HaaUkiotea hii lazima utajua hujui na akili itakukaa sawa kichwani
Wee jamaa kwaiyo unataka kumaanisha kwamba...?[emoji4]hapa ndipo naposhangaa maumbile ya kike, dah, alaf next time during sex anajiliza kweli
..namaanisha B alikua ananiibiaWee jamaa kwaiyo unataka kumaanisha kwamba...?[emoji4]
Ukisikia kuingia leba mara moja ndo hii sasa.View attachment 2049381
Hapa pumpers, maziwa, clinic, ada za shule. Uvivu utakwisha na hata vibarua utalima.
Wewe huoni wamilingana?napenda sana watoto wakipishana hivi kama mapacha vile
naonaWewe huoni wamilingana?
Pumbavu!Ungekuwa karibu ningekumwagia maji ya moto ili utanuke!Mpuuzi mkubwa wewe!hapa ndipo naposhangaa maumbile ya kike, dah, alaf next time during sex anajiliza kweli
Hao ni mapacha mkuu.napenda sana watoto wakipishana hivi kama mapacha vile
Vinginevyo utaanza kuongea na wadudu kama Kangi Lugora
najua mkuuHao ni mapacha mkuu.
Naungana na wewe mkuu, kwa hapa mjini wapemba wanaongoza kwa kufyatua watoto siyo siri.Wapemba hao...