FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Mbona nimekuwa mkweli sana kwake FirstLady1...nimemwambia Erotica anipe hint ya namna gani mtu huwa anapendwa tena online, na hajafanya hivyo.
Sijui aliziona six packs zangu kule mjimwema beach na akasikia jina langu? Hata sielewi inakuwaje...ila nashukuru umemuimbia huo wimbo....lakini hata hivyo naogopa kuwa no 30...ni list ndefu sana hiyo ukiwa kwenye mid 20's.
Vin Diesel achana na mke wa mtu utajuta nakupa ushauri wa bure usisahau kikupacho utamu na uchungu kitakupaBora akajifiche huko huko....muda wake umeisha na sasa ni mimi na mdada wangu mtamu mpaka tukufe.... Blaki Womani...
Vin Diesel achana na mke wa mtu utajuta nakupa ushauri wa bure usisahau kikupacho utamu na uchungu kitakupa
Ndahani list isikushtue ni namba tu hizo ukijilipua Ero yupo kwa ajili yakoMbona nimekuwa mkweli sana kwake FirstLady1...nimemwambia Erotica anipe hint ya namna gani mtu huwa anapendwa tena online, na hajafanya hivyo.
Sijui aliziona six packs zangu kule mjimwema beach na akasikia jina langu? Hata sielewi inakuwaje...ila nashukuru umemuimbia huo wimbo....lakini hata hivyo naogopa kuwa no 30...ni list ndefu sana hiyo ukiwa kwenye mid 20's.
Blaki Womani my darling wifi, nani kakudanganya kuwa siku hizi tunasema kwa shida na raha?.....nani anataka shida mpendwa......mie nilisema kwa raha tu sasa nilivyokuta kuna shida ikabidi nijiweke pembeni!sweetlady si ulisema kwa shida na raha au ilikuwa igizo
Ndahani list isikushtue ni namba tu hizo ukijilipua Ero yupo kwa ajili yako
Hahahahaha wifi bana lol.....naona umeamua kumtisha husband live bila chenga!
ulichezea shilingi chooni sasa naona umerudi kwa ari nguvu na kasi mpya kaa mbali kabla sijamwita Husninyo
Vin Diesel achana na mke wa mtu utajuta nakupa ushauri wa bure usisahau kikupacho utamu na uchungu kitakupa
Blaki Womani my darling wifi, nani kakudanganya kuwa siku hizi tunasema kwa shida na raha?.....nani anataka shida mpendwa......mie nilisema kwa raha tu sasa nilivyokuta kuna shida ikabidi nijiweke pembeni!
Niliidaka kabla haijadumbukia....ya kakayo ikazama moja kwa moja.....
Nimerudi na nimejipanga sawa sawa....hawa kina klorokwini na nitonye hawaninyimi usingizi hata kidogo... Husninyo kajibanza zake mpwapwa...
Niliidaka kabla haijadumbukia....ya kakayo ikazama moja kwa moja.....
Nimerudi na nimejipanga sawa sawa....hawa kina klorokwini na nitonye hawaninyimi usingizi hata kidogo... Husninyo kajibanza zake mpwapwa...
hahahahha my sweet wifi ni bingwa wa maigizo shida utakuwa umesababisha wewe baada ya kudai pesa za shopping kila siku ooohhh hujazoe kutembelea bebiwoka unataka Kilimo kwanza
Bahati nzuri mie ndio mume na twapeana utamu tu....uchungu kaachiwa kaka yako Blaki Womani....
khaaa kimya kingi kina mshindo mkuu umekuja na ya Sumbawanga au? naona sweetlady anapoteza uwezo wa kujitambua
Bora akajifiche huko huko....muda wake umeisha na sasa ni mimi na mdada wangu mtamu mpaka tukufe.... Blaki Womani...