KERO SGR rekebisheni muda wa Safari, mnapoteza abiria

KERO SGR rekebisheni muda wa Safari, mnapoteza abiria

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kuamka saa 9 inahitaji effort kubwa, pamoja na kujinyima usingizi wa optimum masaa 7 ili akili ifanye kazi sawasawa. Life is about minimizing the effort required in doing things. Usemi kuwa nimezoea shida hauna uhalisi, bali watu wanavumilia shida. Kwa hiyo TRC hawapaswi kuweka ratiba ambazo zinahitaji watu waweke effort kubwa ya kuamka pasipo sababu za msingi. TRC wana sababu zipi za msingi za kuondoka saa 12 asubuhi wakijua watu itabidi watumie effort kubwa kuamka saa 10 alfajiri ili waende stesheni na waiwahi train?

Katika kupanga mambo hata kutengeneza kiti chako tu cha kukalia, kuna element inaitwa egonomics. Sijui kama hawa kina Kodogosa wanajua hivi vitu.

Kama nimekuacha mbali acha tu usiko comment. Hii inaweza ikawa sio level yako ya shule.
Mkuu, wewe saa ngapi ndio unaona muda sahihi? Huu ni mwanzo baadae wakianza trip za Dodoma hata routes zitaongezeka kwasababu abiria watakuwa wengi DAR-MORO-DOM-DAR ila sasa hivi route ya Moro haina watu wengi ndio maana zipo trip mbili tu. Wakianza saa mbili asubuhi vipi wale wanaotaka kuwahi? Mind you kufika mapema sehemu sio issue ila kuchelewa ni issue. Kama una haraka saa 12 inakufaa,kama huna haraka panda ya jioni.
 
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
ungesema mabasi ya watunga sheria yataendelea kupiga hela sana
 
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
Jipange
 
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
Kwani lengo ni kuzuia mabasi kupiga pesa?
 
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
wametageti watu wanaotoka dsm wakawahi kazini moro and vice verse. nadhani wengi wape. cha muhimu tu waongeze idadi ya treni. punguzeni hayo mashangingi mnunue treni ziwe rundo watu wafurahie.
 
Back
Top Bottom