Sexually transmitted demons/maambukizi ya mashetani kwa njia ya ngono. Nini uhalisia wa janga hili?

Ni kweli sina dini ila nina Mungu

Msingi wa dini ni ibada za wafu

dini ni tegemeo la watu wapumbavu na wajinga,

Mungu ni tegemeo la watu wenye busara, hekima na maarifa
Huyo Mungu unayemtegemea ni wa aina gani?
 
Huyo Mungu unayemtegemea ni wa aina gani?
aliyeumba mbingu na dunia na vyote vilivyomo,

ambaye nguvu yake ni kubwa mno (Nguvu ya asili) kuliko kitu chochote ktk hii dunia

ambye hana mwanzo wala hana mwisho

huyu ndiye Mungu ninayemtegemea kwa kila jambo
 
Imani hufunzwa inategemea aliekufunza alitaka uelekee mlengo gani!, majini mapepo, mizimu nk vyote ni nadharia unaweza kuvigeuza upendavyo kiimani. Binafsi siamini katika hivyo kwa hiyo haviniathiri kifikira.
 
Ha ha ha ha unasema huamini majini na shetani sababu hujawahi kumuona na bado unasema haya mambo ni siri ya Mungu, ushawahi kumuona huyo Mungu!?
 
Sio mizimu tu hata miungu ya ukoo fulani unaweza kuibeba ndani yako. Na magonjwa yao pia . utakuta hata hukuwa na hayo magonjwa lakin unajikuta unayo ( na ww unakuwa wa1 kuwa nayo ktk ukoo wenu)

Yeye aziniye na kahaba amekuwa mwil mmoja naye

## kama ni mwil mmoja vyote alivyo kuwa navyo mwenza waka na ww unapata( mwil mmoja)
 
Haswa ndo maana sie waislam kuna dua unaomba kabla ya kuingiliana wana ndoa na kuna taaratibu nyingi kwenye kujamiana, maana yake mnaji kinga na shetani.
In the Name of Allah. O Allah, keep the shaytaan away from us and keep the shaytaan away from what You have blessed us with.

Note: *Mtume wa Mwenyezi Mungu amani iwe ju yake amesema haya. yoyote atakae sema hio dua na kama mke waake usiku huo ndo anakua mja mzito basi sheytani atoweza kumdhuru mtoto. ina maana hi kitu ulio leta hapa ina ukweli.
 
Kun kaukweli kidogi kwani kwa mujibu wa Mtume Muhammad,anasema zinaa inarithisha ufukara,zinaa inafupisha umri wa mtu wa kuishi,zinaa inarithiwa kizazi hadi kizazi inatabia ya kujirudia na urithi ktk familia mfano km baba au mama utazini basi lazima mwanao nayeye atakuja kuziniwa au kizini sana ,
 
Sasa inakuwaje waumini wengi wa uislamu ndio wenye kuvisha watoto hirizi mikononi na viunoni kama walishafanyiwa dua kabla ya mimba haijatungwa?
 
kaka niku famishe kitu kwa faida yako na wengine pia,kuna uislam kama uislam dini, na kuna mtu kama mtu natabia zake na imani yake, uislam umekataza mambo hayo.hupaswi kujikinga kwa hirizi wala chale kama wafanyavyo/wafanyiwavyo wengi miongoni mwa jamii ya wanaadamu na la kusikitisha zaidi katika kundi la wanaoamini na kufanya ushirikina huu ni waislam kwa sababu wengi wetu hawa somi dini kiundani zaidi. ndo maana mwanzo nikasema kuna dini na mtu kama mtu.
Ndugu yangu shirki ni jambo baya sana na ni miongoni mwa dhambi kubwa ambayo Mwenyezi Mungu amemuambia Mtume wake kuwa:
Na kwa yakini yamefunuliwa kwako na kwa walio kuwa kabla yako: Bila ya shaka ukimshirikisha Mwenyezi Mungu a'mali zako zitaanguka, na lazima utakuwa miongoni mwa wenye kukhasiri

Huyo ni mtume wa Mwenyezi Mungu vipi mimi na wewe watu wakawaida? so kabla ya Mtume kuwa walifunuliwa wazi kua hayo mambo sio. ni hayo tuh ndugu yangu.

SO watu wanafanya mambo ya hirizi, mara mvuje wana amini itawalinda hizo ni imani potofu pengine wana rithi kwa babu zao au baba zao kua inalinda ila katika uislam hakuna
 
mwizi huyo
 
Swali jingine je kwa wale wanaongezewa damu hospitalini inakuwaje ikiwa kawekewa damu ya mtu aliyekua na pepo wachafu?
 
nilikuuliza, narudia tena

Ulimwengu wa roho ni upi?

na

Ulimwengu wa Mwili ni upi? nijibu halafu tusonge mbele
Ndugu umesema vyema kwenye post ya nyuma unaamini uwepo wa MUNGU ila maswali yako yanatia mashaka huamini ulimwengu wa Roho.
Hapa nashindwa kukuelewa huyo MUNGU wako unamuabudu vipi ikiwa mambo ya kiroho hukubaliani nayo.
 
Lakini nafikili pia,upatapo mpenzi huko mlikokutana kuna nyakati nguvu za asili hukushuhudia juu ya uliempata,unaweza ona tu mapema kua hapa nilipoingia siyo pangu,sasa inahitaji roho ngumu kupanasuka,maana unakua unavutwa.tatizo ni ile hali ya kushindwa kuuhimili udhaifu unaendelea na mahusiano kwa kutumia akili na mwili,lakini nguvu ya asili,roho,inakwambia hapo ulipo kimbia
 
Mkuu hapa physics wala biology haihusiki kabisa.
Mkuu naomba kuongezea swali la uhafamu hapa kidogo, ni energy zipi hizo kama sio hzi za physics, chemistry au bios?, na chanzo chake ni nini na unawezaje kutambua na zinamsaada gani binadamu ilhali kuzitambua sio kazi rahisi au kwanini zinakua na usiri ndani yake m
 
Daah, sasa tutakuwa wageni wa nani? maana naona kila kona iko tight! kazi ipo...
 
Duh hii kuna watu nahis wana matatizo hayo maana unakuta mtu ni mpenda ngono hatar huenda kuna ukwel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…