Sexually transmitted demons/maambukizi ya mashetani kwa njia ya ngono. Nini uhalisia wa janga hili?

Sexually transmitted demons/maambukizi ya mashetani kwa njia ya ngono. Nini uhalisia wa janga hili?

unapozungumza haya ili iwe nini?

haya yote unayozungumza ni mambo ya kijinga

nilidhani kwamba ungalileta mada nzuri yenye kuleta maendeleo kwa binadamu

nakuomba utuletee fikra zinazoleta maendeleo kwa binadamu na si kutisha watu, ili waendee kutoa zaka na sadaka,

mambo unotueleza hayo ni mambo ya kidini, ambapo dini hushughulika na maendeleo ya watu wafu
maelezo yako mazuri. ila yangekuwa mazurizaidi kama ungemuomba mkuu max afute majukwaa yote na kubadili jina jf iwe maendeleo forum.
dini ya chuki dhidi ya mambo yasiyoonekana isikufanye ukawa na hasira juu ya vitu usivyovitaka mkuu. hii ni jamii forum na ndio maana vinajadiliwa vitu vilivyopo ktk jamii vikigusa dimensions zote.
ujifunze kuwa mvumilivu kwa vitu vigeni masikioni mwako mkuu. wenda maendeleo unayoyataka yanaweza kuwa yameviringishwa katikati ya kukubali au kukataa fikra hizi.

karibu sana mkuu
 
Hivi haya mambo huwa mnayapata wapi?

Negative imagination ndo zinazo wasumbua........hakuna uhalisia wowote.
Sawa.
Hapo halijawekwa fundisho Bali mtazamo. Kwa hiyo hata haya maoni yako yanakumbatiwa ndani ya mada. Wakati mwingine ujibu mada sio watu wakufikirika ambao hawamo kweny thread.
 
maelezo yako mazuri. ila yangekuwa mazurizaidi kama ungemuomba mkuu max afute majukwaa yote na kubadili jina jf iwe maendeleo forum.
dini ya chuki dhidi ya mambo yasiyoonekana isikufanye ukawa na hasira juu ya vitu usivyovitaka mkuu. hii ni jamii forum na ndio maana vinajadiliwa vitu vilivyopo ktk jamii vikigusa dimensions zote.
ujifunze kuwa mvumilivu kwa vitu vigeni masikioni mwako mkuu. wenda maendeleo unayoyataka yanaweza kuwa yameviringishwa katikati ya kukubali au kukataa fikra hizi.

karibu sana mkuu

Msingi wa dini yeyote ile ni ibada za wafu,

hivi ulishawahi kumwona shetani? km bado unapata wapi ujasiri wa kumzungumzia hapa ili hali hujawahi kukutana nae?

kwanini hamtaki kukubali ukweli kuwa kuna baadhi ya mambo yaliyo nje ya uwezo wenu, mwatakiwa muyaache km yalivyo kuliko kupotosha watu na kuwatia hofu

ukweli kuwa Shetani/Majini wapo imebaki kuwa ni SIRI YA MUNGU hakuna ajuaye

km kuna maisha baada ya kifo nayo Imebaki kuwa ni SIRI YA MUNGU hakuna ajuaye

hizi imani za kijinga kutaka kuaminishana kakakuona ni chura na chura ni kakakuona tunataka zikome, muda wake umekwisha

hakuna mtu mwenye chuki wala hasira hapa,
 
Msingi wa dini yeyote ile ni ibada za wafu,

hivi ulishawahi kumwona shetani? km bado unapata wapi ujasiri wa kumzungumzia hapa ili hali hujawahi kukutana nae?

kwanini hamtaki kukubali ukweli kuwa kuna baadhi ya mambo yaliyo nje ya uwezo wenu, mwatakiwa muyaache km yalivyo kuliko kupotosha watu na kuwatia hofu

ukweli kuwa Shetani/Majini wapo imebaki kuwa ni SIRI YA MUNGU hakuna ajuaye

km kuna maisha baada ya kifo nayo Imebaki kuwa ni SIRI YA MUNGU hakuna ajuaye

hizi imani za kijinga kutaka kuaminishana kakakuona ni chura na chura ni kakakuona tunataka zikome, muda wake umekwisha

hakuna mtu mwenye chuki wala hasira hapa,
nadhani utakuwa ni mjeruhiwa wa imani flani potofu ya dini ikakufanya kuwa mpinzani wa dini kama sehemu ya kisasi.
maana huwa sijui unaandika nini. Chochote kinachokuja kichwani ilimradi upinge tu.
Tuchukulie unachosema ni sahihi, ili moyo wako ufurahi maana katika hili sioni nafasi ya kujadili maana inaonekana umekimbilia kujibu bila kusoma kilichoandikwa kwa mapana.
 
nadhani utakuwa ni mjeruhiwa wa imani flani potofu ya dini ikakufanya kuwa mpinzani wa dini kama sehemu ya kisasi.
maana huwa sijui unaandika nini. Chochote kinachokuja kichwani ilimradi upinge tu.
Tuchukulie unachosema ni sahihi, ili moyo wako ufurahi maana katika hili sioni nafasi ya kujadili maana inaonekana umekimbilia kujibu bila kusoma kilichoandikwa kwa mapana.
hebu nielewe kwa wema tu,

me sio mpinga dini kwa sababu ktk dini kuna mema na mabaya

nia yangu nataka watu wachukue yale mema, na yale mabaya wawaachie waanzilishi wa dini
hii mada yako hapa haina uhalisia wowote zaidi ya kujaza watu hofu

nimekuuliza shetani ushawahi kumwona?

unaushahidi gani kwa hichi unotaka watu wakielewe au wakiongelee hapa?

umekimbilia kunambilia kunishutumu eti mjeruhiwa, unakosea mkuu

me Habari ya Hapa Fitina, Uongo kwangu mwiko, niliapa nitasema na kusimamia kweli pamoja na kuitetea haki maishani mwangu mwote,
 
Mseza Mkulu,

Hii ngumu kumeza, lakini vumilia tu, ili shetani atutandike inabidi atangaze kuwa hayupo kwa sababu haonekani kwa macho.
Nikirejea kwenye mada yako, nikurudishe nyuma kwenye kitabu cha Hesabu sura ya 22 mpaka 25, nitaeleza kwa kifupi ukipata muda kasome.
Ili ibada ya sanamu(au miungu mingine) itimie mambo manne lazima yatimie
1. Lazima uvutiwe na uzuri wa ile sanamu
2. Lazima ushiriki chakula kilichotolewa kwa hiyo miungu
3. Lazima usujudu kuabudu hiyo miungu
4. Lazima utoe sadaka ya damu kwa hiyo miungu (hapa ni damu za watu, direct or indirect)
Nisikuamishe vumilia, hapo penye kitabu cha hesabu Balaam amepewa dili la kuwalaani wana wa Israel, anapanga madhabahu yake saba ya uchawi inashindikana kuwalaani, maana pale ilikuwa mapambano kati ya madhabahu, madhabahu ya kishetani na madhabahu ya Mungu.
Part 2 jinsi gani sasa ya kupitisha ile laana ambayo imeshindikana kuipitisha kwa njia ya madhabahu, njia ya werevu wa siri pale ikawa ni ngono, anatumwa motto wa kwanza wa kike wa kuhani wa baali na timu yake kwa ajili ya kufanikisha hilo.
Cha kwanza wanaume wanavutiwa na uzuri wa mabinti hawa( hatua ya kwanza ya uabudu sanamu). Wanawavuta kwenye ngono wanaingia laini, wanakaribishwa kwenye sherehe iliyoandaliwa kwa miungu yao tena wanaambiwa kabisa nyinyi kwenye shughuli ya kuabudu hamtakuwepo ila mtashiriki chakula tu (wanaingia laaini, hatua ya pili inakamilika)
Wanazaa watoto nao, wanawaambia inabidi kutoa sadaka ya kuteketeza ya watoto ambayo inahitaji motto mmoja tu wako wanaingia laini( hatua ya tatu na ya nne inatimia) laana iliyoshindikana kupelekwa kwa njia ya madhabahu inakamilishwa na ngono. Ngono ndio njia rahisi ya kukuunganisha na madhabahu zote za kuabudu sanamu.
Ukisoma pale mbele unaona Mungu alivyojawa hasira na mtego huo uliofanikiwa, mpaka kulinganisha hasira yake na alitokuwa nayo Finehasi na kummpa agano la ukuhani wa milele.
Njia rahisi ya kuua imani ya Mungu wa kweli ni ngono tu, maana hapo panakamilishwa uabudu sanamu kwa haraka, kama uamini angalia hatua za Daudi kwa mke wa Uria, zilikamilishwa kama nilivyoainisha hapo juu.

Na kwa wakatoliki wasome kitabu cha Yoshua bin Sira anaeleza wazi kuwa ngono ni kama moto ulivyo kwenye kuni kavu ukishaingia hautazimika mpaka kuni zimeisha, ndivyo ngono ifanyavyo kazi kwenye mwili wako ukiindekeza haitoki mpaka imekuteketeza.

Ngono nje ya ndoa mwisho wake mauaji, kafumaniwa, kajinyonga, katoa mimba, kamtangaza vibaya mbele za watu(katuma picha za uchi wa mwezie), kafilisika, kamnyangánya kigari alichomuhonga, kafukuzwa kazi na moto wake unaanza taratibu ninastress,
Shetani haji bali kuiba, kuvunja, kuharibu na mwisho nikuua, shetani hajawahi kuwa rafiki wa binadamu hata siku moja. Unakumbuka Ayubu mara ya kwanza anamwambia Mungu gusa mali zake atakukufuru, aliposhindwa anasemaje?
Wewe Mungu mali si kitu mambo ni mfupa kwa mfupa, ngozi kwa ngozi hapo lazima akukufuru kwa hiyo anahamia kwenye kumtandika kwa magonjwa.

Kwa wale ambao mnasubiri kuona vitu vya rohoni kwa macho endelea kukusanya laana za kutoka kila upande za kifipa twende, wa wajaluo chukua, za wanyasa beba, za wadigo twende kazi, za kichina kama kawaida, za kimangáti we beba, za kizaramo mia tano mia tano
 
hebu nielewe kwa wema tu,

me sio mpinga dini kwa sababu ktk dini kuna mema na mabaya

nia yangu nataka watu wachukue yale mema, na yale mabaya wawaachie waanzilishi wa dini
hii mada yako hapa haina uhalisia wowote zaidi ya kujaza watu hofu

nimekuuliza shetani ushawahi kumwona?

unaushahidi gani kwa hichi unotaka watu wakielewe au wakiongelee hapa?

umekimbilia kunambilia kunishutumu eti mjeruhiwa, unakosea mkuu

me Habari ya Hapa Fitina, Uongo kwangu mwiko, niliapa nitasema na kusimamia kweli pamoja na kuitetea haki maishani mwangu mwote,
kama huamini shetani yupo, wewe unapaswa kutoa maelezo ya kutosha kutokuwepo kweke. Maana kuna vitu vingi tu vipo lakini havionekani isipokuwa madhara yake yanaonekana mfano Upepo. Ila mabillioni ya watu wanaamini kuna chanzo cha ubaya tuwaache waseme pia kama nadharia hii ya kiimani ina ukweli au inamashaka kwa ushahidi wa wanachokiamini kama chanzo cha maarifa quran/Biblia.
Basis ya mada ni belief ya presence ya Shetani then ndio unaanza kujadili kuwepo kwa janga au kutokuwepo. Kama wewe scope yako ni kutokuwepo kwa shetani basi subiri mada ya uwepo au kutokuwepo kwa shetani physically.

me Habari ya Hapa Fitina, Uongo kwangu mwiko, niliapa nitasema na kusimamia kweli pamoja na kuitetea haki maishani mwangu mwote,
Huu msimamo naupongeza, Lakini ujue kuna tofauti ya Kweli(TRUTH) na Kweli(FACTS). Wewe muda mwingi inapokuja kwenye mambo haya sijui kwingine siasa na maendeleo huwa unatetea kweli (Truth) ambayo ni mitazamo sio Facts.
 
Hii mada ukiichunguza ina ukabila au udini ndani yake maana sioni hoja hii ikisimama kwenye jamii ya sasa dunia kijiji vinginevyo ina ufinyu wa kuchanganya watu, utasemaje kwa waoaji wake zaidi ya mmoja ? Au kwa vijana wa leo kakulia na kusoma tz kamalizia elimu na kazi yake Ghana asioe maana hazijui familia za huko? Au umekulia kijijini umejenga maisha yako mjini hivyo usioe mpaka urudi ulikotoka? Nadhani tusibadili misingi ya mapenzi kwa kisikiliza maelezo ya dini moja ya jamii tofauti na tuliokulia.
 
....Kumbuka kushiriki tendo la ndoa ni kushirikiana kwa wawili katika DAMU na KIMWILI...

Zipo nguvu za MAJINI na hata Mashetani kuweza kuishi katika Mwili ama Mishipa ya BINADAM pasipo kikwazo chochote....

Yapo mengi ninayofahamu juu ya UKWELI huu na nakubaliana kwa 100% na mleta mada...
Na ukitaka kulihakikisha hili,angalia watu waliokaa muda mrefu kwenye mahusiano au ndoa jinsi wanavyopata misukosuko wanapoachana,fuatilia hili kwa makini utagundua kitu,huwa inawachukua miaka 2 mpaka 3 kuja kutulia.Hii inahusisha kufukuzwa kazi,kuugua sana,kupata ajali,na mikosi mingi tu.Kiroho hapa kunakuwa na muunganiko ambao unakuachieni hayo matatizo.Au fuatilia kwa makini mtu aliefanya umalaya na multiple partners, maisha yake huwa yanakuaje,hawa ni wale ambao wanasifika kwa kubadilisha wanawake au wanaume.
 
Kimsingi ulichokisema kipo sawa japo nasikitika umeiza maswali alafu unajijibu mwenyewe mfano
Swali la. 3 na jibu likawa 6
Kimsingi tiba yake ni kuombewa na mwanafunzi wa Yesu na sio mwingine..hapo ni watumishi wa Mungu tuu ndio watakusaidia.
Pia ni kweli tatizo hilo lipo na hao wasioamini wajue kuwa kutokuamibi kwao hakubadishi kitu
 
Kimsingi ulichokisema kipo sawa japo nasikitika umeiza maswali alafu unajijibu mwenyewe mfano
Swali la. 3 na jibu likawa 6
Kimsingi tiba yake ni kuombewa na mwanafunzi wa Yesu na sio mwingine..hapo ni watumishi wa Mungu tuu ndio watakusaidia.
Pia ni kweli tatizo hilo lipo na hao wasioamini wajue kuwa kutokuamibi kwao hakubadishi kitu
ni vizuri ukasakafia imani hii na Mafungu ya bibilia ili kudhibitisha ukweli wa Imani hii. Ili hata wasioamini Mungu siku wakiamini wajue pa kuanzia.
Karibu mkuu
 
Mseza Mkulu,

Hii ngumu kumeza, lakini vumilia tu, ili shetani atutandike inabidi atangaze kuwa hayupo kwa sababu haonekani kwa macho.
Nikirejea kwenye mada yako, nikurudishe nyuma kwenye kitabu cha Hesabu sura ya 22 mpaka 25, nitaeleza kwa kifupi ukipata muda kasome.
Ili ibada ya sanamu(au miungu mingine) itimie mambo manne lazima yatimie
1. Lazima uvutiwe na uzuri wa ile sanamu
2. Lazima ushiriki chakula kilichotolewa kwa hiyo miungu
3. Lazima usujudu kuabudu hiyo miungu
4. Lazima utoe sadaka ya damu kwa hiyo miungu (hapa ni damu za watu, direct or indirect)
Nisikuamishe vumilia, hapo penye kitabu cha hesabu Balaam amepewa dili la kuwalaani wana wa Israel, anapanga madhabahu yake saba ya uchawi inashindikana kuwalaani, maana pale ilikuwa mapambano kati ya madhabahu, madhabahu ya kishetani na madhabahu ya Mungu.
Part 2 jinsi gani sasa ya kupitisha ile laana ambayo imeshindikana kuipitisha kwa njia ya madhabahu, njia ya werevu wa siri pale ikawa ni ngono, anatumwa motto wa kwanza wa kike wa kuhani wa baali na timu yake kwa ajili ya kufanikisha hilo.
Cha kwanza wanaume wanavutiwa na uzuri wa mabinti hawa( hatua ya kwanza ya uabudu sanamu). Wanawavuta kwenye ngono wanaingia laini, wanakaribishwa kwenye sherehe iliyoandaliwa kwa miungu yao tena wanaambiwa kabisa nyinyi kwenye shughuli ya kuabudu hamtakuwepo ila mtashiriki chakula tu (wanaingia laaini, hatua ya pili inakamilika)
Wanazaa watoto nao, wanawaambia inabidi kutoa sadaka ya kuteketeza ya watoto ambayo inahitaji motto mmoja tu wako wanaingia laini( hatua ya tatu na ya nne inatimia) laana iliyoshindikana kupelekwa kwa njia ya madhabahu inakamilishwa na ngono. Ngono ndio njia rahisi ya kukuunganisha na madhabahu zote za kuabudu sanamu.
Ukisoma pale mbele unaona Mungu alivyojawa hasira na mtego huo uliofanikiwa, mpaka kulinganisha hasira yake na alitokuwa nayo Finehasi na kummpa agano la ukuhani wa milele.
Njia rahisi ya kuua imani ya Mungu wa kweli ni ngono tu, maana hapo panakamilishwa uabudu sanamu kwa haraka, kama uamini angalia hatua za Daudi kwa mke wa Uria, zilikamilishwa kama nilivyoainisha hapo juu.

Na kwa wakatoliki wasome kitabu cha Yoshua bin Sira anaeleza wazi kuwa ngono ni kama moto ulivyo kwenye kuni kavu ukishaingia hautazimika mpaka kuni zimeisha, ndivyo ngono ifanyavyo kazi kwenye mwili wako ukiindekeza haitoki mpaka imekuteketeza.

Ngono nje ya ndoa mwisho wake mauaji, kafumaniwa, kajinyonga, katoa mimba, kamtangaza vibaya mbele za watu(katuma picha za uchi wa mwezie), kafilisika, kamnyangánya kigari alichomuhonga, kafukuzwa kazi na moto wake unaanza taratibu ninastress,
Shetani haji bali kuiba, kuvunja, kuharibu na mwisho nikuua, shetani hajawahi kuwa rafiki wa binadamu hata siku moja. Unakumbuka Ayubu mara ya kwanza anamwambia Mungu gusa mali zake atakukufuru, aliposhindwa anasemaje?
Wewe Mungu mali si kitu mambo ni mfupa kwa mfupa, ngozi kwa ngozi hapo lazima akukufuru kwa hiyo anahamia kwenye kumtandika kwa magonjwa.

Kwa wale ambao mnasubiri kuona vitu vya rohoni kwa macho endelea kukusanya laana za kutoka kila upande za kifipa twende, wa wajaluo chukua, za wanyasa beba, za wadigo twende kazi, za kichina kama kawaida, za kimangáti we beba, za kizaramo mia tano mia tano
mkuu ukiweka mafungu yatapakae angalau bibilia yote kuyapa nguvu maelezo itakuwa safi zaidi. Isijekuwa ni hofu ambayo haipo. Maana naona umeingia moja kwa moja kwa Ben Sira wakati naona kama kuna msitu wa vitabu 66 ambayo vinaaminika na wengi. Weka vizuri hapo chief ili tuelimike
 
tumblr_nj62xpDlXF1sy3gbbo1_1280.jpg
 
Back
Top Bottom