SGR itasafirisha nini?

Itasafirisha MICHEMBE kwenda MISUNGWI
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukiwafuatisha wanaumiza kichwa sana
 
Hayo malori yote yanayotuharibia barabara yanabeba nini
 
Kwani unaharka ya nini, subiri ijengwe na kumalizwa ndio utaona mazao watu yakisafirishwa!
 
Hayo malori yote yanayotuharibia barabara yanabeba nini
Malori makubwa yapo duniani kote hata ulaya na marekani yapo lakini barabara zao haziharibiki kwakuwa barabara zao zinafahamika uimara wake na uzito wa mizigo inayotakiwa kupitishwa. Tanzania tuna mizigo michache sana yenye uzito mkubwa unaohitaji reli. Mara nyingi hatujengi reli ili kuzuia uharibufu wa barabara bali tunahitaji reli ili kubeba mizingo mingi kwa wakati mmoja. Hiyo mizigo mingi na mizito sana isiyofaa kusafirishwa kwa barabara tunayo? itatulipa gharama za kujenga reli? Au tutalazisha mizigo yote ipite kwenye reli kwa kupiga marufuku malori? Je, ajira za malori zitakwenda wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…