KERO SGR rekebisheni muda wa Safari, mnapoteza abiria

KERO SGR rekebisheni muda wa Safari, mnapoteza abiria

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

LICHADI

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
4,491
Reaction score
12,560
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
 
Kutoka Dar Saa 12 kamili asbuhi kwenda moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
Kwani namba ya Kadogosa huna kumpigia mazima
 
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
Mbona mabasi yanaanza safari za kwenda mikoani saa 9 alfajiri, uwe kituo saa 8:30 alfajiri.
 
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
ukiamka hiyo saa 10 usiku ,ukawahi pale mbezi mwisho unadaka gari chap hiyo saa 12 inakukuta chalinze
 
Duu
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
Duuh wanachemka sana!Hawana watu wa masoko!
 
Umeshasema kama haukukata tiketi,Sasa hao ambao hawakukata mkiwa wengi kabla saa 12 watawaudumia vipi na tren inatakiwa iende na muda saa 12 itoke
Safari ya moro ni fupi haina hadhi ya kumtoa mtu nyumbani saa kumi usiku hata ww kazi ukifanyia kimara huwezi toka mbezi saa kumi usiku, wanapoteza abiria wengi, laba wawe na treni nyingi
 
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
Unafikiri watu wote wanakaa unapokaa wewe?

Wengine sisi dakika 15 tupo stesheni ya SGR tena kwa miguu.

Subiri safari zikiongezeka itakuwepo ya saa mbili asaubuhi, zinatarajiwa zifikie kuondoka kila lisaa limoja na kuingia hivyo hivyo. Ndiyo tunaanza.
 
Unafikiri watu wote wanakaa unapokaa wewe?

Wengine sisi dakika 15 tupo stesheni ya SGR tena kwa miguu.

Subiri safari zikiongezeka itakuwepo ya saa mbili asaubuhi, zinatarajiwa zifikie kuondoka kila lisaa limoja na kuingia hivyo hivyo. Ndiyo tunaanza.
reli zinawezesha treni mbili kupishana njiani?
 
Umeshasema kama haukukata tiketi,Sasa hao ambao hawakukata mkiwa wengi kabla saa 12 watawaudumia vipi na tren inatakiwa iende na muda saa 12 itoke
Panga safari yako mapema na nunua tikiti yako mapema usinunue siku ya safari labda itokee dharula. Mvivu wa kuamka ndiye anadai saa 12 asubuhi ni mapema wakati vituo vya daladala vimejaa watu tangu saa 10 alfajiri tukiacha mikoa ya magharibi na kusini ambako jua huchelewa kuzama na kuchomoza kwa tofauti ya saa moja. Abiria wanaosafiri kwa mabasi hapa Dar huripoti kuanzia saa 9 alfajiri na mabasi huondoka saa9:30 alfajiri na hawajapoteza abiria. Nimalizie tu kwa kusema hiyo ilikuwa safari yako ya kwanza kutoka jijini Dar, wewe si msafiri wa mara kwa mara.
 
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
Uwezo wao wa kufikiri umeishia kwenye treni ya stesheni Dar. Hawana uwezo wa kujiuliza hao abiria wanaotakiwa kuwa ndani ya treni inayoondoka saa 12 asubuhi watapata changamoto zipi kufika stesheni.

Wakati wa kujadili hili, waliambiwa Ethiopian Airlines na Kenya Airways wanaondoka saa 10 alfajiri na abiria wanawahi, wakaona basi treni kuondoka saa 12 asubuhi sio tatizo!
 
Panga safari yako mapema na nunua tikiti yako mapema usinunue siku ya safari labda itokee dharula. Mvivu wa kuamka ndiye anadai saa 12 asubuhi ni mapema wakati vituo vya daladala vimejaa watu tangu saa 10 alfajiri tukiacha mikoa ya magharibi na kusini ambako jua huchelewa kuzama na kuchomoza kwa tofauti ya saa moja. Abiria wanaosafiri kwa mabasi hapa Dar huripoti kuanzia saa 9 alfajiri na mabasi huondoka saa9:30 alfajiri na hawajapoteza abiria. Nimalizie tu kwa kusema hiyo ilikuwa safari yako ya kwanza kutoka jijini Dar, wewe si msafiri wa mara kwa mara.
Kama duniani tungekuwa na philosophy kwamba kurahisisha maisha na kuyafanya yawe comfortable zaidi ni kuendekeza uvivu, hadi leo tungekuwa tunasafiri kwa mguu Dar hadi Morogoro. Watu wenye kuwaza namna hii ndio mnaotukwamisha kutoka kilimo cha jembe la mkono kwenda kwenye kilimo cha tractor zenye AC!
 
Back
Top Bottom