Sexually transmitted demons/maambukizi ya mashetani kwa njia ya ngono. Nini uhalisia wa janga hili?

Sexually transmitted demons/maambukizi ya mashetani kwa njia ya ngono. Nini uhalisia wa janga hili?

Msingi wa dini yeyote ile ni ibada za wafu,

hivi ulishawahi kumwona shetani? km bado unapata wapi ujasiri wa kumzungumzia hapa ili hali hujawahi kukutana nae?

kwanini hamtaki kukubali ukweli kuwa kuna baadhi ya mambo yaliyo nje ya uwezo wenu, mwatakiwa muyaache km yalivyo kuliko kupotosha watu na kuwatia hofu

ukweli kuwa Shetani/Majini wapo imebaki kuwa ni SIRI YA MUNGU hakuna ajuaye

km kuna maisha baada ya kifo nayo Imebaki kuwa ni SIRI YA MUNGU hakuna ajuaye

hizi imani za kijinga kutaka kuaminishana kakakuona ni chura na chura ni kakakuona tunataka zikome, muda wake umekwisha

hakuna mtu mwenye chuki wala hasira hapa,
Shetan/majini cjui pepo wachafu huonekana katika ulimwengu wa roho hivyo hivyo na M/Mungu. Unapopitia katika majaribu (mazito/mepes) na ukayashinda n Mungu pekee....hayo majaribu n shetan. Nazungumzia kiroho zaid, usidhan n kwa utash na akili zako. Lkn kama ww sio mtu wa sala/ibada ni ngumu kukubaliana na hii mada.

Binafs naungana na mtoa post n kweli hv vitu vipo japo hapa kaelezea kimahusiano zaid
 
Shetan/majini cjui pepo wachafu huonekana katika ulimwengu wa roho hivyo hivyo na M/Mungu. Unapopitia katika majaribu (mazito/mepes) na ukayashinda n Mungu pekee....hayo majaribu n shetan. Nazungumzia kiroho zaid, usidhan n kwa utash na akili zako. Lkn kama ww sio mtu wa sala/ibada ni ngumu kukubaliana na hii mada.

Binafs naungana na mtoa post n kweli hv vitu vipo japo hapa kaelezea kimahusiano zaid
Ulimwengu wa roho ni upi?

Ulimwengu wa mwili ni upi?
 
Naamini kwa uliloliongea.
Zamani nilipokuwa mjinga nilikuwa na mchepuko wa kiislamu, nilikuwa napata tabu sana nae, kwanza tulikuwa tunagombana sana bila jambo la msingi! pili mambo yangu yalikuwa yakienda vibaya sana, tatu tukiwa faragha jongoo hawiki kabisa hata nikaenae mwezi, akija kuwika dak 1 ni nyingi amelala, ila nikirudi nyumbani wala sina shida hiyo. nikaja mwambia anatatizo kwani hali yangu inabadilika nikiwa nae. akaconfess ana jini mahaba la kiume na kila siku usiku anaota anaingiliwa na mwanaume hivyo akiniona mie anakasirika sana, baada ya kujifunza elimu Habari njema michepuko nimeacha kabisa.


4688558_images_jpeg68d5535b971d558f594f10a5affd0a71

4689005_demon_jpegfc6309e2ec7b9161ad09d5369d041206


Dunia haijawahi kuchoka kupokea elimu mpya kutoka katika hazina ya Fikra za wakazi wake. Yawezekana Ikawa kweli au mbinu za werevu wachache kutia hofu wakazi wa dunia lakini Gonjwa hili linasadikiwa kukua kwa kazi ya ajabu kwa mujibu ya watu waliozama katika mlengo huo wa maarifa.

SEXUALLY TRANSMITTED DEMONS NI NINI?
Kwa uhalisia Tendo la ndoa lilihifadhiwa kwa ajili ya Mtu mme na mke. Nje ya hapo utakutana na Uzinifu,Uasherati,Usagaji,Ushoga na kila uchafu kwa wa kingono kwa aina zake. Hapa inaelezwa kwamba Mtu mwenye majini (Kwa waislamu MAJINI WACHAFU) au Mashetani/Mapepo akifanya tendo la ndoa na mtu asiyenayo, Ule muunganiko Unatoa fursa ya kushea Majini hayo kati ya pande mbili.

Maelezo yanaenda mbali zaidi kwamba Sio majini tu ya kawaida haya bali hadi mizimu ya mmoja wa washiriki inafunguliwa milango inaingia kwa upande wa pili. Ukifikiri sana uhalisia wa Elimu hii basi unamfikiria mtu ambaye ameshafanya ngono na watu zaidi ya 500 atakuwa amejizolea Mashetani kiasi gani kama wapenzi walikuwa wabebaji wa Mashetani.

ELIMU HII
Imetapakaa katika imani ka kiprotestanti, na baadhi ya mielekeo michache ya kiimani na changamoto ni uhalisia wa haya mambo maana yako katika Frequency/Mawimbi yaliyo nje ya uwezo wa Macho na Darubini.

MASWALI YANAOYOBAKI KWETU
1:Je Majini/Mapepo/Maraika wachafu na Mashetani wanawezaje kuhama kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine Kupitia ngono.

2:Je Ni nini Dalili ya mtu anayesumbuliwa na SSexually Transmitted Demons?

3:Tiba yake ni nini?
4:Je watu wote wasio wasiamini katika uwepo wa Mungu,Mapepo na dhana ya Dhambi ni wahanga wa hii janga au wao wanakaa kwenye kundi lipi?

5:Je kunauwezekano wa kukwaa janga hili kwa njia ya Masturbation?

6:Je hizi ni story za kutisha waumini ili waachane na ngono nje na kabla ya ndoa na ni njia ya wajanja wachache kupiga pesa kwa kuwatibu kiimani wahanga huku sadaka zikitiririka kwa pembeni?

7:Watafiti wa Jambo hili wanasema karibu 70% wa watu wanaoshiriki tendo la ndoa nje ya ndoa wanamashetani, Je huu ni Ushahidi wa kutosha kuamini uwepo wa janga hili?



karibu useme chochote katika upande huu wa fikra, Dunia ina mambo.

Note:Mada hii haina uhusiano na mwanadamu kufanya mapenzi na Mashetani.
LENGO: Lengo kuu la bandiko hili sio kutisha watu kama ilivyoibuka kwenye maelezo bali ni kujua UHALALI AU UBATILI WA IMANI hii Kwa USHAHIDI WA VYANZO VYA BIBILIA/QURAN AU CHOCHOTE KATIKA IMANI ZA KIAFRIKA
 
....Kumbuka kushiriki tendo la ndoa ni kushirikiana kwa wawili katika DAMU na KIMWILI...

Zipo nguvu za MAJINI na hata Mashetani kuweza kuishi katika Mwili ama Mishipa ya BINADAM pasipo kikwazo chochote....

Yapo mengi ninayofahamu juu ya UKWELI huu na nakubaliana kwa 100% na mleta mada...
Pamoja na kuwa bado siwezi kutoa vielelezo kutoka ktk maandiko lakini jambo hilo ni kweli kbs. Na siyo tuu kwa walio nje ya ndoa bali hata wanandoa wenye background ya masuala na imani za kimizimu wanaweza kuambukizana mapepo na majini kwa njia ya tendo la ndoa. DAMU INAHUSIKA KURUHUSU MAMBO MENGI KIMWILI NA KIROHO. TUKUMBUKE PIA WANAOENDA KWA WAGANGA AU WANAOPEWA MASHARTI YA KUTOA KAFARA, HUWA KINACHOHITAJIWA HUWA NI DAMU!!!
KWA WAKRISTO, DAMU ILIKUWA IKITOLEWA KAMA SADAKA MBELE ZA MUNGU ALIYE HAI KWA AJILI YA KULETA MSAMAHA WA DHAMBI KWA WAISRAELI NA HATA SASA DAMU YA YESU KRISTO IMEBAKI KWA Ajili ya ulinzi na utetezi wetu wanadamu ktkt wakati huu wa neema na kinyume na mateso ya nguvu za Giza. Hivyo ijulikane wazi kuwa TENDO LA NDOA LINA MAANA SANA KIROHO!
Huo mfano uliotolewa hapo juu na mdau kuwa kama mtu ametenda tendo na watu 500 wenye mapepo au wenye background za kimapepo uwezekano UPO wa kumuhamishia mwenziwe mapepo hayo!!!
NDUGU ZANGU ULIMWENGU WA ROHO UNA MAMBO MAKUBWA MNO!!!!
JITAHIDINI KUSOMA MAANDIKO MATAKATIFU NA VITABU VINGINE MTAONA WENYEWE.
 
Pamoja na kuwa bado siwezi kutoa vielelezo kutoka ktk maandiko lakini jambo hilo ni kweli kbs. Na siyo tuu kwa walio nje ya ndoa bali hata wanandoa wenye background ya masuala na imani za kimizimu wanaweza kuambukizana mapepo na majini kwa njia ya tendo la ndoa. DAMU INAHUSIKA KURUHUSU MAMBO MENGI KIMWILI NA KIROHO. TUKUMBUKE PIA WANAOENDA KWA WAGANGA AU WANAOPEWA MASHARTI YA KUTOA KAFARA, HUWA KINACHOHITAJIWA HUWA NI DAMU!!!
KWA WAKRISTO, DAMU ILIKUWA IKITOLEWA KAMA SADAKA MBELE ZA MUNGU ALIYE HAI KWA AJILI YA KULETA MSAMAHA WA DHAMBI KWA WAISRAELI NA HATA SASA DAMU YA YESU KRISTO IMEBAKI KWA Ajili ya ulinzi na utetezi wetu wanadamu ktkt wakati huu wa neema na kinyume na mateso ya nguvu za Giza. Hivyo ijulikane wazi kuwa TENDO LA NDOA LINA MAANA SANA KIROHO!
Huo mfano uliotolewa hapo juu na mdau kuwa kama mtu ametenda tendo na watu 500 wenye mapepo au wenye background za kimapepo uwezekano UPO wa kumuhamishia mwenziwe mapepo hayo!!!
NDUGU ZANGU ULIMWENGU WA ROHO UNA MAMBO MAKUBWA MNO!!!!
JITAHIDINI KUSOMA MAANDIKO MATAKATIFU NA VITABU VINGINE MTAONA WENYEWE.
UKIPATA SUPPORT YA MAANDIKO UWEKE PIA
 
Ni kweli sina dini ila nina Mungu

Msingi wa dini ni ibada za wafu

dini ni tegemeo la watu wapumbavu na wajinga,

Mungu ni tegemeo la watu wenye busara, hekima na maarifa
Jamani huyu mdau aliyesema hana dini ila ana Mungu nampa pongezi kwa sababu Dini kiuhalisia ni utaratibu tuu wa kumwabudu Mungu Mwenye enzi yote na utukufu wote na heshima zote na adhama zote!!!
Mfano ktk Ukristo Biblia Takatifu katika kitabu cha Yakobo( 1:26-27) inasema (DINI ILIYO SAFI, ISIYO NA TAKA MBELE ZA MUNGU BABA NI HII,KWENDA KUWATAZAMA YATIMA NA WAJANE KATIKA DHIKI YAO, NA KUJILINDA NA DUNIA PASIPO MAWAA.)
Yeyote anenaye lolote kuhusiana na dini aondoe lile wazo la Christianity,Judism,Islam, Buddhism among others, haya ni majina tulizozipa taratibu na viongozi wa utaratibu hizi za za ibada. Ishu ni Imani kuwa Mungu yupo ama laa!!
Halafu asiyeamini uwepo wa Mungu Muumbaji wa Mbingu na nchi halafu akaamini waganga na uwepo wa wachawi tutamweka ktkt kundi la Wajinga na wanafiki wa kupindukia maana ni mithili ya watu wanaokataa kuwa hakuna moto halafu wanaamini uwepo wa majivu!!!
Mimi nikiwajua nitawashangaa kwa kiingereza[emoji32] [emoji32] [emoji32] !!!!
Ni kweli sina dini ila nina Mungu

Msingi wa dini ni ibada za wafu

dini ni tegemeo la watu wapumbavu na wajinga,

Mungu ni tegemeo la watu wenye busara, hekima na maarifa
 
Ni kweli sina dini ila nina Mungu

Msingi wa dini ni ibada za wafu

dini ni tegemeo la watu wapumbavu na wajinga,

Mungu ni tegemeo la watu wenye busara, hekima na maarifa
Kuna ulimwengu wa roho na kuna ulimwengu wa mwili.
Kabla mambo hayajajitokeza katika ulimwengu wa mwili yanaanza kwanza katika ulimwengu wa roho.
Chochote kile unachokiona kizuri au kibaya katika ulimwengu wa mwili kina chanzo chake kwenye ulimwengu wa roho wa Mungu au wa shetani.

Natumain nimekujib vizur mkuu.
 
Kwa muktadha huu, je mgonjwa akiongezewa damu aweza kupata madhara mfano wa hayo kwa sababu ya kushare hiyo damu!
 
Kuna ulimwengu wa roho na kuna ulimwengu wa mwili.
Kabla mambo hayajajitokeza katika ulimwengu wa mwili yanaanza kwanza katika ulimwengu wa roho.
Chochote kile unachokiona kizuri au kibaya katika ulimwengu wa mwili kina chanzo chake kwenye ulimwengu wa roho wa Mungu au wa shetani.

Natumain nimekujib vizur mkuu.
nilikuuliza, narudia tena

Ulimwengu wa roho ni upi?

na

Ulimwengu wa Mwili ni upi? nijibu halafu tusonge mbele
 
4688558_images_jpeg68d5535b971d558f594f10a5affd0a71

4689005_demon_jpegfc6309e2ec7b9161ad09d5369d041206


Dunia haijawahi kuchoka kupokea elimu mpya kutoka katika hazina ya Fikra za wakazi wake. Yawezekana Ikawa kweli au mbinu za werevu wachache kutia hofu wakazi wa dunia lakini Gonjwa hili linasadikiwa kukua kwa kazi ya ajabu kwa mujibu ya watu waliozama katika mlengo huo wa maarifa.

SEXUALLY TRANSMITTED DEMONS NI NINI?
Kwa uhalisia Tendo la ndoa lilihifadhiwa kwa ajili ya Mtu mme na mke. Nje ya hapo utakutana na Uzinifu,Uasherati,Usagaji,Ushoga na kila uchafu kwa wa kingono kwa aina zake. Hapa inaelezwa kwamba Mtu mwenye majini (Kwa waislamu MAJINI WACHAFU) au Mashetani/Mapepo akifanya tendo la ndoa na mtu asiyenayo, Ule muunganiko Unatoa fursa ya kushea Majini hayo kati ya pande mbili.

Maelezo yanaenda mbali zaidi kwamba Sio majini tu ya kawaida haya bali hadi mizimu ya mmoja wa washiriki inafunguliwa milango inaingia kwa upande wa pili. Ukifikiri sana uhalisia wa Elimu hii basi unamfikiria mtu ambaye ameshafanya ngono na watu zaidi ya 500 atakuwa amejizolea Mashetani kiasi gani kama wapenzi walikuwa wabebaji wa Mashetani.

ELIMU HII
Imetapakaa katika imani ka kiprotestanti, na baadhi ya mielekeo michache ya kiimani na changamoto ni uhalisia wa haya mambo maana yako katika Frequency/Mawimbi yaliyo nje ya uwezo wa Macho na Darubini.

MASWALI YANAOYOBAKI KWETU
1:Je Majini/Mapepo/Maraika wachafu na Mashetani wanawezaje kuhama kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine Kupitia ngono.

2:Je Ni nini Dalili ya mtu anayesumbuliwa na SSexually Transmitted Demons?

3:Tiba yake ni nini?
4:Je watu wote wasio wasiamini katika uwepo wa Mungu,Mapepo na dhana ya Dhambi ni wahanga wa hii janga au wao wanakaa kwenye kundi lipi?

5:Je kunauwezekano wa kukwaa janga hili kwa njia ya Masturbation?

6:Je hizi ni story za kutisha waumini ili waachane na ngono nje na kabla ya ndoa na ni njia ya wajanja wachache kupiga pesa kwa kuwatibu kiimani wahanga huku sadaka zikitiririka kwa pembeni?

7:Watafiti wa Jambo hili wanasema karibu 70% wa watu wanaoshiriki tendo la ndoa nje ya ndoa wanamashetani, Je huu ni Ushahidi wa kutosha kuamini uwepo wa janga hili?



karibu useme chochote katika upande huu wa fikra, Dunia ina mambo.

Note:Mada hii haina uhusiano na mwanadamu kufanya mapenzi na Mashetani.
LENGO: Lengo kuu la bandiko hili sio kutisha watu kama ilivyoibuka kwenye maelezo bali ni kujua UHALALI AU UBATILI WA IMANI hii Kwa USHAHIDI WA VYANZO VYA BIBILIA/QURAN AU CHOCHOTE KATIKA IMANI ZA KIAFRIKA
Kuna kaukweli fulani hapa kwa kuwa kuna movie inaitwa IT FOLLOWS naelezea haka kauzi vizuri 2 ss ngoja tuwasuri wajuaji kwanza
 
Back
Top Bottom