KERO SGR rekebisheni muda wa Safari, mnapoteza abiria

KERO SGR rekebisheni muda wa Safari, mnapoteza abiria

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
Hivi tren ikikuacha unaikimbiza na nini ili upande maana basi tunalikimbiza na toyo na linasimama napanda zangu polepole ?
 
Mie nikajua labda tren ya kuondoka saa 12 imeondoka saa 1.
Kwa Hapo usiwalaumu SGR, kata tiketi yako online mapema, unakuwa na uhakika wa safari, mie nilikata tiketi tren ya kutoka moro kuja dar ya saa 2 na dk 50asubuh, kwa kuwa tiketi nilikata toka jana yake kwenye mtandao, siku ya safari nilifika stesheni saa 2 na nusu hivi, saa 2 na dk 50 safari ikaanza.
 
Unahisi wao hawalijui hilo ? Hi nchi we acha tu vitu vya umma vinahujumiwa sana

Kuanzia sa 2 asubuhi Hadi sa 8 mchana ndio muda ambao Kuna abiria wengi wa Dar to Moto na ndio muda ambao treni hakuna lazima watu wapande mabasi
 
tofauti ya nusu saa na masaa mawili

Kama duniani tungekuwa na philosophy kwamba kurahisisha maisha na kuyafanya yawe comfortable zaidi ni kuendekeza uvivu, hadi leo tungekuwa tunasafiri kwa mguu Dar hadi Morogoro. Watu wenye kuwaza namna hii ndio mnaotukwamisha kutoka kilimo cha jembe la mkono kwenda kwenye kilimo cha tractor zenye AC!
Sijakuelewa, mimi nimezoea kuondoka nyumbani saa 9 ili nipande basi saa 9:30, sasa huo uvivu ni upi! Mimi ninamuona anayelalamika kuwa saa 12 ni mapema sana kuwa ni mvivu.
 
Unahisi wao hawalijui hilo ? Hi nchi we acha tu vitu vya umma vinahujumiwa sana

Kuanzia sa 2 asubuhi Hadi sa 8 mchana ndio muda ambao Kuna abiria wengi wa Dar to Moto na ndio muda ambao treni hakuna lazima watu wapande mabasi
Wenzako tunapanda treni Dar / Moro saa 12 nafika Moro mapema napanda basi saa nne niko Dodoma.
 
Mbona Ndege huwa hatuuliza maswali haya?
Ndege watu hawaulizi kwa sababu
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
wangeweka saa kumi na mbili asubuhi na saa tatu, na nyingine saa tisa na saa kumi na mbili
 
Mie nikajua labda tren ya kuondoka saa 12 imeondoka saa 1.
Kwa Hapo usiwalaumu SGR, kata tiketi yako online mapema, unakuwa na uhakika wa safari, mie nilikata tiketi tren ya kutoka moro kuja dar ya saa 2 na dk 50asubuh, kwa kuwa tiketi nilikata toka jana yake kwenye mtandao, siku ya safari nilifika stesheni saa 2 na nusu hivi, saa 2 na dk 50 safari ikaanza.
Online unakata vipi mkuu ?
 
Sijakuelewa, mimi nimezoea kuondoka nyumbani saa 9 ili nipande basi saa 9:30, sasa halo uvivu ni upi! Mimi ninamuona anayelalamika kuwa saa 12 ni mapema sana kuwa ni mvivu.
Kuamka saa 9 inahitaji effort kubwa, pamoja na kujinyima usingizi wa optimum masaa 7 ili akili ifanye kazi sawasawa. Life is about minimizing the effort required in doing things. Usemi kuwa nimezoea shida hauna uhalisi, bali watu wanavumilia shida. Kwa hiyo TRC hawapaswi kuweka ratiba ambazo zinahitaji watu waweke effort kubwa ya kuamka pasipo sababu za msingi. TRC wana sababu zipi za msingi za kuondoka saa 12 asubuhi wakijua watu itabidi watumie effort kubwa kuamka saa 10 alfajiri ili waende stesheni na waiwahi train?

Katika kupanga mambo hata kutengeneza kiti chako tu cha kukalia, kuna element inaitwa egonomics. Sijui kama hawa kina Kodogosa wanajua hivi vitu.

Kama nimekuacha mbali acha tu usiko comment. Hii inaweza ikawa sio level yako ya shule.
 
Kesho nilikuwa na safari ya moro nikaona niwachek niulize Ratiba zao nikauliza Treni ya kwanza inatoka saa ngapi nikaambiwa ni saa 12 kamili asubuhi, muda wa kuripoti ni saa 11 na kama huna tiketi uripoti saa kumi usiku yaani niripoti saa kumi usiku safari ya moro?

Kutoka Dar Saa 12 kamili asubuhi kwenda Moro mmebugi sana, maana baada ya hapo treni inayofuata ni jioni, nawashauri kama hamna Treni nyingi basi anglau treni itoke hata saa 2, kumtoa mtu nyumbani saa 10 za usiku kuwahi Treni ya Moro ni kipengele

Safari fupi ya morogoro kumtoa mtu nyumbani saa 10 usiku ni masihara

La sivyo wekezeni angalau kuwe na Treni nyingi, kila baada ya masaa matatu itoke treni, la sivyo mabasi yataendelea kupiga pesa
Wewe sio msafiri serious.
.tunaishi dar tunafanya kazi Moro.
 
Si mpande Ngorika??? Hata saa hizi Unplikuta Shekilango sijui Mbezi...
Maudhi mengine tunajitakia wenyewe
 
Hivi tren ikikuacha unaikimbiza na nini ili upande maana basi tunalikimbiza na toyo na linasimama napanda zangu polepole ?
Ukimbize treni ya SGR ikiwa umechwa? Labda uwe Mpare. Maana utaingia gharama mara tano ya bei ya ticket na utafanikiwa kuipata, ikiwa imeshafika Morogoro!
 
Sijakuelewa, mimi nimezoea kuondoka nyumbani saa 9 ili nipande basi saa 9:30, sasa huo uvivu ni upi! Mimi ninamuona anayelalamika kuwa saa 12 ni mapema sana kuwa ni mvivu.
amesema anatakiwa aende kukata ticket saa 10 kama hana ticket halafu safari saa 12
 
Back
Top Bottom