joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #21
Hahahaha, hujui biashara nyamaza, hakuna mfanyabiashara atakeyesafirisha Container zake kwa barabara kama kuna reli inafanyakazi kwa ufanisi.Kenya tunatumia barabara kufika Uganda na ninyi mnatumia meli kukimbizana na sisi?