SGR ya Kenya inauwezo wakubeba tonne 4,000 wakati ya Tanzania itakuwa na uwezo wakube tonne10,000 za mzigo kwa wakati mmoja ambayo ni zaidi ya mala mbili ya SGR ya Kenya. Hili swala nilikuwa sijawahi lichunguza. Kiukweli Magufuli anastahili pongezi. Wachina sio watu wazuri kwa Kenya. Inamaana mfumo wa SGR(Tuta) ya Tanzania itakuwa na uwezo mkubwa zaidi wakubeba mzigo.