SGR ya Tanzania ni "Suez Canal "ya Afrika Mashariki na Kati

SGR ya Tanzania ni "Suez Canal "ya Afrika Mashariki na Kati

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
UJENZI wa mfereji wa Suez nchini Misri ulioanza mwaka 1859 jadi 1869 ni mradi ambao awali wengi waliona kama mradi kichaa na wa kupoteza muda.

Ujenzi ulihitaji nguvu kazi kubwa na pesa nyingi kufikia malengo ambayo utawala wa Misri wa wakati huo usingeweza kufanikisha.

Ndio maana mradi ulipoanza, serikali ya Misri (na kampuni ya Suez) ilitumia nguvu za ziada kuwalazimisha raia wake kufanya kazi kwa ujira usiolingana na ukubwa wa kazi zilizofanyika. Walioshiriki katika kuchimba mrefeji huo walijihisi kama watumwa ndani ya nchi yao wenyewe.

Kazi zote za uchimbaji wa mfereji wa Suez zilifanyika kwa kutumia zana za mkono na zilizokuwa duni. Katika hatua za awali majembe, mashoka, sururu na zana nyingine ndizo zilizotumika.

Lakini wazalendo hawa waliendela kubeba jukumu la kukamilisha uchimbaji na uondoaji wa kifusi cha mfereji huo wenye urefu wa kilomita 193.30, sawa na umbali wa kutoka Dar mpaka Morogoro.

Shughuli iliyolalamikiwa na wengi sasa inailetea faida kubwa Misri, vizazi kwa vizazi. Huu ni mradi ambao kiuchumi ulikuwa ni lazima utekelezwe kutokana na uhakika wa kuzalisha faida.

Ni mradi ambao umerahisisha meli kutoka Ulaya, Asia, Afrika na Amerika zitumie mfereji huo kurahisisha ‘maisha’ huku serikali ikitengeneza faida.

Uchumi wa Misri kwa sasa unabebwa kwa kiasi kikubwa na mapato yatokanayo na ushuru wa kupitisha meli za mizigo katika mfereji huo.

Kama vijanawa Misri wa wakati huo wangepinga ujenzi wa mradi huo, kiasi cha zaidi ya Dola bilioni 5.3 (kwa mujibu wa Reuters), zinazoingia kama sehemu ya mapato ya Misri kwa mwaka, zingekuwa ni ndoto.

Taswira inayofanana na hii ya Misri ndio inayoonekana nchini Tanzania. Rais John Magufuli anatengeneza mfereji mpya wa kupitisha mizigo kutoka Bara la Asia kwenda nchi zote za Ukanda wa Kati na kusini maghaibi mwa Afrika.

Ikumbukwe kwamba ripoti mbalimbali za biashara duniani zinaonesha ya kuwa asilimia 90 ya bidhaa zote husafirishwa kwa njia ya maji. Ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) ni taswira halisi ya mfereji wa Suez kama wa Misri.

Utakuwa mfereji mpya katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Licha ya mfereji wa Misri kutatua changamoto kubwa ya uchumi wa dunia, bado nchi kama Angola, Congo DRC, Afrika ya Kati, Cameroon, Gabon, Congo, Equatorial Guinea na nyingine nyingi, ni waathirika wa safari za umbali mrefu kusafirisha bidhaa kwenda katika nchi zao.

Suluhisho la urefu na gharama kubwa ya kusafirisha mizigo kupitia Cape Town au mfereji wa Suez nchini Misri kwenda katika nchi hizi ni kutengeneza mfereji mpya wa SUEZ kupitia Tanzania.

Kwenye hoja hii ndipo maudhui makuu ya makala haya yamejikita na hatimaye kupata wazo la kuibatiza reli ya kisasa ya Tanzania kama ‘mfereji mpya wa Suez ndani ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.’

Reli hii itakapokuwa imefika Mwanza, Kigoma, na kwenye mpaka wa Rusumo, Tanzania itakuwa na kazi nyingine muhimu ya kufanya ili lengo la kuwa na mfereji huu mpya wa Suez likamilike.

Kazi muhimu katika hatua hii itakuwa ni kupeleka timu maalumu ya ushawishi, kwenye nchi zote za Afrika Mashariki na Kati, yenye uwezo mkubwa wa kuionesha kivitendo diplomasia ya uchumi.

Reli ya kisasa inayojengwa nchini itakuwa sawa kabisa na kazi ya mfereji wa Suez kwa Tanzania, Afrika Mashariki na Kati, na hata kwa dunia nzima.

Nimewahi kuandika kwamba diplomasia ya uchumi hutegemea mambo kadhaa; uwezo wa nchi kiuchumi, ushawishi wa nchi katika hoja za kimataifa, na nafasi ya nchi katika makundi mbalimbali ya kimataifa.

Katika mambo yote hayo, Tanzania inaweza kuwa na ushawishi mkubwa kutokana na nafasi yake katika ukanda wetu huu.

Tanzania ni miongoni mwa nchi katika ukanda huu inayomiliki eneo kubwa la Pwani ya Bahari ya Hindi na ndio nchi pekee katika ukanda huu inayopakana na nchi nyingi zisizo na bandari (land locked).

Tanzania ndio nchi pekee yenye bandari kubwa bahari ya Hindi inayopakana moja kwa moja na nchi yenye bandari kwenye bahari ya Atlantiki, yaani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Congo DRC).

Tanzania ndio nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na wakati huo huo ni mwanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

Ndio nchi yenye mradi mkubwa wa reli ya kisasa inayotoka bahari ya Hindi na yenye uwezo wa moja kwa moja wa kuziunganisha nchi zaidi ya tano. Hivyo haijawahi kutokea katika historia ya nchi ya Tanzania ambapo diplomasia ya uchumi inahitajika kufanyiwa kazi kivitendo kama wakati huu.

Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati pamoja na viongozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mikutano ya kikanda wanapaswa kufanya kazi ya ziada ili diplomasia hii ya uchumi itamalaki katika kukuza uchumi kupitia mradi wa SGR.

Baada ya SGR kufika Bandari ya Mwanza, mizigo ya Uganda na Sudan Kusini itasafirishwa kwa uharaka na kwa gharama nafuu kutoka bandari ya Dar es Salaam mpaka Mwanza na baadae mabehewa 22 kuingizwa moja kwa moja ndani ya meli za mizigo na kuvushwa mpaka Bandari ya Portbell, Kampala au Jinja.

Kutokea Uganda mzigo wa Sudan Kusini utasafirishwa kwa umbali mfupi na kuwafikia walaji. Ushawishi kwa nchi za Uganda na Sudan Kusini utahitajika ili kuonesha faida kubwa za kiuchumi kwa nchi hizo kwa kusafirisha mizigo kwa SGR kutoka Tanzania.

Reli ya kisasa kutoka Dar es Salaam ikifika Rusumo, Tanzania itahitaji kushawishi Wanyarwanda na Warundi kuhusu unafuu wa gharama na uharaka wa kusafirisha mizigo kutoka nje ya nchi kwa kutumia reli ya kisasa kutoka Tanzania.

Bidhaa za China, India na hata tende za Uarabuni husafiri kwa umbali mrefu na kwa gharama kubwa kufika Congo DRC, Afrika ya Kati, Angola na baadhi ya nchi nyingine nyingi.

Kama ujenzi wa mfereji huu mpya wa Suez na hasa kutoka mpaka wa Rwanda au Burundi kuelekea bandari ya Matadi nchini Congo DRC kwenye bahari ya Atlantiki ukifanikiwa, soko la Asia na lile la Magharibi mwa Afrika, na lile la bara la Amerika na Mashariki na Kati mwa Afrika yataunganishwa na kuwa mkombozi wa ukanda huu kama mfereji wa Suez wa Misri ulivyoleta unafuu kwa Ulaya na Amerika kuunganishwa na Asia.

Ujenzi wa miradi pacha ya SGR na umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ilipoanza kutekelezwa ilikuwa ndio mwanzo wa ndoto mpya ya Dk John Magufuli ya kuifanya Tanzania kuwa nchi tajiri na yenye uwezo wa kuanza kutoa misaada kwa nchi nyingine.

Utajiri wa Tanzania utaongezeka pia pale njia ya umeme wa ziada utasafirishwa sambamba na mfereji huu mpya wa Suez kuelekea nchi zote ambazo mfereji unaweza kufika, na kuwauzia umeme wale wenye uhitaji.

Ifahamike kuwa juhudi kubwa ya kuifanya reli ya kisasa kuwa mfereji mpya wa Suez iko mikononi mwa Tanzania. Bandari kavu ya Isaka ilipoanzishwa ilikuwa na lengo linalofanana na hili la ujenzi wa mfereji mpya wa Suez ambayo kwa hakika ilifanya kazi kwa ufanisi.

Isaka kwa muda ikawa ni muarobaini wa changamoto za mrundikano wa malori kwenye barabara zetu kutoka nchi nyingi zinazoizunguka Tanzania. Mizigo mingi ya nchi hizo ilichukuliwa kutokea bandarini hapo.

Majasusi wa kiuchumi kutoka ndani na nje ya nchi walifanya kila linalowezekana ili umaarufu wa bandari ya nchi kavu ya Isaka ufutike na hivyo kudhoofisha uchumi wa Tanzania.

Kimantiki, ni jambo lisiloeleweka kwa namna nchi inavyoingia gharama ya ujenzi na ukarabati wa barabara kutokana na uharibifu unaofanywa na wingi wa malori yenye uzito mkubwa yanayokwenda bandari ya Dar es Salaam kuchukua mizigo badala ya mizigo hiyo kuchukuliwa bandari kavu ya Isaka au bandari ya Mwanza.

Mashindano makubwa ya wafanyabiashara duniani ni kuzalisha na kusafirisha bidhaa kwa gharama ya chini kwa kadiri inavyowezekana ili zinapowafikia watumiaji ziuzwe kwa bei ndogo kwa lengo la kuwapa watumiaji nguvu au uwezo wa kununua bidhaa husika.

Ni kampuni au mfanyabiashara yupi asiyehitaji kusafirisha bidhaa kwa bei ya chini ili mzunguko wa bidhaa zake uwe mkubwa? Ni nani asingependa kusafirisha mizigo yake kwa kwa haraka?

Taarifa za kiuchumi na hata zile za wataalamu wanaojenga SGR duniani zinaonesha kuwa usafirishaji kwa kutumia reli ya kisasa hupunguza gharama kwa kiasi kikubwa.

Ninapoandika makala haya, bandari ya Kigoma katika ripoti zake inaonesha kuwa baadhi ya wafanyabiashara kutoka Kaskazini Mashariki mwa nchi ya Congo hunufaika kwa kusafirisha mizigo yao kwa reli ya kati kupitia Bandari ya Kigoma.

Kutoka Kigoma mizigo husafirishwa kwa meli mpaka Burundi na kisha DRC. Amani na usalama wa Tanzania ndio kivutio na mtaji wa kufanya biashara na mataifa yote yanayotuzunguka katika Ukanda wa Kati na Mashariki mwa Afrika.

Ukamilishwaji wa ujenzi wa SGR ya Tanzania inayobeba taswira ya mfereji mpya wa Suez katika ukanda huu utarahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka Mashariki ya mbali na hata kutoka bara la Amerika.

Mizigo kutoka Amerika, India, Uchina, Japan na kutoka nchi nyingine nyingi kwenda Sudan Kusini, Uganda, Zambia, Malawi na nchi zote za ukanda huu itasafirishwa kupitia SGR ya Tanzania na hivyo kukuza uchumi kama ilivyo kwa mfereji wa Suez kule Misri.

Mabilioni ya dola yanayopatikana Misri, yanaweza kupatikana nchini Tanzania kama tutaendelea kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli ili mfereji huu mpya wa Suez ujengwe na kukamilika.

Mwandishi wa makala haya ni mchangiaji wa gazeti hili.

Chanzo: Reli ya Kisasa; mfereji mpya wa ‘Suez’ EAC


=======

MY TAKE:
Ukijumlisha na bomba la gesi kwenda Uganda na Kenya, na Umeme wa bwawa la Nyerere na uzalishaji wa Chakula unavyoongezeka kwa Nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unawatoa amani majirani! Utamfanya Uhuru apande wazimu akakope +$3 bln ya Naivasha-Kisumu-Malaba aitumbukize nchi kwenye balaa! Kumbuka juzi France alichukua mkopo wa $3 bln!

Huko saahii ni "majuto ni mjukuu"..





CC:

nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican,Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Unawatoa amani majirani! Utamfanya Uhuru apande wazimu akakope +$3 bln ya Naivasha-Kisumu-Malaba aitumbukize nchi kwenye balaa! Kumbuka juzi France alichukua mkopo wa $3 bln!

Huko saahii ni "majuto ni mjukuu"..





CC:

nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican,Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
Njia pekee iliyobaki kwa Kenya ni kukubali kwamba Tanzania ni "Unstoppable", na waungane na Tanzania kama waliivyofanya, Rwanda, DRC, Burundi, Uganda, Malawi na Zambia.

Kenya lazima ichague kaundelea kushindana au kukubali kuungana na Tanzania.
 
Njia pekee iliyobaki kwa Kenya ni kukubali kwamba Tanzania ni "Unstoppable", na waungane na Tanzania kama waliivyofanya, Rwanda, DRC, Burundi, Uganda, Malawi na Zambia.

Kenya lazima ichague kaundelea kushindana au kukubali kuungana na Tanzania.
Wanasema kenge hasikii mpaka sikio...

siku hizi naona battle ni mpaka rais gani anaongea kiingereza safi mbele ya wazungu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
UJENZI wa mfereji wa Suez nchini Misri ulioanza mwaka 1859 jadi 1869 ni mradi ambao awali wengi waliona kama mradi kichaa na wa kupoteza muda.

Ujenzi ulihitaji nguvu kazi kubwa na pesa nyingi kufikia malengo ambayo utawala wa Misri wa wakati huo usingeweza kufanikisha.

Ndio maana mradi ulipoanza, serikali ya Misri (na kampuni ya Suez) ilitumia nguvu za ziada kuwalazimisha raia wake kufanya kazi kwa ujira usiolingana na ukubwa wa kazi zilizofanyika. Walioshiriki katika kuchimba mrefeji huo walijihisi kama watumwa ndani ya nchi yao wenyewe.

Kazi zote za uchimbaji wa mfereji wa Suez zilifanyika kwa kutumia zana za mkono na zilizokuwa duni. Katika hatua za awali majembe, mashoka, sururu na zana nyingine ndizo zilizotumika.

Lakini wazalendo hawa waliendela kubeba jukumu la kukamilisha uchimbaji na uondoaji wa kifusi cha mfereji huo wenye urefu wa kilomita 193.30, sawa na umbali wa kutoka Dar mpaka Morogoro.

Shughuli iliyolalamikiwa na wengi sasa inailetea faida kubwa Misri, vizazi kwa vizazi. Huu ni mradi ambao kiuchumi ulikuwa ni lazima utekelezwe kutokana na uhakika wa kuzalisha faida.

Ni mradi ambao umerahisisha meli kutoka Ulaya, Asia, Afrika na Amerika zitumie mfereji huo kurahisisha ‘maisha’ huku serikali ikitengeneza faida.

Uchumi wa Misri kwa sasa unabebwa kwa kiasi kikubwa na mapato yatokanayo na ushuru wa kupitisha meli za mizigo katika mfereji huo.

Kama vijanawa Misri wa wakati huo wangepinga ujenzi wa mradi huo, kiasi cha zaidi ya Dola bilioni 5.3 (kwa mujibu wa Reuters), zinazoingia kama sehemu ya mapato ya Misri kwa mwaka, zingekuwa ni ndoto.

Taswira inayofanana na hii ya Misri ndio inayoonekana nchini Tanzania. Rais John Magufuli anatengeneza mfereji mpya wa kupitisha mizigo kutoka Bara la Asia kwenda nchi zote za Ukanda wa Kati na kusini maghaibi mwa Afrika.

Ikumbukwe kwamba ripoti mbalimbali za biashara duniani zinaonesha ya kuwa asilimia 90 ya bidhaa zote husafirishwa kwa njia ya maji. Ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) ni taswira halisi ya mfereji wa Suez kama wa Misri.

Utakuwa mfereji mpya katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati. Licha ya mfereji wa Misri kutatua changamoto kubwa ya uchumi wa dunia, bado nchi kama Angola, Congo DRC, Afrika ya Kati, Cameroon, Gabon, Congo, Equatorial Guinea na nyingine nyingi, ni waathirika wa safari za umbali mrefu kusafirisha bidhaa kwenda katika nchi zao.

Suluhisho la urefu na gharama kubwa ya kusafirisha mizigo kupitia Cape Town au mfereji wa Suez nchini Misri kwenda katika nchi hizi ni kutengeneza mfereji mpya wa SUEZ kupitia Tanzania.

Kwenye hoja hii ndipo maudhui makuu ya makala haya yamejikita na hatimaye kupata wazo la kuibatiza reli ya kisasa ya Tanzania kama ‘mfereji mpya wa Suez ndani ya Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.’

Reli hii itakapokuwa imefika Mwanza, Kigoma, na kwenye mpaka wa Rusumo, Tanzania itakuwa na kazi nyingine muhimu ya kufanya ili lengo la kuwa na mfereji huu mpya wa Suez likamilike.

Kazi muhimu katika hatua hii itakuwa ni kupeleka timu maalumu ya ushawishi, kwenye nchi zote za Afrika Mashariki na Kati, yenye uwezo mkubwa wa kuionesha kivitendo diplomasia ya uchumi.

Reli ya kisasa inayojengwa nchini itakuwa sawa kabisa na kazi ya mfereji wa Suez kwa Tanzania, Afrika Mashariki na Kati, na hata kwa dunia nzima.

Nimewahi kuandika kwamba diplomasia ya uchumi hutegemea mambo kadhaa; uwezo wa nchi kiuchumi, ushawishi wa nchi katika hoja za kimataifa, na nafasi ya nchi katika makundi mbalimbali ya kimataifa.

Katika mambo yote hayo, Tanzania inaweza kuwa na ushawishi mkubwa kutokana na nafasi yake katika ukanda wetu huu.

Tanzania ni miongoni mwa nchi katika ukanda huu inayomiliki eneo kubwa la Pwani ya Bahari ya Hindi na ndio nchi pekee katika ukanda huu inayopakana na nchi nyingi zisizo na bandari (land locked).

Tanzania ndio nchi pekee yenye bandari kubwa bahari ya Hindi inayopakana moja kwa moja na nchi yenye bandari kwenye bahari ya Atlantiki, yaani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Congo DRC).

Tanzania ndio nchi ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na wakati huo huo ni mwanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC).

Ndio nchi yenye mradi mkubwa wa reli ya kisasa inayotoka bahari ya Hindi na yenye uwezo wa moja kwa moja wa kuziunganisha nchi zaidi ya tano. Hivyo haijawahi kutokea katika historia ya nchi ya Tanzania ambapo diplomasia ya uchumi inahitajika kufanyiwa kazi kivitendo kama wakati huu.

Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati pamoja na viongozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mikutano ya kikanda wanapaswa kufanya kazi ya ziada ili diplomasia hii ya uchumi itamalaki katika kukuza uchumi kupitia mradi wa SGR.

Baada ya SGR kufika Bandari ya Mwanza, mizigo ya Uganda na Sudan Kusini itasafirishwa kwa uharaka na kwa gharama nafuu kutoka bandari ya Dar es Salaam mpaka Mwanza na baadae mabehewa 22 kuingizwa moja kwa moja ndani ya meli za mizigo na kuvushwa mpaka Bandari ya Portbell, Kampala au Jinja.

Kutokea Uganda mzigo wa Sudan Kusini utasafirishwa kwa umbali mfupi na kuwafikia walaji. Ushawishi kwa nchi za Uganda na Sudan Kusini utahitajika ili kuonesha faida kubwa za kiuchumi kwa nchi hizo kwa kusafirisha mizigo kwa SGR kutoka Tanzania.

Reli ya kisasa kutoka Dar es Salaam ikifika Rusumo, Tanzania itahitaji kushawishi Wanyarwanda na Warundi kuhusu unafuu wa gharama na uharaka wa kusafirisha mizigo kutoka nje ya nchi kwa kutumia reli ya kisasa kutoka Tanzania.

Bidhaa za China, India na hata tende za Uarabuni husafiri kwa umbali mrefu na kwa gharama kubwa kufika Congo DRC, Afrika ya Kati, Angola na baadhi ya nchi nyingine nyingi.

Kama ujenzi wa mfereji huu mpya wa Suez na hasa kutoka mpaka wa Rwanda au Burundi kuelekea bandari ya Matadi nchini Congo DRC kwenye bahari ya Atlantiki ukifanikiwa, soko la Asia na lile la Magharibi mwa Afrika, na lile la bara la Amerika na Mashariki na Kati mwa Afrika yataunganishwa na kuwa mkombozi wa ukanda huu kama mfereji wa Suez wa Misri ulivyoleta unafuu kwa Ulaya na Amerika kuunganishwa na Asia.

Ujenzi wa miradi pacha ya SGR na umeme wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ilipoanza kutekelezwa ilikuwa ndio mwanzo wa ndoto mpya ya Dk John Magufuli ya kuifanya Tanzania kuwa nchi tajiri na yenye uwezo wa kuanza kutoa misaada kwa nchi nyingine.

Utajiri wa Tanzania utaongezeka pia pale njia ya umeme wa ziada utasafirishwa sambamba na mfereji huu mpya wa Suez kuelekea nchi zote ambazo mfereji unaweza kufika, na kuwauzia umeme wale wenye uhitaji.

Ifahamike kuwa juhudi kubwa ya kuifanya reli ya kisasa kuwa mfereji mpya wa Suez iko mikononi mwa Tanzania. Bandari kavu ya Isaka ilipoanzishwa ilikuwa na lengo linalofanana na hili la ujenzi wa mfereji mpya wa Suez ambayo kwa hakika ilifanya kazi kwa ufanisi.

Isaka kwa muda ikawa ni muarobaini wa changamoto za mrundikano wa malori kwenye barabara zetu kutoka nchi nyingi zinazoizunguka Tanzania. Mizigo mingi ya nchi hizo ilichukuliwa kutokea bandarini hapo.

Majasusi wa kiuchumi kutoka ndani na nje ya nchi walifanya kila linalowezekana ili umaarufu wa bandari ya nchi kavu ya Isaka ufutike na hivyo kudhoofisha uchumi wa Tanzania.

Kimantiki, ni jambo lisiloeleweka kwa namna nchi inavyoingia gharama ya ujenzi na ukarabati wa barabara kutokana na uharibifu unaofanywa na wingi wa malori yenye uzito mkubwa yanayokwenda bandari ya Dar es Salaam kuchukua mizigo badala ya mizigo hiyo kuchukuliwa bandari kavu ya Isaka au bandari ya Mwanza.

Mashindano makubwa ya wafanyabiashara duniani ni kuzalisha na kusafirisha bidhaa kwa gharama ya chini kwa kadiri inavyowezekana ili zinapowafikia watumiaji ziuzwe kwa bei ndogo kwa lengo la kuwapa watumiaji nguvu au uwezo wa kununua bidhaa husika.

Ni kampuni au mfanyabiashara yupi asiyehitaji kusafirisha bidhaa kwa bei ya chini ili mzunguko wa bidhaa zake uwe mkubwa? Ni nani asingependa kusafirisha mizigo yake kwa kwa haraka?

Taarifa za kiuchumi na hata zile za wataalamu wanaojenga SGR duniani zinaonesha kuwa usafirishaji kwa kutumia reli ya kisasa hupunguza gharama kwa kiasi kikubwa.

Ninapoandika makala haya, bandari ya Kigoma katika ripoti zake inaonesha kuwa baadhi ya wafanyabiashara kutoka Kaskazini Mashariki mwa nchi ya Congo hunufaika kwa kusafirisha mizigo yao kwa reli ya kati kupitia Bandari ya Kigoma.

Kutoka Kigoma mizigo husafirishwa kwa meli mpaka Burundi na kisha DRC. Amani na usalama wa Tanzania ndio kivutio na mtaji wa kufanya biashara na mataifa yote yanayotuzunguka katika Ukanda wa Kati na Mashariki mwa Afrika.

Ukamilishwaji wa ujenzi wa SGR ya Tanzania inayobeba taswira ya mfereji mpya wa Suez katika ukanda huu utarahisisha usafirishaji wa mizigo kutoka Mashariki ya mbali na hata kutoka bara la Amerika.

Mizigo kutoka Amerika, India, Uchina, Japan na kutoka nchi nyingine nyingi kwenda Sudan Kusini, Uganda, Zambia, Malawi na nchi zote za ukanda huu itasafirishwa kupitia SGR ya Tanzania na hivyo kukuza uchumi kama ilivyo kwa mfereji wa Suez kule Misri.

Mabilioni ya dola yanayopatikana Misri, yanaweza kupatikana nchini Tanzania kama tutaendelea kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli ili mfereji huu mpya wa Suez ujengwe na kukamilika.

Mwandishi wa makala haya ni mchangiaji wa gazeti hili.

Reli ya Kisasa; mfereji mpya wa ‘Suez’ EAC
MY TAKE : Ukijumlisha na bomba la gesi kwenda Uganda na Kenya, na Umeme wa bwawa la Nyerere na uzalishaji wa Chakula unavyoongezeka kwa Nani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa huu utopolo unahusiana vipi na Kenya? Mods fanyeni kazi yenu.
 
🙄 😃😂 Usipopita karibu na Kenya ukiringa hautalala? Anyway it is a good project(if it will be successful) connecting the region and linking the Indian Ocean and the Atlantic with a train powered by electricity🙄.
 
🙄 😃😂 Usipopita karibu na Kenya ukiringa na kutingisha matako hautalala?? Anyway it is a good project(if it will be successful) connecting the region and linking the Indian Ocean and the Atlantic with a train powered by electricity🙄...

Successful? Third phase is right around the corner on 25th November a constructor for phase III of Dar-Mwanza i.e. the 249 km of main line and 92 km of siding/pasing loop Mwanza-Isaka is to be announced!

That means only Isaka-Makutupora will remain and that will be less than 500 km gap! Do u think JPm will fail to complete that even if he will decide to take a loan?

BTW where is ur third phase to even doubt the success of our Dar-Mwanza electrical SGR?



 
Successful? Third phase is right around the corner on 25th November a constructor for phase III of Dar-Mwanza i.e. the 249 km of main line and 92 km of siding/pasing loop Mwanza-Isaka is to be announced! Where is ur third phase to doung the success of our Dar-Mwanza electrical SGR?





Jiografia yangu inanifahamisha kuwa Mwanza haiko kwa mpaka wa Tanzania pia Mwanza sio Matadi DRC. Uzi unaongea kuhusu "suez canal ya Afrika Mashariki na Kati." Nimemskia Zitto Kabwe akilalama kuhusu SGR kutia nanga Mwanza badala ya kilicho andikwa kwa hoja kuu hapa. Hio SGR ikifika Matadi DRC tutasema ni successful.
 
Jiografia yangu inanifahamisha kuwa Mwanza haiko kwa mpaka wa Tanzania pia Mwanza sio Matadi DRC. Uzi unaongea kuhusu "suez canal ya Afrika Mashariki na Kati." Nimemskia Zitto Kabwe akilalama kuhusu SGR kutia nanga Mwanza badala ya kilicho andikwa kwa hoja kuu hapa. Hio SGR ikifika Matadi DRC tutasema ni successful.
Pitia hapa kwanza uone wagons zitafika vp Kampala! meli ya pili hiyo to be constructed behind Mv Mwanza for cargo! Ukiacha zinazo-operate Mwanza-Port Bell Mv Umoja and Mv Kawa!



EjushrwWoAAVdHs


Then kuna hii

JPM: New ships shall end woes on Lake Tanganyika

CCM presidential candidate Dr John Magufuli has pledged to end transportation woes on Lake Tanganyika once he is re-elected to serve another five-year term.

magu%20mwanz%20ed.jpg
CCM presidential candidate Dr John Magufuli.

At campaign rally at Lake Tanganyika Stadium here yesterday, Dr Magufuli said his government will buy two brand new ships and renovate another two ships plying in the lake in his final term.

“I am tired of being informed about frequent boat accidents in the lake,” he told the rally that flocked to the stadium to the brim, to thunderous applause.

In the televised speech, the candidate who is on a marathon tour of regions said one of the two brand new ships will have capacity to ferry 600 passengers and 400 tonnes of cargo, while the other ship will be specifically for cargo, ferrying 4,000 tonnes.

He said 10bn/- will be spent on repairing MV Liemba and another 6bn/- will be spent on renovating MV Sangara.


The president noted that the purchase of the new ships and renovations will go in tandem with the construction of a major port in Kigoma.

Dr Magufuli is among 15 presidential candidates from 15 political parties contesting for the country’s highest office.

The National Electoral Commission says about 29.2m voters have registered to elect the president, members of legislative bodies and ward councilors. Tanzania has an estimated population of 57m.

In July, at least 10 people were killed and 87 rescued after a boat capsized in the lake, and slightly earlier
on June 25 nine people were killed and 51 injured after a boat capsized.

In another development, Dr Magufuli said the government has plans for massive cultivation of oil palm from October to end importation of edible oils.

He said he had sent Prime Minister Kassim Majaliwa to the region to inspect oil palm seedlings nursery at the Bulombora National Service camp farm.

The president told oil palm farmers in the region to get prepared for massive cultivation of the crop in the next five years as already1.8m seedlings have been grown for distribution to farmers.

In February last year premier Majaliwa announced that the government had set aside 4.3m dollars (around 10bn/-) to boost cultivation of oil palm as part of its strategy to end importation of edible oils.

Kigoma region accounts for more than 80 percent of local palm oil produce and has the potential to make Tanzania one of the world's leading producers and exporters of palm oil due to its soils and weather.

Tanzania imports almost half of its edible oils needs despite having a vast and promising production potential in palm oil and sunflower..

============

MY TAKE:
At least 4 of these r needed for seamless movement in each of our great lakes of Victoria, Tanganyika and Nyasa! So far 2 mega ships r already in different stages of construction in Lake Victoria and Lake Tanganyika!
 
Jiografia yangu inanifahamisha kuwa Mwanza haiko kwa mpaka wa Tanzania pia Mwanza sio Matadi DRC. Uzi unaongea kuhusu "suez canal ya Afrika Mashariki na Kati." Nimemskia Zitto Kabwe akilalama kuhusu SGR kutia nanga Mwanza badala ya kilicho andikwa kwa hoja kuu hapa. Hio SGR ikifika Matadi DRC tutasema ni successful.














EaqEaiRXQAAHmnJ



Eapq4LOWAAAtGsV



EaqSINnXgAEE6Rr



EcFSvd0XkAER_QJ



EcFSwfSWoAAbyYv



EcFSw_-WoAIz9BS



EcK0u7bWoAAJLoO



EcK06GyWsAA_FvJ








MY TAKE
SGR to Mpanda kuunganishwa na hii bandari na pia ferry wagons kuunganisha Kalemie na Karema ports!


#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Yosef Festo Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
kikihboy nomasana, sam999, NairobiWalker, hbuyosh, msemakweli, simplemind, Kimweri, Bulldog, MK254, Kafrican, Ngongo, Ab_Titchaz, mtanganyika mpya, JokaKuu, Ngongo, Askari Kanzu, Dhuks, Yule-Msee, waltham, Mzee, mombasite gabriel, Juakali1980, Boda254, mwaswast, MwendaOmo, Iconoclastes, oneflash, Kambalanick, 1 Africa, saadeque, burukenge, nyangau mkenya, Teen-Upperhill Nairobi, kadoda11
 
Jiografia yangu inanifahamisha kuwa Mwanza haiko kwa mpaka wa Tanzania pia Mwanza sio Matadi DRC. Uzi unaongea kuhusu "suez canal ya Afrika Mashariki na Kati." Nimemskia Zitto Kabwe akilalama kuhusu SGR kutia nanga Mwanza badala ya kilicho andikwa kwa hoja kuu hapa. Hio SGR ikifika Matadi DRC tutasema ni successful.

Then listen to Rwandan Government explaining Isaka-Kigali SGR
 
Jiografia yangu inanifahamisha kuwa Mwanza haiko kwa mpaka wa Tanzania pia Mwanza sio Matadi DRC. Uzi unaongea kuhusu "suez canal ya Afrika Mashariki na Kati." Nimemskia Zitto Kabwe akilalama kuhusu SGR kutia nanga Mwanza badala ya kilicho andikwa kwa hoja kuu hapa. Hio SGR ikifika Matadi DRC tutasema ni successful.
Hapo Isaka kuna branch inaelekea Kigali - Rwanda, kutoka Kigali inaingia Goma DRC [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pitia hapa kwanza uone wagons zitafika vp Kampala! meli ya pili hiyo to be constructed behind Mv Mwanza for cargo! Ukiacha zinazo-operate Mwanza-Port Bell Mv Umoja and Mv Kawa!



EjushrwWoAAVdHs


Then kuna hii

JPM: New ships shall end woes on Lake Tanganyika
ippmedia.com/en/news/jpm-new-ships-shall-end-woes-lake-tanganyika
September 19, 2020
19Sep 2020
Henry Mwangonde
Kigoma
News
The Guardian
JPM: New ships shall end woes on Lake Tanganyika
CCM presidential candidate Dr John Magufuli has pledged to end transportation woes on Lake Tanganyika once he is re-elected to serve another five-year term.

magu%20mwanz%20ed.jpg




At campaign rally at Lake Tanganyika Stadium here yesterday, Dr Magufuli said his government will buy two brand new ships and renovate another two ships plying in the lake in his final term.

“I am tired of being informed about frequent boat accidents in the lake,” he told the rally that flocked to the stadium to the brim, to thunderous applause.

In the televised speech, the candidate who is on a marathon tour of regions said one of the two brand new ships will have capacity to ferry 600 passengers and 400 tonnes of cargo, while the other ship will be specifically for cargo, ferrying 4,000 tonnes.

He said 10bn/- will be spent on repairing MV Liemba and another 6bn/- will be spent on renovating MV Sangara.


The president noted that the purchase of the new ships and renovations will go in tandem with the construction of a major port in Kigoma.

Dr Magufuli is among 15 presidential candidates from 15 political parties contesting for the country’s highest office.

The National Electoral Commission says about 29.2m voters have registered to elect the president, members of legislative bodies and ward councilors. Tanzania has an estimated population of 57m.

In July, at least 10 people were killed and 87 rescued after a boat capsized in the lake, and slightly earlier
on June 25 nine people were killed and 51 injured after a boat capsized.

In another development, Dr Magufuli said the government has plans for massive cultivation of oil palm from October to end importation of edible oils.

He said he had sent Prime Minister Kassim Majaliwa to the region to inspect oil palm seedlings nursery at the Bulombora National Service camp farm.

The president told oil palm farmers in the region to get prepared for massive cultivation of the crop in the next five years as already1.8m seedlings have been grown for distribution to farmers.

In February last year premier Majaliwa announced that the government had set aside 4.3m dollars (around 10bn/-) to boost cultivation of oil palm as part of its strategy to end importation of edible oils.

Kigoma region accounts for more than 80 percent of local palm oil produce and has the potential to make Tanzania one of the world's leading producers and exporters of palm oil due to its soils and weather.

Tanzania imports almost half of its edible oils needs despite having a vast and promising production potential in palm oil and sunflower..

==================================================================

MY TAKE
At least 4 of these r needed for seamless movement in each of our great lakes of Victoria, Tanganyika and Nyasa! So far 2 mega ships r already in different stages of construction in Lake Victoria and Lake Tanganyika!

Kenya tunatumia barabara kufika Uganda na ninyi mnatumia meli kukimbizana na sisi?
 
Kenya tunatumia barabara kufika Uganda na ninyi mnatumia meli kukimbizana na sisi?
Wewe usiyejua kuwa kwa barabara unatumia cost zaidi na unabeba mzigo kidogo kulinganisha na meli. Tatizo lako nikuwa hujawai kufanya biashara ya export na import..🤣🤣🤣 Sijui wa Kenya huwa mnafeli wapi kwenye ufikili.🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom