue nyingi zimeongelewa...kwaio..ntazielezea kwa kifupi tu...
Kabla ya hapo naomba kutoa tahadhari ...ambacho nitasema kinaweza kukinzana na Imani ambazo labda wengi wamekua nazo..wamefundishwa etc..ambacho nitakisema kwa kifupi...Nimeambiwa na Guides (kwa Astral Projectors watanielewa). kwaio i take it 99% of what im about to tell you ndo ukweli halisi...now kubali au kataa...utaendelea kubaki hivyo.. nitaweka hoja zangu into 3 concepts:

Concept 1: kwanza Inabidi uelewe concept ya Mwili na roho, ntaeleza kwa kifupi sana,
Ndugu ,Mwili sio ORIGINAL nature/form yetu sisi wanadamu..naamini nikisema sio original nature yetu nimeeleweka.. mwanadamu ki asili ni roho..hapo wewe ulipo ni roho/spirit/soul etc, Mwili ni cover /housing/ protective case Tu...ili kuwezesha roho yako ku survive kwenye hii sayari (ambayo hatukuumbiwa sisi..ila thats another topic)..hivyo basi umeelewa kua roho ndo wewe...wewe ni roho...na ufahamu/consciousness/awareness/nafsi yako viko attached/part ya roho yako...kwa mantiki hii ...ukifa..utaendelea kujifahamu..utatambua kua umekufa..na utaendelea kuwafahamu watoto wako au ndugu zako..utafahamu ulisoma chuo gani etc...kufa ni kitendo tu cha mwili kuchakaa..au kuchoka (kifo za uzee, hivi vifo vingine ni topic nyingine).Rejea kwenye bibilia..kwa wale wasomaji..Mara nyingi sana Yesu amekua akionesha jinsi gani miili haina thamani..mwili wako ni nothing.hupaswi kujisikia au kujivuna kwa lolote la ki mwili ...ni kasha tu. roho ndo kila kitu.

Concept 2: Sex, kwenye hii thread tunaongelea sex, kama umenielewa concept ya kwanza..now..understand..wakati roho imeumbwa..ndo ilipewa maagizo kuhusu sex, naomba nirudie..roho zipo tayari ila sio zote zina miili..kwa lugha nyingine..ingeweza kutokea wewe kuzaliwa kabla ya mzazi wako...roho zenu zilikuepo already ila ...ya kwake yeye ilitangulia kupata mwili (Rejea kitabu cha mwanzo (bibilia), sura ya kwanza Adamu na eva roho zao zilikuepo zote kwa pamoja, Sura ya pili..unaona adam anapewa mwili wa kwanza..kisha eva anafata( kutoka ubavu wa adamu)). ILA roho ndo iliambiwa kuhusu kuzaa na sex...
Hapa ndipo complication ya sex inakuja....Lengo hasa la sex ni kuzaa..(Reproduction) hio ndo purpose ya sex sio vinginevyo..ila kilichopewa maagizo ni Roho / why?? kwanini iwe roho na wakati sex ni kitendo cha mwili??
Sex ni kitendo cha kuipa roho mwili...roho ambayo ipo tayari (Rejea bibilia,"Nimekujua kabla hujatungwa mimba"). kufanikisha hili..lazma roho nyingine zihusike kutengeneza path/gate ili roho nyingine iingie kwenye mwili(mtoto tumboni) . hivyo basi ...kufanya sex na watu hovyo..watu wengi ni hatari..mana lengo linakua sio kuzaa..na mnajiweka kwenye mazingira hatarishi ya kuingiza roho nyingine juu yenu kila mnapokutana..hii roho inayoingia..inaweza kubaki ndani ya mmoja wenu..
ni kwa sababu hii ...ubikira imekua ikichukuliwa kua kigezo kikubwa katika kuunganisha watu wawili kwenye ndoa.
kwa kifupi sana..kama una uwezo wa kukaa bila kufanya sex ...ni vema sana..otherwise jiepushe na sex na kila mtu.

concept 3: punyeto: kuelewa hili...turudi kwenye suala la mwili...Sperms ni product tu ya mwili kama yalivyo machozi...au jasho , sperm zinapozidi mwilini NATURALLY zinatoka zenyewe ( wet dreams) .. punyeto ni kitendo tu cha kulazimisha kuzitoa...punyeto ikizidi ambacho kinaweza kutokea ni mwili kukosa nguvu..etc...ukilazimisha kitu chochote kutoka mwili tofauti na utaratibu wa mwili..utapata side effects zile zile za punyeto...ni sawa na mtu anaeharisha..(anapoteza maji mengi mwilini), hivyo hukosa nguvu,macho/kichwa kuuma etc Punyeto haina uhusiano wowote whatsoever na roho..hakuna muunganiko wowote unaofanya na roho yoyote unapofanya punyeto kwakua haiwezi kupelekea tokeo lolote linalohusisha roho.
Sperms zimekua zikiitwa fuel ya life kwa sababu 90% ya sperm ni protein (ambayo ndo building block ya cells/mwili) hio 10% ndo kuna zinc etc (fuatilia chemical content ya sperms).nb: yai la kiumbe chochote ni more than 90% protein ...mfano yai la kuku etc
mengi yanaongelewa..ila ukiwa na bahati kwa wale wanaofanya SAFE meditation na SAFE trips to astral world..ukiwa na bahati pia..ya kupata GUIDE..utaelezwa all the secrets of this world.. kwa wale wanaosoma bibilia..naamini kuna mambo labda yataanza kua clear kwenye akili zenu.

my advise..Dont do sex with everyone for fun..or dont do it at all..

Umeelezea vizuri sana mkuu... yani sanaaa maana nmekupata 369%- but kwa upande wangu hua kuna tatizo moja kwenye astral hua nakutana na guide na ananiambia mambo mazuri sana ambayo toka nizaliwe na hata shule nilizosoma sikuyasikia, tatizo ninaporud kwenye physical body ninasahau vyote au naweza kukumbuka km asilimia 9% tu ya maongezi yote.... cijajua ni kwannnnnn??+#
 
Hi Naomba nijaribu kuweka baadhi ya mambo sawa kidogo...hapa kuna issue nyingi zimeongelewa...kwaio..ntazielezea kwa kifupi tu...
Kabla ya hapo naomba kutoa tahadhari ...ambacho nitasema kinaweza kukinzana na Imani ambazo labda wengi wamekua nazo..wamefundishwa etc..ambacho nitakisema kwa kifupi...Nimeambiwa na Guides (kwa Astral Projectors watanielewa). kwaio i take it 99% of what im about to tell you ndo ukweli halisi...now kubali au kataa...utaendelea kubaki hivyo.. nitaweka hoja zangu into 3 concepts:

Concept 1: kwanza Inabidi uelewe concept ya Mwili na roho, ntaeleza kwa kifupi sana,
Ndugu ,Mwili sio ORIGINAL nature/form yetu sisi wanadamu..naamini nikisema sio original nature yetu nimeeleweka.. mwanadamu ki asili ni roho..hapo wewe ulipo ni roho/spirit/soul etc, Mwili ni cover /housing/ protective case Tu...ili kuwezesha roho yako ku survive kwenye hii sayari (ambayo hatukuumbiwa sisi..ila thats another topic)..hivyo basi umeelewa kua roho ndo wewe...wewe ni roho...na ufahamu/consciousness/awareness/nafsi yako viko attached/part ya roho yako...kwa mantiki hii ...ukifa..utaendelea kujifahamu..utatambua kua umekufa..na utaendelea kuwafahamu watoto wako au ndugu zako..utafahamu ulisoma chuo gani etc...kufa ni kitendo tu cha mwili kuchakaa..au kuchoka (kifo za uzee, hivi vifo vingine ni topic nyingine).Rejea kwenye bibilia..kwa wale wasomaji..Mara nyingi sana Yesu amekua akionesha jinsi gani miili haina thamani..mwili wako ni nothing.hupaswi kujisikia au kujivuna kwa lolote la ki mwili ...ni kasha tu. roho ndo kila kitu.

Concept 2: Sex, kwenye hii thread tunaongelea sex, kama umenielewa concept ya kwanza..now..understand..wakati roho imeumbwa..ndo ilipewa maagizo kuhusu sex, naomba nirudie..roho zipo tayari ila sio zote zina miili..kwa lugha nyingine..ingeweza kutokea wewe kuzaliwa kabla ya mzazi wako...roho zenu zilikuepo already ila ...ya kwake yeye ilitangulia kupata mwili (Rejea kitabu cha mwanzo (bibilia), sura ya kwanza Adamu na eva roho zao zilikuepo zote kwa pamoja, Sura ya pili..unaona adam anapewa mwili wa kwanza..kisha eva anafata( kutoka ubavu wa adamu)). ILA roho ndo iliambiwa kuhusu kuzaa na sex...
Hapa ndipo complication ya sex inakuja....Lengo hasa la sex ni kuzaa..(Reproduction) hio ndo purpose ya sex sio vinginevyo..ila kilichopewa maagizo ni Roho / why?? kwanini iwe roho na wakati sex ni kitendo cha mwili??
Sex ni kitendo cha kuipa roho mwili...roho ambayo ipo tayari (Rejea bibilia,"Nimekujua kabla hujatungwa mimba"). kufanikisha hili..lazma roho nyingine zihusike kutengeneza path/gate ili roho nyingine iingie kwenye mwili(mtoto tumboni) . hivyo basi ...kufanya sex na watu hovyo..watu wengi ni hatari..mana lengo linakua sio kuzaa..na mnajiweka kwenye mazingira hatarishi ya kuingiza roho nyingine juu yenu kila mnapokutana..hii roho inayoingia..inaweza kubaki ndani ya mmoja wenu..
ni kwa sababu hii ...ubikira imekua ikichukuliwa kua kigezo kikubwa katika kuunganisha watu wawili kwenye ndoa.
kwa kifupi sana..kama una uwezo wa kukaa bila kufanya sex ...ni vema sana..otherwise jiepushe na sex na kila mtu.

concept 3: punyeto: kuelewa hili...turudi kwenye suala la mwili...Sperms ni product tu ya mwili kama yalivyo machozi...au jasho , sperm zinapozidi mwilini NATURALLY zinatoka zenyewe ( wet dreams) .. punyeto ni kitendo tu cha kulazimisha kuzitoa...punyeto ikizidi ambacho kinaweza kutokea ni mwili kukosa nguvu..etc...ukilazimisha kitu chochote kutoka mwili tofauti na utaratibu wa mwili..utapata side effects zile zile za punyeto...ni sawa na mtu anaeharisha..(anapoteza maji mengi mwilini), hivyo hukosa nguvu,macho/kichwa kuuma etc Punyeto haina uhusiano wowote whatsoever na roho..hakuna muunganiko wowote unaofanya na roho yoyote unapofanya punyeto kwakua haiwezi kupelekea tokeo lolote linalohusisha roho.
Sperms zimekua zikiitwa fuel ya life kwa sababu 90% ya sperm ni protein (ambayo ndo building block ya cells/mwili) hio 10% ndo kuna zinc etc (fuatilia chemical content ya sperms).nb: yai la kiumbe chochote ni more than 90% protein ...mfano yai la kuku etc
mengi yanaongelewa..ila ukiwa na bahati kwa wale wanaofanya SAFE meditation na SAFE trips to astral world..ukiwa na bahati pia..ya kupata GUIDE..utaelezwa all the secrets of this world.. kwa wale wanaosoma bibilia..naamini kuna mambo labda yataanza kua clear kwenye akili zenu.

my advise..Dont do sex with everyone for fun..or dont do it at all..

Umeeleweka vizuri, isipokuwa unaposema punyeto haina madhara yoyote kiroho unakosea
Kama wewe unaelewa haya mambo ya kiroho vizuri, jaribu kumchukua mwanafunzi anaepiga punyeto sana na yule ambae hapigi alafu uwafundishe jinsi ya kufungua tu third eye chakra kwa usahihi kabisa uone matokeo yake.
Yule anaepiga punyeto utashangaa anachukua muda mrefu sana kufanikiwa kufungua au atakata tamaa na kuacha. Lakini yule asiyepiga utashangaa anafanikiwa hata ndani ya week moja.
 
Hi Naomba nijaribu kuweka baadhi ya mambo sawa kidogo...hapa kuna issue nyingi zimeongelewa...kwaio..ntazielezea kwa kifupi tu...
Kabla ya hapo naomba kutoa tahadhari ...ambacho nitasema kinaweza kukinzana na Imani ambazo labda wengi wamekua nazo..wamefundishwa etc..ambacho nitakisema kwa kifupi...Nimeambiwa na Guides (kwa Astral Projectors watanielewa). kwaio i take it 99% of what im about to tell you ndo ukweli halisi...now kubali au kataa...utaendelea kubaki hivyo.. nitaweka hoja zangu into 3 concepts:

Concept 1: kwanza Inabidi uelewe concept ya Mwili na roho, ntaeleza kwa kifupi sana,
Ndugu ,Mwili sio ORIGINAL nature/form yetu sisi wanadamu..naamini nikisema sio original nature yetu nimeeleweka.. mwanadamu ki asili ni roho..hapo wewe ulipo ni roho/spirit/soul etc, Mwili ni cover /housing/ protective case Tu...ili kuwezesha roho yako ku survive kwenye hii sayari (ambayo hatukuumbiwa sisi..ila thats another topic)..hivyo basi umeelewa kua roho ndo wewe...wewe ni roho...na ufahamu/consciousness/awareness/nafsi yako viko attached/part ya roho yako...kwa mantiki hii ...ukifa..utaendelea kujifahamu..utatambua kua umekufa..na utaendelea kuwafahamu watoto wako au ndugu zako..utafahamu ulisoma chuo gani etc...kufa ni kitendo tu cha mwili kuchakaa..au kuchoka (kifo za uzee, hivi vifo vingine ni topic nyingine).Rejea kwenye bibilia..kwa wale wasomaji..Mara nyingi sana Yesu amekua akionesha jinsi gani miili haina thamani..mwili wako ni nothing.hupaswi kujisikia au kujivuna kwa lolote la ki mwili ...ni kasha tu. roho ndo kila kitu.

Concept 2: Sex, kwenye hii thread tunaongelea sex, kama umenielewa concept ya kwanza..now..understand..wakati roho imeumbwa..ndo ilipewa maagizo kuhusu sex, naomba nirudie..roho zipo tayari ila sio zote zina miili..kwa lugha nyingine..ingeweza kutokea wewe kuzaliwa kabla ya mzazi wako...roho zenu zilikuepo already ila ...ya kwake yeye ilitangulia kupata mwili (Rejea kitabu cha mwanzo (bibilia), sura ya kwanza Adamu na eva roho zao zilikuepo zote kwa pamoja, Sura ya pili..unaona adam anapewa mwili wa kwanza..kisha eva anafata( kutoka ubavu wa adamu)). ILA roho ndo iliambiwa kuhusu kuzaa na sex...
Hapa ndipo complication ya sex inakuja....Lengo hasa la sex ni kuzaa..(Reproduction) hio ndo purpose ya sex sio vinginevyo..ila kilichopewa maagizo ni Roho / why?? kwanini iwe roho na wakati sex ni kitendo cha mwili??
Sex ni kitendo cha kuipa roho mwili...roho ambayo ipo tayari (Rejea bibilia,"Nimekujua kabla hujatungwa mimba"). kufanikisha hili..lazma roho nyingine zihusike kutengeneza path/gate ili roho nyingine iingie kwenye mwili(mtoto tumboni) . hivyo basi ...kufanya sex na watu hovyo..watu wengi ni hatari..mana lengo linakua sio kuzaa..na mnajiweka kwenye mazingira hatarishi ya kuingiza roho nyingine juu yenu kila mnapokutana..hii roho inayoingia..inaweza kubaki ndani ya mmoja wenu..
ni kwa sababu hii ...ubikira imekua ikichukuliwa kua kigezo kikubwa katika kuunganisha watu wawili kwenye ndoa.
kwa kifupi sana..kama una uwezo wa kukaa bila kufanya sex ...ni vema sana..otherwise jiepushe na sex na kila mtu.

concept 3: punyeto: kuelewa hili...turudi kwenye suala la mwili...Sperms ni product tu ya mwili kama yalivyo machozi...au jasho , sperm zinapozidi mwilini NATURALLY zinatoka zenyewe ( wet dreams) .. punyeto ni kitendo tu cha kulazimisha kuzitoa...punyeto ikizidi ambacho kinaweza kutokea ni mwili kukosa nguvu..etc...ukilazimisha kitu chochote kutoka mwili tofauti na utaratibu wa mwili..utapata side effects zile zile za punyeto...ni sawa na mtu anaeharisha..(anapoteza maji mengi mwilini), hivyo hukosa nguvu,macho/kichwa kuuma etc Punyeto haina uhusiano wowote whatsoever na roho..hakuna muunganiko wowote unaofanya na roho yoyote unapofanya punyeto kwakua haiwezi kupelekea tokeo lolote linalohusisha roho.
Sperms zimekua zikiitwa fuel ya life kwa sababu 90% ya sperm ni protein (ambayo ndo building block ya cells/mwili) hio 10% ndo kuna zinc etc (fuatilia chemical content ya sperms).nb: yai la kiumbe chochote ni more than 90% protein ...mfano yai la kuku etc
mengi yanaongelewa..ila ukiwa na bahati kwa wale wanaofanya SAFE meditation na SAFE trips to astral world..ukiwa na bahati pia..ya kupata GUIDE..utaelezwa all the secrets of this world.. kwa wale wanaosoma bibilia..naamini kuna mambo labda yataanza kua clear kwenye akili zenu.

my advise..Dont do sex with everyone for fun..or dont do it at all..

mkuu naomba ufafanuzi kwenye post yangu hapo juu
 
Umeelezea vizuri sana mkuu... yani sanaaa maana nmekupata 369%- but kwa upande wangu hua kuna tatizo moja kwenye astral hua nakutana na guide na ananiambia mambo mazuri sana ambayo toka nizaliwe na hata shule nilizosoma sikuyasikia, tatizo ninaporud kwenye physical body ninasahau vyote au naweza kukumbuka km asilimia 9% tu ya maongezi yote.... cijajua ni kwannnnnn??+#

Kwa sasa unaweza kuinyamazisha akili kabisa?
 
Wakuu,hi kitu inaitwa meditation huwa natamani niifanye lakini sijui procedure hata 1 unaanza vipi.kitu ambacho nakumbuka kutoka kwenye somo la pasco ni kuwa uwe na lengo.
Naombeni ufafanuzi kdgo jinsi ya kuanza
 
Hi Naomba nijaribu kuweka baadhi ya mambo sawa kidogo...hapa kuna issue nyingi zimeongelewa...kwaio..ntazielezea kwa kifupi tu...
Kabla ya hapo naomba kutoa tahadhari ...ambacho nitasema kinaweza kukinzana na Imani ambazo labda wengi wamekua nazo..wamefundishwa etc..ambacho nitakisema kwa kifupi...Nimeambiwa na Guides (kwa Astral Projectors watanielewa). kwaio i take it 99% of what im about to tell you ndo ukweli halisi...now kubali au kataa...utaendelea kubaki hivyo.. nitaweka hoja zangu into 3 concepts:

Concept 1: kwanza Inabidi uelewe concept ya Mwili na roho, ntaeleza kwa kifupi sana,
Ndugu ,Mwili sio ORIGINAL nature/form yetu sisi wanadamu..naamini nikisema sio original nature yetu nimeeleweka.. mwanadamu ki asili ni roho..hapo wewe ulipo ni roho/spirit/soul etc, Mwili ni cover /housing/ protective case Tu...ili kuwezesha roho yako ku survive kwenye hii sayari (ambayo hatukuumbiwa sisi..ila thats another topic)..hivyo basi umeelewa kua roho ndo wewe...wewe ni roho...na ufahamu/consciousness/awareness/nafsi yako viko attached/part ya roho yako...kwa mantiki hii ...ukifa..utaendelea kujifahamu..utatambua kua umekufa..na utaendelea kuwafahamu watoto wako au ndugu zako..utafahamu ulisoma chuo gani etc...kufa ni kitendo tu cha mwili kuchakaa..au kuchoka (kifo za uzee, hivi vifo vingine ni topic nyingine).Rejea kwenye bibilia..kwa wale wasomaji..Mara nyingi sana Yesu amekua akionesha jinsi gani miili haina thamani..mwili wako ni nothing.hupaswi kujisikia au kujivuna kwa lolote la ki mwili ...ni kasha tu. roho ndo kila kitu.

Concept 2: Sex, kwenye hii thread tunaongelea sex, kama umenielewa concept ya kwanza..now..understand..wakati roho imeumbwa..ndo ilipewa maagizo kuhusu sex, naomba nirudie..roho zipo tayari ila sio zote zina miili..kwa lugha nyingine..ingeweza kutokea wewe kuzaliwa kabla ya mzazi wako...roho zenu zilikuepo already ila ...ya kwake yeye ilitangulia kupata mwili (Rejea kitabu cha mwanzo (bibilia), sura ya kwanza Adamu na eva roho zao zilikuepo zote kwa pamoja, Sura ya pili..unaona adam anapewa mwili wa kwanza..kisha eva anafata( kutoka ubavu wa adamu)). ILA roho ndo iliambiwa kuhusu kuzaa na sex...
Hapa ndipo complication ya sex inakuja....Lengo hasa la sex ni kuzaa..(Reproduction) hio ndo purpose ya sex sio vinginevyo..ila kilichopewa maagizo ni Roho / why?? kwanini iwe roho na wakati sex ni kitendo cha mwili??
Sex ni kitendo cha kuipa roho mwili...roho ambayo ipo tayari (Rejea bibilia,"Nimekujua kabla hujatungwa mimba"). kufanikisha hili..lazma roho nyingine zihusike kutengeneza path/gate ili roho nyingine iingie kwenye mwili(mtoto tumboni) . hivyo basi ...kufanya sex na watu hovyo..watu wengi ni hatari..mana lengo linakua sio kuzaa..na mnajiweka kwenye mazingira hatarishi ya kuingiza roho nyingine juu yenu kila mnapokutana..hii roho inayoingia..inaweza kubaki ndani ya mmoja wenu..
ni kwa sababu hii ...ubikira imekua ikichukuliwa kua kigezo kikubwa katika kuunganisha watu wawili kwenye ndoa.
kwa kifupi sana..kama una uwezo wa kukaa bila kufanya sex ...ni vema sana..otherwise jiepushe na sex na kila mtu.

concept 3: punyeto: kuelewa hili...turudi kwenye suala la mwili...Sperms ni product tu ya mwili kama yalivyo machozi...au jasho , sperm zinapozidi mwilini NATURALLY zinatoka zenyewe ( wet dreams) .. punyeto ni kitendo tu cha kulazimisha kuzitoa...punyeto ikizidi ambacho kinaweza kutokea ni mwili kukosa nguvu..etc...ukilazimisha kitu chochote kutoka mwili tofauti na utaratibu wa mwili..utapata side effects zile zile za punyeto...ni sawa na mtu anaeharisha..(anapoteza maji mengi mwilini), hivyo hukosa nguvu,macho/kichwa kuuma etc Punyeto haina uhusiano wowote whatsoever na roho..hakuna muunganiko wowote unaofanya na roho yoyote unapofanya punyeto kwakua haiwezi kupelekea tokeo lolote linalohusisha roho.
Sperms zimekua zikiitwa fuel ya life kwa sababu 90% ya sperm ni protein (ambayo ndo building block ya cells/mwili) hio 10% ndo kuna zinc etc (fuatilia chemical content ya sperms).nb: yai la kiumbe chochote ni more than 90% protein ...mfano yai la kuku etc
mengi yanaongelewa..ila ukiwa na bahati kwa wale wanaofanya SAFE meditation na SAFE trips to astral world..ukiwa na bahati pia..ya kupata GUIDE..utaelezwa all the secrets of this world.. kwa wale wanaosoma bibilia..naamini kuna mambo labda yataanza kua clear kwenye akili zenu.

my advise..Dont do sex with everyone for fun..or dont do it at all..

Shukrani sana mkuu. Nimekuelewa vizuri sana pengine kuliko hata ulivyotarajia.
 
Wakuu,hi kitu inaitwa meditation huwa natamani niifanye lakini sijui procedure hata 1 unaanza vipi.kitu ambacho nakumbuka kutoka kwenye somo la pasco ni kuwa uwe na lengo.
Naombeni ufafanuzi kdgo jinsi ya kuanza

Cc aretasludovick
 
Last edited by a moderator:
third eye nimejarbu mara nying but sikufanikiwa, mkuu we unaijua njia nyepes ya kuopen third eye???

Mimi ninalo tatizo la uoga. Kila nikihisi vibration najikurupua.. Tumuite Apollo aje atutoe tongotongo tena maana hakuna namna.
Nadhani ukiweza hii tu, hata yale maelezo unayopewaga ukiwa nje ya mwili utayakumbuka.
 
Last edited by a moderator:
Mimi ninalo tatizo la uoga. Kila nikihisi vibration najikurupua.. Tumuite Apollo aje atutoe tongotongo tena maana hakuna namna.
Nadhani ukiweza hii tu, hata yale maelezo unayopewaga ukiwa nje ya mwili utayakumbuka.

kuna mtu alishawah kuelezea jins ya kukumbuka journey zako zote kwenye AP lakin bado sijafanikiwa, na kuhusu third eye nafikir Apollo alishaelezea lkn hio njia ilinishinda aiseee
 
Last edited by a moderator:
Hii mada bado ina utata sana kwani sio kwamba ina uhakika kwa asimia kubwa. Hapana nayo ina utata wake kwani Sex ni tendo ambalo mwanadamu mpaka leo anajaribu kujiuliza lengo lake ni nini.

Kwa watu wanaoamini Occult wanaamini kuwa Sex ni gate of eden. Wanaamini kuwa Sex ni muunganiko wa mwanadamu yaani mwanamke na mwanaume. Pia wanaamini Sex ni uumbaji kwani hupelekea uumbaji wa maisha mapya ya mtoto. Occult wamefika mbali kwa kufundisha kuwa Orgasm ni tofauti na sex. Orgasm ni hisia inayopatikana katika sex. WanaOccult wamegawanyika hapa.


  • Kuna wanaoamini Sex ndio msingi mkuu
  • Kuna wanaoamini Orgasm ndio msingi mkuu na sex sio lazima.

Kwani Orgasm wanaamini inaamsha energy ya kujitambua mwilini.

Lakini mimi baada ya kujifunza sana, nimekuja kukataa kabisa kuwa Sex ni muhimu katika kujitambua. No Sex sio muhimu kwani wanadamu wengi waliokuja kujitambua waliwahi kujitenga na mahusiano na mwanamke kwa kipindi fulani au katika maisha yao yote. Hii ni uthibitisho kuwa sex sio gate to soul bali kuachana na desires ndio gates to soul. Sex ni njia ya kuweka uhai mpya kwa kuleta uhai tena kwenye hali ya uanadamu lakini pia sex ni kifungo ambacho mwanadamu anajifunga ili asijitambue. Ni kama ni njia ya pekee katika kuleta uhai lakini pia ni njia ya kukupoteza pia. Mfano mzuri na wanafunzi wa Yesu waliacha kuendelea na mahusiano na wake zao na kushikilia imani kwa kujitambua. Lengo kuu ni kujitambua kwani unapoishi maisha yasiyo na tamaa, desires, lust na ujinga unaongeza kujitambua na nguvu ya kiimani. Pia sex inapelekea utokwaji wa mbegu za mwanadamu. Wanadamu wengi wanafurahia sex na wanaamini kuwa ni raha lakini hawajui kuwa uwezo wa tone moja la mbegu inayotoka ni sawa na matone 40 ya damu. Kwa maana kuwa mbegu ni aina ya majimaji ya mwili ambayo dhamani kubwa ya uhai imewekwa. Mtu anapotoa mbegu kila saa anapelekea mwili wake kulazimika kujinyima na kutengeneza mbegu kwanza lakini mtu asiyetoa mbegu zake mara kwa mara ile nguvu ya mwili kutengeneza mbegu inapungua na mwili unatengeneza nguvu ya kiroho, kimwili na kiakili. Na hata utafiti wa sasa unasema kuwa mbegu zisipotumika mwili unaziwekeza katika maendeleo mengine ya mwili. Hata ukitaka kujaribu kaa bila sex kwa muda mrefu na siku ukiingia kwenye sex unahisi mchovu na emotional imbalance.

Cha msingi ni kujitambua. Sex sio kitu cha kusema kitumike kuzidisha, na kwa ambao hawana muda na sex au wanadhiri nao wapo sawa kabisa.

nimekupata apo masta
 
Wakuu,hi kitu inaitwa meditation huwa natamani niifanye lakini sijui procedure hata 1 unaanza vipi.kitu ambacho nakumbuka kutoka kwenye somo la pasco ni kuwa uwe na lengo.
Naombeni ufafanuzi kdgo jinsi ya kuanza

Kaa mkao wa yoga, Kisha Anza kuvuta pumzi taratibu ndani nje, ndani nje toka tumboni. Akili yote toa kwenye mawazo weka umakini kwenye pumzi hadi ujisahau we mwenyewe. Hakikisha hakuna sauti hapo hata ya kunong'ona. Endelea hivyo, endelea kuweka fahamu zako kwenye pumzi yako kabisa, mawazo yakija usijishughulishe nayo kabisa, endelea kuhamishia akili yote kwenye pumzi hadi utafika mahali mawazo yote yatatoweka ndani yako. Endelea ktk hali hii kwa nusu saa.
Hapo utaanza kupokea nguvu inayotawala ulimwengu inayojulikana kama Cosmic energy.

Kwa msaada zaidi wakija walimu hawa Annael Apollo Pasco mshanajr Rakims watakuelekeza zaidi maana mimi bado nipo kwenye kujifunza tu bado.
 
Last edited by a moderator:
Hi Naomba nijaribu kuweka baadhi ya mambo sawa kidogo...hapa kuna issue nyingi zimeongelewa...kwaio..ntazielezea kwa kifupi tu...
Kabla ya hapo naomba kutoa tahadhari ...ambacho nitasema kinaweza kukinzana na Imani ambazo labda wengi wamekua nazo..wamefundishwa etc..ambacho nitakisema kwa kifupi...Nimeambiwa na Guides (kwa Astral Projectors watanielewa). kwaio i take it 99% of what im about to tell you ndo ukweli halisi...now kubali au kataa...utaendelea kubaki hivyo.. nitaweka hoja zangu into 3 concepts:

Concept 1: kwanza Inabidi uelewe concept ya Mwili na roho, ntaeleza kwa kifupi sana,
Ndugu ,Mwili sio ORIGINAL nature/form yetu sisi wanadamu..naamini nikisema sio original nature yetu nimeeleweka.. mwanadamu ki asili ni roho..hapo wewe ulipo ni roho/spirit/soul etc, Mwili ni cover /housing/ protective case Tu...ili kuwezesha roho yako ku survive kwenye hii sayari (ambayo hatukuumbiwa sisi..ila thats another topic)..hivyo basi umeelewa kua roho ndo wewe...wewe ni roho...na ufahamu/consciousness/awareness/nafsi yako viko attached/part ya roho yako...kwa mantiki hii ...ukifa..utaendelea kujifahamu..utatambua kua umekufa..na utaendelea kuwafahamu watoto wako au ndugu zako..utafahamu ulisoma chuo gani etc...kufa ni kitendo tu cha mwili kuchakaa..au kuchoka (kifo za uzee, hivi vifo vingine ni topic nyingine).Rejea kwenye bibilia..kwa wale wasomaji..Mara nyingi sana Yesu amekua akionesha jinsi gani miili haina thamani..mwili wako ni nothing.hupaswi kujisikia au kujivuna kwa lolote la ki mwili ...ni kasha tu. roho ndo kila kitu.

Concept 2: Sex, kwenye hii thread tunaongelea sex, kama umenielewa concept ya kwanza..now..understand..wakati roho imeumbwa..ndo ilipewa maagizo kuhusu sex, naomba nirudie..roho zipo tayari ila sio zote zina miili..kwa lugha nyingine..ingeweza kutokea wewe kuzaliwa kabla ya mzazi wako...roho zenu zilikuepo already ila ...ya kwake yeye ilitangulia kupata mwili (Rejea kitabu cha mwanzo (bibilia), sura ya kwanza Adamu na eva roho zao zilikuepo zote kwa pamoja, Sura ya pili..unaona adam anapewa mwili wa kwanza..kisha eva anafata( kutoka ubavu wa adamu)). ILA roho ndo iliambiwa kuhusu kuzaa na sex...
Hapa ndipo complication ya sex inakuja....Lengo hasa la sex ni kuzaa..(Reproduction) hio ndo purpose ya sex sio vinginevyo..ila kilichopewa maagizo ni Roho / why?? kwanini iwe roho na wakati sex ni kitendo cha mwili??
Sex ni kitendo cha kuipa roho mwili...roho ambayo ipo tayari (Rejea bibilia,"Nimekujua kabla hujatungwa mimba"). kufanikisha hili..lazma roho nyingine zihusike kutengeneza path/gate ili roho nyingine iingie kwenye mwili(mtoto tumboni) . hivyo basi ...kufanya sex na watu hovyo..watu wengi ni hatari..mana lengo linakua sio kuzaa..na mnajiweka kwenye mazingira hatarishi ya kuingiza roho nyingine juu yenu kila mnapokutana..hii roho inayoingia..inaweza kubaki ndani ya mmoja wenu..
ni kwa sababu hii ...ubikira imekua ikichukuliwa kua kigezo kikubwa katika kuunganisha watu wawili kwenye ndoa.
kwa kifupi sana..kama una uwezo wa kukaa bila kufanya sex ...ni vema sana..otherwise jiepushe na sex na kila mtu.

concept 3: punyeto: kuelewa hili...turudi kwenye suala la mwili...Sperms ni product tu ya mwili kama yalivyo machozi...au jasho , sperm zinapozidi mwilini NATURALLY zinatoka zenyewe ( wet dreams) .. punyeto ni kitendo tu cha kulazimisha kuzitoa...punyeto ikizidi ambacho kinaweza kutokea ni mwili kukosa nguvu..etc...ukilazimisha kitu chochote kutoka mwili tofauti na utaratibu wa mwili..utapata side effects zile zile za punyeto...ni sawa na mtu anaeharisha..(anapoteza maji mengi mwilini), hivyo hukosa nguvu,macho/kichwa kuuma etc Punyeto haina uhusiano wowote whatsoever na roho..hakuna muunganiko wowote unaofanya na roho yoyote unapofanya punyeto kwakua haiwezi kupelekea tokeo lolote linalohusisha roho.
Sperms zimekua zikiitwa fuel ya life kwa sababu 90% ya sperm ni protein (ambayo ndo building block ya cells/mwili) hio 10% ndo kuna zinc etc (fuatilia chemical content ya sperms).nb: yai la kiumbe chochote ni more than 90% protein ...mfano yai la kuku etc
mengi yanaongelewa..ila ukiwa na bahati kwa wale wanaofanya SAFE meditation na SAFE trips to astral world..ukiwa na bahati pia..ya kupata GUIDE..utaelezwa all the secrets of this world.. kwa wale wanaosoma bibilia..naamini kuna mambo labda yataanza kua clear kwenye akili zenu.

my advise..Dont do sex with everyone for fun..or dont do it at all..

Maandishi murua sana haya mkuu, muhimu watu wayasome na kuyatafakari.
 
Hata nyie mpo mbona?

Unajua sababu ya huu mchezo kuwa mbaya na kumwathiri kila anayejaribu ni kutokana na mazoea.
Mtu anaejichua huwa anarudia hata mara 2 kwa siku ambayo ni hatari sana
Hata mwenye mke/mume ni vigumu kufanya hilo tendo mara 2 kwa siku

Kwa mfano me napenda kujichua ninapomkosa demu wangu kwa wiki naweza jichua mara 2 au 3 je hii itaniathiri afya mana ss hv naona nikijichua spam haziruki km zamani znaishia kudondoka kwa kiasi kidogo tu yaan matone wakat zamani zilikuwa znatoka km mkojo kwa kuruka nikaachaga kunyeto na kudo km miezi miwiri hv araf nkajakudo na gero wngu nkapiz nje lkn hari hile hile znatoka kwa vitone tu lkn nguvu uwezo wa kulimudu tendo na mengi yapo vile vile sana sana vimeongezeka na nafulahia km kawaida je hii inasababishwa na hyo kitu mnayosema khs nyeto au demu wangu ndo hao majitu machafu yanakuachia roho chafu au nyeto imenihathili ama
Nb ktk life yngu nimeshilikiana na wanawake wawili tu ktk kipindi cha miaka 10 tngu nibalehe na nyeto niliianza baada ya kuachana na gero wangu wq kwanza hv sasa ni 6 yrs tngu nianze mchezo wa kunyeto
Mwisho je nifanye nini ili spam ziweze kuruka na kutoka kwa wingi natalaji kuingi ktk ndoa nipate mtoto nimesikia wengi wanasema km huwezi kurusha spam huwezi kutungisha mimba
Au pngne huyu demu ndo chanzo

Km nimetoka nje ya mada nisameheni natalaji nyinyi wenzangu mtanipa ushauli akhsnte
 
Back
Top Bottom