SGR kwanini sikurejeshewa Pesa yangu?

SGR kwanini sikurejeshewa Pesa yangu?

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Kuna siku nilikuwa natakiwa kusafiri kuelekea Dar es Salaam kutokea Morogoro. Wakati nakata tiketi ya SGR mtandaoni nikiwa Morogoro, badala ya kuandika Morogoro kama kituo cha kuondokea, nikaandika Dar es Salaam. Hivyo, tiketi ikawa inasomeka kutoka Dar kwenda Morogoro ingawa nilitakiwa kusafiri kutokea Morogoro kwenda Dar.

Baada ya kufika kwenye kituo cha SGR Morogoro wakati wa ku-scan tiketi yangu ili kui-print, ndipo wakaniambia mbona inaonyesha Dar es Salaam kwenda Morogoro? Na wewe unataka kwenda Dar es Salaam. Nikawaambia naomba nibadilishieni route isome Morogoro to Dar es Salaam kama nilivyokusudia, wakasema hapana haiwezekani.

Kwasababu nilikuwa na haraka, kuna kazi nilitakiwa kuifanya Dar kisha nirudi Moro ikabidi nikate tiketi nyingine. Nimefika Dar nimefanya Mitikasi yangu haraka ili niwahi tena kituoni kwenda kurekebisha tiketi yangu ambayo nilikata asubuhi Morogoro ambayo ilionyesha route ya Dar – Moro kwa lengo niitumie wakati wakurudi nikaambiwa tena haiwezekani eti kwasababu imetoka kwenye mfumo.

Sasa kama ili ionekane tiketi imetumia lazima iwe scaned na yangu haikutumia kwanini sikurejeshewa pesa? Kama sio urasmu ni nini hasa?.
 
Ukikosea kwenye malipo ya mtandao ya serikali kurudishiwa hiyo fedha haiwezekani.
Nilikosea kununua umeme wa 20,000 nikaandika 200,000, niliwapigia wakamkambia wewe tumia t huo umeme huwezi kurudishiwa fedha
 
Ukikosea kwenye malipo ya mtandao ya serikali kurudishiwa hiyo fedha haiwezekani.
Nilikosea kununua umeme wa 20,000 nikaandika 200,000, niliwapigia wakamkambia wewe tumia t huo umeme huwezi kurudishiwa fedha
Nilitakaga kujiunga bando la 40 k kwa mwezi Voda kipindi icho nadhani huwezi kujiunga kupitia m pesa directly lazima ununue salio kwanza, nikaweka 400k badala ya 40 k aisee waliniambia niishi nazo tu hizo vocha kibishi😃
 
Nilitakaga kujiunga bando la 40 k kwa mwezi Voda kipindi icho nadhani huwezi kujiunga kupitia m pesa directly lazima ununue salio kwanza, nikaweka 400k badala ya 40 k aisee waliniambia niishi nazo tu hizo vocha kibishi😃
Mimi.pia yalinikuta nilitaka kutoa pesa kwa wakala laki moja nikakosea nikanunua muda wa maongezi laki moja
 
Pole sana kiongozi,
Hata hivyo hebu fikiria wewe ungekuwa unamiliki basi la Abiria; ukawa umeuza tiketi zote 50 za basi; ukawaambia wateja wengine basi lako limejaa.
Muda wa basi kuondoka abiria 5 wakawa hawajatokea na hivyo kusababisha siti zao tano zikaenda tupu, na hii ni kwa sababu, hawajakupa taarifa mapema ili uuze siti zao; Wewe kama mmiliki ungefanyaje?
 
Pole sana kiongozi,
Hata hivyo hebu fikiria wewe ungekuwa unamiliki basi la Abiria; ukawa umeuza tiketi zote 50 za basi; ukawaambia wateja wengine basi lako limejaa.
Muda wa basi kuondoka abiria 5 wakawa hawajatokea na hivyo kusababisha siti zao zikaenda tupu, na hii ni kwa sababu hapakuwa na muda wa kuziuza tiketi zao; Wewe kama mmiliki ungefanyaje?
Asipoelewa na hapa basi tena sasa
 
Ukikosea kwenye malipo ya mtandao ya serikali kurudishiwa hiyo fedha haiwezekani.
Nilikosea kununua umeme wa 20,000 nikaandika 200,000, niliwapigia wakamkambia wewe tumia t huo umeme huwezi kurudishiwa fedha
😆😆 noma aiissee
 
Nilitakaga kujiunga bando la 40 k kwa mwezi Voda kipindi icho nadhani huwezi kujiunga kupitia m pesa directly lazima ununue salio kwanza, nikaweka 400k badala ya 40 k aisee waliniambia niishi nazo tu hizo vocha kibishi😃
😆😆 pole sana
 
Kuna siku nilikuwa natakiwa kusafiri kuelekea Dar es Salaam kutokea Morogoro. Wakati nakata tiketi ya SGR mtandaoni nikiwa Morogoro, badala ya kuandika Morogoro kama kituo cha kuondokea, nikaandika Dar es Salaam. Hivyo, tiketi ikawa inasomeka kutoka Dar kwenda Morogoro ingawa nilitakiwa kusafiri kutokea Morogoro kwenda Dar.

Baada ya kufika kwenye kituo cha SGR Morogoro wakati wa ku-scan tiketi yangu ili kui-print, ndipo wakaniambia mbona inaonyesha Dar es Salaam kwenda Morogoro? Na wewe unataka kwenda Dar es Salaam. Nikawaambia naomba nibadilishieni route isome Morogoro to Dar es Salaam kama nilivyokusudia, wakasema hapana haiwezekani.

Kwasababu nilikuwa na haraka, kuna kazi nilitakiwa kuifanya Dar kisha nirudi Moro ikabidi nikate tiketi nyingine. Nimefika Dar nimefanya Mitikasi yangu haraka ili niwahi tena kituoni kwenda kurekebisha tiketi yangu ambayo nilikata asubuhi Morogoro ambayo ilionyesha route ya Dar – Moro kwa lengo niitumie wakati wakurudi nikaambiwa tena haiwezekani eti kwasababu imetoka kwenye mfumo.

Sasa kama ili ionekane tiketi imetumia lazima iwe scaned na yangu haikutumia kwanini sikurejeshewa pesa? Kama sio urasmu ni nini hasa?.
hivi kwanini sgr wasiweke kadi tu ukifika unaswap tu na kuingia simple..
 
Kuna siku nilikuwa natakiwa kusafiri kuelekea Dar es Salaam kutokea Morogoro. Wakati nakata tiketi ya SGR mtandaoni nikiwa Morogoro, badala ya kuandika Morogoro kama kituo cha kuondokea, nikaandika Dar es Salaam. Hivyo, tiketi ikawa inasomeka kutoka Dar kwenda Morogoro ingawa nilitakiwa kusafiri kutokea Morogoro kwenda Dar.

Baada ya kufika kwenye kituo cha SGR Morogoro wakati wa ku-scan tiketi yangu ili kui-print, ndipo wakaniambia mbona inaonyesha Dar es Salaam kwenda Morogoro? Na wewe unataka kwenda Dar es Salaam. Nikawaambia naomba nibadilishieni route isome Morogoro to Dar es Salaam kama nilivyokusudia, wakasema hapana haiwezekani.

Kwasababu nilikuwa na haraka, kuna kazi nilitakiwa kuifanya Dar kisha nirudi Moro ikabidi nikate tiketi nyingine. Nimefika Dar nimefanya Mitikasi yangu haraka ili niwahi tena kituoni kwenda kurekebisha tiketi yangu ambayo nilikata asubuhi Morogoro ambayo ilionyesha route ya Dar – Moro kwa lengo niitumie wakati wakurudi nikaambiwa tena haiwezekani eti kwasababu imetoka kwenye mfumo.

Sasa kama ili ionekane tiketi imetumia lazima iwe scaned na yangu haikutumia kwanini sikurejeshewa pesa? Kama sio urasmu ni nini hasa?.
Hukurejeshewa pesa Kwa sababu Kuna mtu hakuuziwa Ticket Yako toka Dar es salaam to Morogoro, means Treni ilitoka Dar na Siti Yako ikiwa tupu..!

Wakati mwingine ongeza Umakini kidogo.
 
Kuna siku nilikuwa natakiwa kusafiri kuelekea Dar es Salaam kutokea Morogoro. Wakati nakata tiketi ya SGR mtandaoni nikiwa Morogoro, badala ya kuandika Morogoro kama kituo cha kuondokea, nikaandika Dar es Salaam. Hivyo, tiketi ikawa inasomeka kutoka Dar kwenda Morogoro ingawa nilitakiwa kusafiri kutokea Morogoro kwenda Dar.

Baada ya kufika kwenye kituo cha SGR Morogoro wakati wa ku-scan tiketi yangu ili kui-print, ndipo wakaniambia mbona inaonyesha Dar es Salaam kwenda Morogoro? Na wewe unataka kwenda Dar es Salaam. Nikawaambia naomba nibadilishieni route isome Morogoro to Dar es Salaam kama nilivyokusudia, wakasema hapana haiwezekani.

Kwasababu nilikuwa na haraka, kuna kazi nilitakiwa kuifanya Dar kisha nirudi Moro ikabidi nikate tiketi nyingine. Nimefika Dar nimefanya Mitikasi yangu haraka ili niwahi tena kituoni kwenda kurekebisha tiketi yangu ambayo nilikata asubuhi Morogoro ambayo ilionyesha route ya Dar – Moro kwa lengo niitumie wakati wakurudi nikaambiwa tena haiwezekani eti kwasababu imetoka kwenye mfumo.

Sasa kama ili ionekane tiketi imetumia lazima iwe scaned na yangu haikutumia kwanini sikurejeshewa pesa? Kama sio urasmu ni nini hasa?.
Siku nyingine uwache uzembe nyumbani.

Mwandikie mkurugenzi wa reli, sanasana atakupa tiketi ya complimentari tu.
 
Hukurejeshewa pesa Kwa sababu Kuna mtu hakuuziwa Ticket Yako toka Dar es salaam to Morogoro, means Treni ilitoka Dar na Siti Yako ikiwa tupu..!

Wakati mwingine ongeza Umakini kidogo.
Muda wa kuondoka Dar ulikuwa haujafika na ndio maana niliomba kuboresha kabla ya wakati ili wauze 💺
 
Sure, lakini isiwe advantage law wengine kwani uwezo wa kuibadilisha route ulikuwepo hata kwa kukata asilimia kadhaa kwa ajili ya usumbufu
Ni kweli wao hawawezi 7bu mfumo kwao ni READ ONLY Yaani hawawezei na wala hawaruhusiwi kuediti chochote
So8nakiwa ngumu kwao
 
Pole sana kiongozi,
Hata hivyo hebu fikiria wewe ungekuwa unamiliki basi la Abiria; ukawa umeuza tiketi zote 50 za basi; ukawaambia wateja wengine basi lako limejaa.
Muda wa basi kuondoka abiria 5 wakawa hawajatokea na hivyo kusababisha siti zao zikaenda tupu, na hii ni kwa sababu hapakuwa na muda wa kuziuza tiketi zao; Wewe kama mmiliki ungefanyaje

Pole sana kiongozi,
Hata hivyo hebu fikiria wewe ungekuwa unamiliki basi la Abiria; ukawa umeuza tiketi zote 50 za basi; ukawaambia wateja wengine basi lako limejaa.
Muda wa basi kuondoka abiria 5 wakawa hawajatokea na hivyo kusababisha siti zao zikaenda tupu, na hii ni kwa sababu hapakuwa na muda wa kuziuza tiketi zao; Wewe kama mmiliki ungefanyaje?
Hakuna binadamu asitepatwa na dharura hasa kwenye safari Kama halijawahi kukuta au kukaribiana na tatizo Hilo bhas sio mtu was safari kwenye basi ishanikuta Sana kubwa wanakwambia pesa kurudi si rahisi kama safari ume cancel labda umuuzie mtu tiketi au upande basi jingine kwa sababu gani unapandishwa basi jingine ile NI kampuni na ile Siri itauzwa njiani Ila utoe taarifa kabla basi halijaanza safari wapeane taarifa njiani Kama Kuna Siri Haina mtu wakatishe tiketi ya abiria mwingine

Tukija kwenye vyombo vya maji namaanisha meli au boti naandika kwa experience yashawahi kunikuta

Ukichelewa kufika na bado unataka usafiri utaambiwa ngja nyngne usafiri
Ukighairisha utagewa nusu hasara

uukikata tiketi ya saav7 kwa bahati mbaya ukaenda pale saa 4 bila kupepesa unaomba na unaruhusiwa kusafiri Mana NI dharula

Na hata kwenye basi Kama ukichelewa kufika stendi basi likawa limeondika ndo vile una haraka utalifukuzia basi na boss Bora mpaka ukilipata either ukute Siri yako ishauzwa au haijauzwa Kama imeuzwa na utaambiwa ngoja nyengine Kama una haraka utaingia utakaa hata pale karibu na dereva Kuna kiholu flani kinakaa mizigo hayo yote nimesemea kampuni binafsi wanaweza kufanya hivyo serikali Inashindwa vp kusaidia au kutoa nusu fidia kwa muhanga huo ni ytapeli na haukubalili


Umechelewesha treni kufika kituoni unaombwa refund unasema uandike varua ya refund ili upate Amana yako huyo sio haki
 
Mifumo huwa inaboreshwa kutokana na changamoto zinavyojitokeza hivyo huenda mbeleni utatuzi wa issue kama hizo ukapatikana.
 
Ni kweli wao hawawezi 7bu mfumo kwao ni READ ONLY Yaani hawawezei na wala hawaruhusiwi kuediti chochote
So8nakiwa ngumu kwaoW

Ni kweli wao hawawezi 7bu mfumo kwao ni READ ONLY Yaani hawawezei na wala hawaruhusiwi kuediti chochote
So8nakiwa ngumu kwao
Waboreshe mfumo kama ilivyo kwa huduma za kifedha mtu ukikosea unarejeshewa au unazuia pesa zako
 
Back
Top Bottom