asvptx
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 1,940
- 1,014
TAFADHALI.. Zingatia madaTunapenda amani hapa kwetu hamkawii kushikana uchawi huko na tumechoka wakimbizi tunahitaji twende mbele,hiyo sgr ni bomu muda ndio utasema ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAFADHALI.. Zingatia madaTunapenda amani hapa kwetu hamkawii kushikana uchawi huko na tumechoka wakimbizi tunahitaji twende mbele,hiyo sgr ni bomu muda ndio utasema ukweli.
Shida ni kuelewa kilichoandikwa mnapenda mambo ya mkatomkato yote kwa yote mtapata taaabu sana.TAFADHALI.. Zingatia mada
Utangoja hiyo taabu hadi ufe wewe mwenyeweShida ni kuelewa kilichoandikwa mnapenda mambo ya mkatomkato yote kwa yote mtapata taaabu sana.
Kabla ya kufa mimi tutaona mengi kwenye hiyo sgr ya mchina kabla masanduku hayajapishana mitaani itakayosababishwa na reli isiyo na kiwango ila ushauri toeni vile vijiti wachina walivyoweka wakidai nondo na kujenga kwa mkopo isisababishe miubongo yenu igande mshindwe kuhoji vitu vidogo hiyo reli inabeba roho za watu.Utangoja hiyo taabu hadi ufe wewe mwenyewe
Bla Blah BlaaahKabla ya kufa mimi tutaona mengi kwenye hiyo sgr ya mchina kabla masanduku hayajapishana mitaani itakayosababishwa na reli isiyo na kiwango ila ushauri toeni vile vijiti wachina walivyoweka wakidai nondo na kujenga kwa mkopo isisababishe miubongo yenu igande mshindwe kuhoji vitu vidogo hiyo reli inabeba roho za watu.
sawasawa muda ndio msema kweli,yale mliyokuwa mnasema blah blah kwa bongo kuwa na sgr basi fuatilia hapa na sasa tupo 20% ya ujenzi pesa sio shida ila ni shughuli za kiutaalamu na mwezi wa 9 tunaanza kulaza reli mpaka 2020 phase 1 treni ipo juu,tumeamua na tunatekeleza na hstujakopa mtu na kama ulikariri umeme shida stiglers imeshaanza 2100MW,weka kumbukumbu sawa dreamliner nyingine mwakani inaingia usisahau pia CS 300 nov. tunaipokea,narudia tumeamua na tutaenda.MTAPATA TAABU SANA.Bla Blah Blaaah
Hayo yote uliyotaja KENYA tushafanya na tushazoea. Ni vipi milele na kawaida mpo nyuma ya Kenya na waKenya kiujumla? Hebu jiulize na utafakari.sawasawa muda ndio msema kweli,yale mliyokuwa mnasema blah blah kwa bongo kuwa na sgr basi fuatilia hapa na sasa tupo 20% ya ujenzi pesa sio shida ila ni shughuli za kiutaalamu na mwezi wa 9 tunaanza kulaza reli mpaka 2020 phase 1 treni ipo juu,tumeamua na tunatekeleza na hstujakopa mtu na kama ulikariri umeme shida stiglers imeshaanza 2100MW,weka kumbukumbu sawa dreamliner nyingine mwakani inaingia usisahau pia CS 300 nov. tunaipokea,narudia tumeamua na tutaenda.MTAPATA TAABU SANA.
Nashukuru kwa kukubali ukweli hata sisi ilikuwa maneno mengi kuliko vitendo sasa tumeamua nchi itakwenda tu,msimamizi yupo na tutamlinda kwa nguvu zote anyooshe nchi,kabla haujachelewa cheki itv saruji imeadimika kwetu hapa sgr inamaliza cement hivyo mjipange mkuu.Hayo yote uliyotaja KENYA tushafanya na tushazoea. Ni vipi milele na kawaida mpo nyuma ya Kenya na waKenya kiujumla? Hebu jiulize na utafakari.
Apana ringia mKenya. Most probably kile unachoringa nayo, waKenya walisha-Experience ages and ages ago.
Ila, hongereni kwa SGR, itauinua uchumi wenu ukishamalizika
Hapo mkuu umenena umempa ukweliHivi ni kweli unaona jirani yako anaibiwa kwa nini unyamaze? Wabongo hatuna roho za kichawi mchina amewafanya vby roho zinauma reli haieleweki sehemu za kuweka nondo kaweka vijiti mfano wa nondo maana tunajua madhara yake hatupendi kuanza mambo ya salamu za pole gharama za ujenzi mpigwe,mpate taaabu sana weeeee kwa miaka 50 ndio mkabidhiwe hizo treni za makaa ya mawe,na rambirambi juu si nzuri sana muamke sasa.
Duuuh!!!!Utangoja hiyo taabu hadi ufe wewe mwenyewe
Doh Asvptx angalia aibu hizi!You are talking heavens here, arguing about rails while the petty cement for the sleepers is imported from China 🇨🇳.?
Kenya’s cement firms protest over Chinese contractor’s SGR imports
Train si ya makaa ya mawe, ni ya diesel. Waafrika kuelewa kwao ni shida. Pili train haitumii teknolojia ya kitambo bali ni standard gauge . Siku nyingine usiwahi tena fungua kinywa chako kama akili bado imelala, madhara ni eti unaishia kuandika upuzi kama huuHivi ni kweli unaona jirani yako anaibiwa kwa nini unyamaze? Wabongo hatuna roho za kichawi mchina amewafanya vby roho zinauma reli haieleweki sehemu za kuweka nondo kaweka vijiti mfano wa nondo maana tunajua madhara yake hatupendi kuanza mambo ya salamu za pole gharama za ujenzi mpigwe,mpate taaabu sana weeeee kwa miaka 50 ndio mkabidhiwe hizo treni za makaa ya mawe,na rambirambi juu si nzuri sana muamke sasa.
Unajua nyinyi hamna standard gauge railway? Wewe ni kama mjinga fulani anayeagiza gari mpya ya Petrol kutoka Japan halafu unamcheka jirani yako ambaye tayari ana gari hata kama ni ya diesel. Wewe usiyekuwa na gari, ngoja hadi hiyo uliyoagiza iwasili ndio uanze kuita hiyo ya jirani yako "takataka". Nyinyi msiokuwa na standard gauge railway hamna uwezo wala haki ya kuita reli ya Kenya "takataka" ilhali nyinyi hamna reli hio. Makamasi iliyojaa ndani ya ubongo wako Redeemer, ikamue hadi ikwishe.Bora tu unyamaze sababu reli yenu ni takataka tupu na project nzima ni kituko
Hivi chinese walishaacha importation of building cement for your sgr from home China 🇨🇳??
Kwa dunia ya kileo utengeneze sgr halafu iwe ya diesel umefanya nini sasa hapo ubongo hauna ushirikiano ni heri kutokuwa nayo tu mjue baada ya miaka mitatu hiyo sgr abiria wanaotumia usafiri huo na wakazi walio jirani na reli wote TB tupu,tunaelewa sio matakwa yenu kuingizwa choo cha jinsia mbili poleni,SGR yetu haina ujanjaujanja 2020 dar-moro isipoisha lete porojo hatujengi kwasababu kenya ipo na wala tunajenga kwasababu wakati umefika na lazima tuwe nayo iliyo ktk usasa(umeme),tupo 20% ya ujenzi mkuu na kufikia mwishoni mwa mwaka itafika 40 au 50 tutakuwa tumeshalaza reli kwahiyo tegemeeni kupata taaabu sana heri ufe kuliko kuja kuona yale usiyoyapenda kwa TZ wakifanya kwa pesa yao wenyewe muda mfupi ujao.Unajua nyinyi hamna standard gauge railway? Wewe ni kama mjinga fulani anayeagiza gari mpya ya Petrol kutoka Japan halafu unamcheka jirani yako ambaye tayari ana gari hata kama ni ya diesel. Wewe usiyekuwa na gari, ngoja hadi hiyo uliyoagiza iwasili ndio uanze kuita hiyo ya jirani yako "takataka". Nyinyi msiokuwa na standard gauge railway hamna uwezo wala haki ya kuita reli ya Kenya "takataka" ilhali nyinyi hamna reli hio. Makamasi iliyojaa ndani ya ubongo wako Redeemer, ikamue hadi ikwishe.
Ni masikitiko makubwa kupindukia kwa namna mchina anavyowakatili kwenye hii sgrUnajua nyinyi hamna standard gauge railway? Wewe ni kama mjinga fulani anayeagiza gari mpya ya Petrol kutoka Japan halafu unamcheka jirani yako ambaye tayari ana gari hata kama ni ya diesel. Wewe usiyekuwa na gari, ngoja hadi hiyo uliyoagiza iwasili ndio uanze kuita hiyo ya jirani yako "takataka". Nyinyi msiokuwa na standard gauge railway hamna uwezo wala haki ya kuita reli ya Kenya "takataka" ilhali nyinyi hamna reli hio. Makamasi iliyojaa ndani ya ubongo wako Redeemer, ikamue hadi ikwishe.
Tell me a difference btn Kenya's SGR n Tanzania's narrow gauge railway (NGR) if ours move at 70 km/h in comparison to Kenya's 80km/h!Unajua nyinyi hamna standard gauge railway? Wewe ni kama mjinga fulani anayeagiza gari mpya ya Petrol kutoka Japan halafu unamcheka jirani yako ambaye tayari ana gari hata kama ni ya diesel. Wewe usiyekuwa na gari, ngoja hadi hiyo uliyoagiza iwasili ndio uanze kuita hiyo ya jirani yako "takataka". Nyinyi msiokuwa na standard gauge railway hamna uwezo wala haki ya kuita reli ya Kenya "takataka" ilhali nyinyi hamna reli hio. Makamasi iliyojaa ndani ya ubongo wako Redeemer, ikamue hadi ikwishe.
[emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] maneno kuntu na yanauma sana mkuu ila hakuna kitu kibaya kama mwanaume mwenzio akakufanya vibaya(mchina kwenye sgr ya kenya)Ni masikitiko makubwa kupindukia kwa namna mchina anavyowakatili kwenye hii sgr
Of course not everyone agrees that this was the most economically sensible solution.
Cost comparisons have been made between this line and Ethiopia's 756km Addis Ababa-Djibouti line launched recently
Both are Standard Gauge Railway (SGR) projects financed by Chinese loans, costing $3.4bn for Ethiopia [emoji1098] and $3.2bn for Kenya [emoji1139].
Ethiopia's line is more than 250km longer and is electrified, which is typically more expensive; trains running on Kenya's line is diesel-powered with 1960s fashioned locomotives [emoji577]
Very sad [emoji17] indeed
😁 😁 😁 😁 acha tu Uhuru keshawaloga sababu sio kwa ujambazi huu[emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] [emoji577] maneno kuntu na yanauma sana mkuu ila hakuna kitu kibaya kama mwanaume mwenzio akakufanya vibaya(mchina kwenye sgr ya kenya)
akikuorotheshea hizo tofauti niite.Tell me a difference btn Kenya's SGR n Tanzania's narrow gauge railway (NGR) if ours move at 70 km/h in comparison to Kenya's 80km/h!