SGR Construction in Tanzania - UPDATES

SGR Construction in Tanzania - UPDATES

16% after a year,
100% itafika after 6yrs.
Acha ushamba Kaka kumbuka kuna kitu kinaitwa mobilisation ambayo kimkataba ni miez sita hiyo ikiwemo kupata wafanyakazi na kukusanya vifaa ujenz WA kambi, ulipaj WA fidia na kubomoa n.k hapo ujenz haupo na hii project ni design and build Hivo kwa tafsiri yako basi Mrad umeenda Kwa kasi Sana....isitoshe kazi kubwa ktk ujenz WA reli tuta na madaraja baada ya hapo ni mtelezo tu
 
Acha ushamba Kaka kumbuka kuna kitu kinaitwa mobilisation ambayo kimkataba ni miez sita hiyo ikiwemo kupata wafanyakazi na kukusanya vifaa ujenz WA kambi, ulipaj WA fidia na kubomoa n.k hapo ujenz haupo na hii project ni design and build Hivo kwa tafsiri yako basi Mrad umeenda Kwa kasi Sana....isitoshe kazi kubwa ktk ujenz WA reli tuta na madaraja baada ya hapo ni mtelezo tu
Hajui huyo ni mshamba
 
Wakenya mkubali kuwa kwenye SGR mumekosea sanaa...hii itawafnya wananchi wengi kukimbilia kwnye nchi ambzo ina mambo ya kisasa ikiwepo TZ
 
Acha ushamba Kaka kumbuka kuna kitu kinaitwa mobilisation ambayo kimkataba ni miez sita hiyo ikiwemo kupata wafanyakazi na kukusanya vifaa ujenz WA kambi, ulipaj WA fidia na kubomoa n.k hapo ujenz haupo na hii project ni design and build Hivo kwa tafsiri yako basi Mrad umeenda Kwa kasi Sana....isitoshe kazi kubwa ktk ujenz WA reli tuta na madaraja baada ya hapo ni mtelezo tu
kule LDC Kunyaland ni mwendo kichinachina wa



Na

 
Wakenya mumebamizwa hela nyingi kwenye SGR ambayo ni old version na hiyo old version ynyewe imechakachuliwa...wachina wameamua kuitumia kenya kama experimental testing kama vinondo vya 9mm vinaweza kusimamisha nguzo...ur lives are hanging by the thread
 
Wakenya mumebamizwa hela nyingi kwenye SGR ambayo ni old version na hiyo old version ynyewe imechakachuliwa...wachina wameamua kuitumia kenya kama experimental testing kama vinondo vya 9mm vinaweza kusimamisha nguzo...ur lives are hanging by the thread
Hebu ungevihamisha kule nyuma vile vinondo tuweze kwenda sawa 9mm ukapitishe mzigo? na wenyewe humu ndani wanajisifu ujinga kabisa sijapata wahi ona viumbe wa ajabu kama hawa gharama wamepigwa na bada kilichotengenezwa chini ya kiwango ni msiba mzito kwa kweli siku wakijagundua lzm tupate wahamiaji kwetu.
 
Wakenya mumebamizwa hela nyingi kwenye SGR ambayo ni old version na hiyo old version ynyewe imechakachuliwa...wachina wameamua kuitumia kenya kama experimental testing kama vinondo vya 9mm vinaweza kusimamisha nguzo...ur lives are hanging by the thread
Tutegemee yakusikitisha baada ya kipindi kadhAa kutoka kwenye sgr ya kenya kama madaraja. Kuanguka n.k
 
7 Aug 2018
Dar-es-Salaam, Tanzania
Yapi Merkezi Tanzania, Standard Gauge Railway Line From Dar Es Salaam to Morogoro Project-JULY2018

Source: Yapi Merkezi SGR Construction project
Naona manyumbu ya kenya kimya sasa washaelewa somo dozi inawakolea vzr sasa kwa mavideo na mapichapicha.
 
Malizeni kujenga reli kwanza. Wacheni domo domo
Tunashukuru kama mmegundua kama inajengwa na iliyo bora waambie na wenzako,nadhani na ubora uliyopo kwenye reli yetu utasaidia kuiboresha yenu mliyoibiwa na wachina.
 
Yapi merkez has technology plus a lot more resources than any other firm ever build sgr in Africa and even experience whch z a crucial part of these projects...Tanzania has got the best...Right contractor at a right time
 
Back
Top Bottom